21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Herode mwenye kiburi aliyechekelea cheo chake cha ufalme. Pale panakuwa watu<br />

waliomvika taji la miiba juu ya kichwa chake na katika mkono wake fimbo ya kifalme ya<br />

kufananisha--wale walioinama mbele yake kwa kutoa heshima ya kumzihaki, waliomtemea<br />

mate Mfalme wa uzima. Wanatafuta kukimbia mbele ya uso wake. Wale waliopigilia<br />

misumari kwa mikono yake na miguu wanata<strong>za</strong>ma alama hizi kwa hofu na majuto.<br />

Kwa hofu ya wazi wazi makuhani na watawala wanakumbuka matukio ya Kalvari,<br />

namna gani, walipotikisa vichwa vyao katika shangwe ya uovu wa Shetani, wakapaa<strong>za</strong><br />

sauti, “Aliokoa wengine; hawezi kujiokoa yeye mwenyewe”. Matayo 27:42. Kwa sauti<br />

kubwa kuliko kelele, “Asulibiwe, asulibiwe”! ambayo ikavuma katika Yerusalema,<br />

inaonge<strong>za</strong> maombolezo ya kukata tamaa, ‘’Yeye ni Mwana wa Mungu”! Wanatafuta<br />

kukimbia mbele ya uso wa Mfalme wa wafalme.<br />

Katika maisha ya wote wanaokataa kweli kunakuwa na nyakati ambapo <strong>za</strong>miri inaamka,<br />

wakati nafsi inaposumbuliwa na masikitiko ya bure. Lakini mambo haya ni nini<br />

kulinganisha na majuto ya siku ile! Katikati ya hofu kuu yao wanasikia watakatifu kupaa<strong>za</strong><br />

sauti: “Ta<strong>za</strong>ma, huyu ndiye Mungu wetu, Tuliyemungoja, naye atatuokoa”. Isaya 25:9.<br />

Sauti ya Mwana wa Mungu inaita kwa kuamsha watakatifu wanaolala. Po pote duniani<br />

wafu watasikia sauti ile, na wale wanaoisikia wataishi, jeshi kubwa la kila taifa, na kabila na<br />

lugha na jamaa. Kutoka kwa nyumba ya gere<strong>za</strong> ya wafu wanakuja, wanapovikwa utukufu<br />

wa milele, kupaa<strong>za</strong> sauti: “Ee mauti, kushinda kwako ni wapi? Ee mauti, uchungu wako ni<br />

wapi”? 1 Wakorinto 15:55.<br />

Wote wanaamka kutoka makaburini wakiwa kwa hali ileile waliyopoingia nayo<br />

kaburini. Lakini wote wanafufuka pamoja na upya na nguvu <strong>za</strong> ujana wa milele. Kristo<br />

alikuja kurudisha na kuponya kile kilichopotea. Atabadilisha miili yetu ya unyonge na<br />

kuzifanya kama wake mwili mtukufu. Mwili wa mauti na wa kuharibika, mara moja<br />

unaoharibika na <strong>za</strong>mbi, unakuwa sasa kamilifu, mzuri na wa kuishi milele. Madoo na ulema<br />

vimebaki ndani ya kaburi. Waliokombolewa “watakua” (Malaki 4:2) kwa kimo kamili cha<br />

u<strong>za</strong>o katika utukufu wake wa ki<strong>za</strong>zi cha kwan<strong>za</strong>, alama <strong>za</strong> mwisho <strong>za</strong> laana <strong>za</strong> <strong>za</strong>mbi<br />

zimeondolewa. Waaminifu wa Kristo wataonyesha mfano kamili wa Bwana wao katika<br />

roho na nafsi na mwili.<br />

Wenye haki walio hai wamebadilika “kwa dakika moja, kwa kufunga na kufungua kwa<br />

jicho”. Kwa sauti ya Mungu wamefanywa watu wa maisha ya milele na pamoja na<br />

watakatifu waliofufuka watachukuliwa juu kumlaki Bwana wao katika mawingu. Malaika<br />

“watakusanya wachaguliwa wake toka pepo ine, toka mwisho huu wa mbingu mpaka<br />

mwisho mwingine”. Matayo 24:31. Watoto wadogo wamechukuliwa kwa mikono ya mama<br />

<strong>za</strong>o. Rafiki walioachana wakati mrefu kwa ajili ya mauti wameunganika, hakuna kuachana<br />

tena kamwe, na pamoja na nyimbo <strong>za</strong> furaha wanapanda pamoja kwa mji wa Mungu.<br />

Katika Mji Mtakatifu<br />

268

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!