21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

na Mungu, na hapo hapawezi kuwa na salama; kwani ni wazi kwamba kama mwamuzi<br />

anakuwa na uwezo, angewe<strong>za</strong> kuamuru shauri fulani ao imani leo na ingine kesho; kama<br />

ilivyokuwa ikifanyika katika Uingere<strong>za</strong> na wafalme wa kuachana na wamalkia, na mapapa<br />

wa kuachana na mabara<strong>za</strong> katika Kanisa la Roma.”<br />

Kuhuzuria katika kanisa lililosimamishwa ililazimishwa chini ya malipo ao kifungo.<br />

“Kushurutisha watu kuungana pamoja na wale wa imani ya kuachana, yeye (Williams)<br />

aliangalia jambo hilo kama kutendea <strong>za</strong>mbi kwa wazi kwa haki <strong>za</strong>o halisi, kukokota watu<br />

wasio kuwa wa dini kwa ibada na wasiopenda, ilikuwa ni kuku<strong>za</strong> unafiki... Hakuna mutu<br />

alipashwa kulazimishwa kuabudu Mungu, ao, akaonge<strong>za</strong>, kushikilia ibada, kinyume cha<br />

ukubali wake mwenyewe!”<br />

Roger Williams aliheshimiwa, lakini haja yake kwa ajili ya uhuru wa dini haukuwe<strong>za</strong><br />

kuvumiliwa. Kwa kuepuka kufungwa akalazimishwa kukimbilia kati kati ya baridi ng<br />

zoruba ya majira ya baridi katika poli usiokatwa bado.<br />

“Kwa muda wa majuma kumi na inne,” akasema, “Nikarushwa sana katika majira ya<br />

uchungu, bila kuwa na mkate ao kitanda.” Lakini “Kunguru wakanilisha jangwani,” shimo<br />

ndani ya mti nikaitumia mara kwa mara kuwa ficho.” Akaendelea na ukimbizi wake wa<br />

uchungu katika theluji na mwitu usio na njia hata akapata kimbilio pamoja na kabila la<br />

Wahindi ambao aliopata matumaini na upendo wao.<br />

Akaweka msingi wa jimbo la kwan<strong>za</strong> la nyakati <strong>za</strong> kisasa lile lililo tambua haki<br />

“kwamba kila mutu alipashwa kuwa na uhuru kwa kuabudu Mungu kufuatana na nuru ya<br />

<strong>za</strong>miri yake mwenyewe.” Jimbo lake ndogo, Kisiwa cha Rhode, likaongezeka na kusitawi<br />

hata kwa kanuni <strong>za</strong>ke <strong>za</strong> msingi--uhuru wa serekali na wa dini--vikawa mawe ya pembeni<br />

ya Jamuhuri ya Amerika.<br />

Barua ya maagano wa Uhuru<br />

Tangazo la Amerika la Uhuru likatangazwa: “Tunashika kweli hizi kuwa <strong>za</strong>miri binafsi,<br />

kwamba watu wote waliumbwa kuwa sawasawa; na kwamba Muumba aliwapa haki fulani<br />

zisizoondolewa; ambazo katika hizo kuna uzima, uhuru, na kutafuta furaha.” Serkali (ya<br />

Amerika) iliahidi heshima ya <strong>za</strong>miri: “Bara<strong>za</strong> kuu halitawe<strong>za</strong> kufanya sheria hata moja<br />

inayosimamia kwa dini, ao inayokata<strong>za</strong> uhuru wa dini.”<br />

“Watengene<strong>za</strong>ji wa Serkali wakatambua kanuni ya milele kwamba uhusiano wa mtu na<br />

Mungu wake unakuwa juu ya sheria ya binadamu, na haki <strong>za</strong>ke <strong>za</strong> <strong>za</strong>miri ya daima... Ni<br />

kanuni yakuliwa ambayo hakuna kitu kitakacho we<strong>za</strong> kuiondoa.”<br />

Habari ikaenezwa katika Ulaya kwamba kuna inchi ambapo kila mtu anawe<strong>za</strong><br />

kufurahiwa matunda ya kazi yake na kutii <strong>za</strong>miri yake. Maelfu wakasongana kwa pande <strong>za</strong><br />

pwani <strong>za</strong> Dunia Mpya. Katika miaka makumi mbili kutoka siku ya kufika mara ya kwan<strong>za</strong><br />

huko Plymouth (1620), jinsi maelfu mengi ya Wasafiri walikaa katika Uingere<strong>za</strong> Mpya.<br />

119

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!