21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kosa. Yeye ambaye peke yake alipashwa kuwaokoa kwa hatari yao ya kifo ame<strong>za</strong>rauliwa,<br />

kutukanwa, kukataliwa, na alikuwa karibu kusulubiwa.<br />

Kristo alipota<strong>za</strong>ma Yerusalema, mwisho wa muji mzima, taifa lote, ulikuwa mbele yake.<br />

Alisikia malaika mwangamizi pamoja na upanga ulioinuka juu ya mji ambao ulikuwa kwa<br />

wakati mrefu makao ya Mungu. Katika mahali palepale ambapo baadaye pakashikwa na<br />

Tito na jeshi lake, akata<strong>za</strong>ma kwa bonde viwanja vitakatifu na mabara<strong>za</strong>. Na machozi<br />

machoni akaona kuta kuzungukwa na majeshi ya kigeni. Alisikia shindo la jeshi kutembea<br />

kwa vita, sauti <strong>za</strong> wamama na watoto walililia mkate ndani ya muji uliozungukwa. Aliona<br />

nyumba yake takatifu, majumba yake na minara, yakitolewa kwa ndimi <strong>za</strong> moto, fungu la<br />

kuharibika lenye kuwaka na kutoka moshi.<br />

Kuta<strong>za</strong>ma katika nyakati, aliona watu wa ahadi kutawanyika katika kila inchi, “kama<br />

mavunjiko ya merikebu kwa pwani ya ukiwa”. Huruma ya Mungu, upendo mkuu, yakapata<br />

usemi katika maneno ya kusikitisha: “Ee Yerusalema, unaoua manabii, na kuwapiga kwa<br />

mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kukusanya watoto wako pamoja,<br />

kama vile kuku anavyokusanya watoto wake chini ya mabawa yake, lakini ninyi<br />

hamukutaka”! Matayo 23:37.<br />

Kristo aliona katika Yerusalema mfano wa ulimwengu ulioka<strong>za</strong>na katika kutoamini na<br />

kuasi, ukijiharakisha kwa kukutana na hukumu <strong>za</strong> kulipi<strong>za</strong> kisasi cha Mungu. Moyo wake<br />

ukashikwa na huruma kwa ajili ya waliohuzunishwa na walioteswa na dunia. Alitamani sana<br />

kuwafariji wote. Alitaka kutoa roho yake kwa kifo kwa kuleta wokovu karibu nao.<br />

Mtukufu wa mbinguni katika machozi! Mambo ile huonesha namna gani ni vigumu<br />

kuokoa mwenye kosa kwamatokeo ya kuharibu sheria ya Mungu. Yesu aliona ulimwengu<br />

kujitia katika madanganyo kama yale ambayo yalileta uharibifu wa Yerusalema. Zambi<br />

kubwa ya Wayahudi ilikuwa ni kukataa Kristo; <strong>za</strong>mbi kubwa ya ulimwengu ingekuwa<br />

kukataa sheria ya Mungu, msingi wa serekali yake katika mbingu na dunia. Mamilioni<br />

katika utumwa wa <strong>za</strong>mbi,ambao watahukumiwa kwa mauti ya pili, waliwe<strong>za</strong> kukataa<br />

kusikili<strong>za</strong> maneno ya kweli katika siku yao ya hukumu.<br />

Uharibifu wa Hekalu Tukufu<br />

Siku mbili kabla ya Pasaka, Kristo akaenda tena na wanafunzi wake kwa mlima wa<br />

Mizeituni kuta<strong>za</strong>ma mji. Mara moja tena akata<strong>za</strong>ma hekalu katika fahari ya kungaa kwake,<br />

taji la uzuri. Solomono, aliyekuwa mwenye busara kuliko wafalme wa Israeli, alimali<strong>za</strong><br />

hekalu la kwan<strong>za</strong>, jengo nzuri kuliko ambalo dunia haijaona. Baada ya maangamizi yake<br />

kwa Nebukadne<strong>za</strong>, ikajengwa tena karibu miaka mia tano kabla ya ku<strong>za</strong>liwa kwa Kristo.<br />

Lakini hekalu la pili halikulingana na la kwan<strong>za</strong> katika uzuri. Hakuna wingu la utukufu,<br />

hakuna moto kutoka mbinguni, ulioshuka juu ya ma<strong>za</strong>bahu yake. Sanduku, kiti cha rehema,<br />

na me<strong>za</strong> ya ushuhuda havikupatikana pale. Hakuna sauti kutoka mbinguni iliyojulisha<br />

kuhani mapenzi ya Mungu. Hekalu la pili halikutukuzwa na wingu la utukufu wa Mungu,<br />

7

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!