21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 35. Uhuru wa Zamiri Unatishwa<br />

Kanisa la Roma sasa linapendelewa sana na Waprotestanti kuliko miaka ya <strong>za</strong>mani.<br />

Katika inchi hizo ambamo Kanisa la Kikatoliki linapata mwendo wa kuunganisha kwa<br />

kupata mvuto, mawazo yanaan<strong>za</strong> kusimamiwa ya kwamba hakuna tofauti sana juu ya<br />

mambo ya lazima kama ilivyo<strong>za</strong>niwa na ya kwamba ukubali ule mdogo kwa upande wetu<br />

utatuongo<strong>za</strong> katika mapatano bora pamoja na Roma. Kulikuwa wakati Waprotestanti<br />

walifundisha watoto wao ya kwamba kutafuta umoja na Roma kungekuwa kutokuwa na<br />

uaminifu kwa Mungu. Lakini ni tofauti kubwa ya namna gani tunaona katika taarifa ya sasa!<br />

Watetezi wa dini ya Rome (Papa) wanatanga<strong>za</strong> kwamba kanisa limeshitakiwa uwongo,<br />

ya kwamba si haki kuhukumu kanisa la leo kwa utawala wake wa mda wa karne nyingi <strong>za</strong><br />

ujinga na gi<strong>za</strong>. Wanarehemu ukali wake wakuogopesha kwa ushenzi wa nyakati zile.<br />

Je, watu hawa hawakusahau madai ya kutowe<strong>za</strong> kukosa kulikowekwa na uwezo huu?<br />

Roma inadai ya kwamba “kanisa halikukosa kamwe; wala kukosa kwa wakati ujao,<br />

kufuatana na Maandiko, halitakosa daima.”<br />

Kanisa la Roma halitaacha kamwe madai yake kwa kutowe<strong>za</strong> kukosa (infallibilité). Acha<br />

vizuizi (amri) vilivyoamriwa sasa na serikali <strong>za</strong> dunia vitoshwe na Roma irudishwe katika<br />

mamlaka yake ya kwan<strong>za</strong>, na hapo kwa upesi ingekuwa uamsho wa uonevu wake na<br />

mateso.<br />

Ni kweli ya kwamba Wakristo wa kweli wanakuwako katika ushirika wa kanisa la<br />

Kikatoliki la Roma. Maelfu katika kanisa lile wanamtumikia Mungu kufuatana na nuru bora<br />

wanayokuwa nayo. Mungu anata<strong>za</strong>ma na upendo wa huruma juu ya nafsi hizi, zilizolelewa<br />

katika imani ile ya kudanganya na isiyotosheleka. Ataleta mishale ya nuru kupenya gi<strong>za</strong>, na<br />

wengi watakamata misimamo yao pamoja na watu wake.<br />

Lakini Kanisa la Roma kama chama haliko tena katika umoja na habari njema ya Kristo<br />

sasa kuliko kwa wakati wa kwan<strong>za</strong>. Kanisa la Roma linatumia shauri lo lote kwa kupata<br />

utawala wa ulimwengu, kuanzisha tena mateso, na kuharibu mambo yote ambayo<br />

Waprotestanti wamefanya. Kanisa la Kikatoliki liko linapata nafasi kwa pande zote. Angalia<br />

kuongezeka kwa makanisa yake. Ta<strong>za</strong>ma uwingi wa vyuo vyao vikubwa (colleges) na<br />

seminaires, vinavyosimamiwa na Waprotestanti. Ta<strong>za</strong>ma usitawi wa utaratibu wa sala katika<br />

Uingere<strong>za</strong> na maasi ya mara kwa mara kwa vyuo vya Wakatoliki.<br />

Mapatano na Ukubali<br />

Waprotestanti wamesaidia ama kupendelea mafundisho ya Kanisa la Papa; wamefanya<br />

mapatano na mkubaliano ambayo wakatoliki wenyewe wameshangaa kuyaona. Watu<br />

wanafunga macho yao kwa tabia ya kamili ya Kanisa la Roma. Watu wanahitaji kupinga<br />

maendeleo ya adui huyu wa hatari kwa uhuru wa watu na dini.<br />

235

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!