21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wanaweka misalaba kwa makanisa yao, ma<strong>za</strong>bahu yao, na mavazi yao. Po pote alama<br />

ya msalaba kwa inje inaheshimiwa na kutukuzwa. Lakini mafundisho ya Kristo yanazikwa<br />

chini ya desturi <strong>za</strong> uongo na malipizi makali. Roho aminifu zinalindwa katika woga wa<br />

hasira ya Mungu aliyechukizwa, wakati wakuu wa kanisa wengi wanaishi katika anasa na<br />

tamaa ya mwili.<br />

Ni juhudi ya daima ya Shetani kusingizia tabia ya Mungu, asili ya <strong>za</strong>mbi, na matokeo<br />

kwenye mti wa kuchoma wafia dini katika vita kuu. Madanganyo yake yanatoa watu ruhusa<br />

kwa <strong>za</strong>mbi. Kwa wakati ule ule anaanzisha mawazo ya uwongo juu ya Mungu ili<br />

wamwangalie kwa hofo na chuki kuliko kwa upendo. Kwa njia ya mawazo yaliyopotoshwa<br />

juu ya tabia <strong>za</strong> Mungu, mataifa ya kishenzi waliongozwa kuamini kafara <strong>za</strong> kibinadamu<br />

kuwa <strong>za</strong> lazima kwakupata mapendo ya Mungu. Mambo makali ya kuogopesha<br />

yametendwa chini ya mifano mbalimbali ya ibada ya sanamu.<br />

Umoja wa Upagani na Ukristo<br />

Kanisa la Katoliki la Roma, kwa kuunganisha upagani na Ukristo, na, kama upagani,<br />

kusingizia tabia ya Mungu, lilitumia basi matendo makali. Vyombo vya mateso<br />

vilishurutisha watu kukubali mafundisho yake. Wakuu wa kanisa wakajifun<strong>za</strong> kuvumbua<br />

njia <strong>za</strong> kufanyi<strong>za</strong> mateso makubwa iwezekanavyo bila kuondoa maisha ya wale<br />

wasingekubali madai yake. Kwa mara nyingi yule aliyeteswa alipokea mauti kuwa<br />

kufunguliwa kuzuri.<br />

Kwa wafuasi wa Roma kanisa lilikuwa na malezi ya shida, njaa, ya mateso ya mwili.<br />

Kwa kupata kibali cha Mungu, wenye kutubu walifundishwa kupasua vifungo ambavyo<br />

Mungu alivifanya kwa kubariki na kufurahisha maisha ya mwanadamu duniani. Uwanja wa<br />

kanisa unakuwa na mamilioni ya watu waliotoa maisha yao kwa masumbuko ya bure, kwa<br />

kukomesha, kama machukizo kwa Mungu, kila wazo na nia ya huruma kwa viumbe<br />

wen<strong>za</strong>o.<br />

Mungu hakuweka kamwe mojawapo ya mizigo hii mzito juu watu wo wote. Kristo<br />

hakutoa mfano kwa wanaume na wanawake kujifungia wenyewe katika nyumba ya watawa<br />

(monasteres) ili kuwe<strong>za</strong> kustahili kuingia mbinguni. Hakufundisha kamwe ya kwamba<br />

mapendo yanapashwa kukomeshwa.<br />

Papa anadai kuwa mjumbe mkubwa wa Kristo. Lakini je, Kristo alijulikana daima<br />

kutupa watu kwa gere<strong>za</strong> kwa sababu hawakumtolea heshima kubwa kama Mfalme wa<br />

mbingu? Je, sauti yake ilisikiwa kuhukumu kwa mauti wale wasiomkubali?<br />

Kanisa la Roma sasa linaonyesha uso mzuri kwa ulimwengu, kufunika kwa maneno ya<br />

kujitetea ukumbusho wake wa maovu ya kuchuki<strong>za</strong>. Limejivika lenyewe mavazi ya mfano<br />

wa Kikristo, lakini linakuwa lisilobadilika. Kanuni yo yote ya dini ya Roma katika vi<strong>za</strong>zi<br />

vya wakati uliopita inakuwako leo. Mafundisho yaliyoshauriwa kwa miaka ya gi<strong>za</strong> yangali<br />

yanashikwa. Dini ya Roma ambayo Waprotestanti wanaheshimu sasa ni ileile iliyotawala<br />

237

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!