21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

wakajiunga kwa kupa<strong>za</strong> sauti: “Ogopeni Mungu, na kumutuku<strong>za</strong> kwa maana saa ya hukumu<br />

yake imekuja.”<br />

Wenye <strong>za</strong>mbi wakauli<strong>za</strong> kwaa machozi: “Ninapashwa kufanya nini ili niokolewe?”<br />

Wale waliokosea jirani <strong>za</strong>o wakajiharakisha kwa kutengene<strong>za</strong> kosa. Wote waliopata amani<br />

katika Kristo wakatamani kuijulisha kwa wengine. Mioyo ya wa<strong>za</strong>zi ikarudia kwa watoto<br />

wao, na mioyo ya watoto kwa wa<strong>za</strong>zi wao. Malaki 4:5, 6. Vizuizi vya kiburi na matengano<br />

vikatupiliwa mbali. Maungamo ya kweli yakafanywa. Mahali po pote roho zilikuwa<br />

zikiombole<strong>za</strong> mbele ya Mungu. Wengi walitumia usiku wote mzima katika maombi kwa<br />

ajili ya hakika kwamba <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o zilisamehewa, ao kugeuka kwa jamaa <strong>za</strong>o wala jirani.<br />

Makundi yote, watajiri na maskini, watu wa juu wala wa chini, wakawa na hamu ya<br />

kusikia mafundisho ya kuja kwa maraa ya pili. Roho ya Mungu ikatoa uwezo kwa ukweli<br />

wake. Kuwako kwa Malaika watakatifu kulisikiwa katika makutano haya, na wengi<br />

walikuwa wakiongezeka kila siku kwa waaminifu. Makutano makubwa wakasikili<strong>za</strong> kwa<br />

utulivu kwa maneno ya heshima. Mbingu na dunia vilionekana kukaribiana. Watu wakarudi<br />

nyumbani na sifa kwa midomo yao, na sauti ya furaha ikavuma kwa utulivu wa usiku.<br />

Hakuna aliyehuzuria mikutano hiyo angaliwe<strong>za</strong> kamwe kusahau maono ya usikizi mwingi.<br />

Habari llipingwa<br />

Tangazo la wakati kamili wa kuja kwa Kristo kukaleta mabishano sana kwa wengi wa<br />

makundi yote, tokea kwa wachungaji katika mimbara hata kwa mkubwa miongoni mwa<br />

wenye <strong>za</strong>mbi. Wengi walitanga<strong>za</strong> kwamba hawakuwa na kizuizi kwa mafundisho ya kurudi<br />

kwa Yesu; walikataa tu wakati kamili. Lakini jicho la Mungu linaloona vyote likasoma<br />

mioyo yao. Hawakutamani kusikia habari ya kuja kwa Kristo ili aihukumu dunia kwa haki.<br />

Matendo yao hayangevumilia uchunguzi wa moyo unaomtafuta Mungu, na waliogopa<br />

kukutana na Bwana wao. Kama Mayahudi kwa wakati wa kuja kwa Kristo kwa mara ya<br />

kwan<strong>za</strong> hawakujitayarisha kumpokea Yesu. Hawakukataa tu kusikili<strong>za</strong> mabishano ya wazi<br />

kutoka kwa Biblia lakini wakachekelea wale waliokuwa wakita<strong>za</strong>mia Bwana. Shetani<br />

akatupa laumu kwa uso wa Kristo kwamba wanaojidai kuwa watu wake walikuwa na<br />

upendo mdogo sana kwake hata hawakutaka kuonekana kwake.<br />

“Hakuna mtu anayejua habari <strong>za</strong> siku ile na saa ile,” ilikuwa ubishi mara kwa mara<br />

ulioendelea kuletwa na waliokataa imani ya kurudi kwa Yesu. Andiko ni: ‘’Habari <strong>za</strong> siku<br />

ile na saa ile hakuna mtu anayejua, hata malaika walio mbinguni, ... ila Baba peke yake.”<br />

Matayo 24:36. Maelezo wazi ya maneno haya yalitolewa na wale waliokuwa wakita<strong>za</strong>mia<br />

Bwana, na matumizi mabaya yake ya wapin<strong>za</strong>ni wao yalionyeshwa kwa wazi.<br />

Usemi moja la Mwokozi haupashwi kutumiwa kwa kuharibu lingine. Ingawa hakuna<br />

mtu anayejua siku wala saa ya kuja kwake, tunaagizwa kujua wakati unakuwa karibu.<br />

Kukataa wala kutojali kujua wakati wa kuja kwake kunapokuwa karibu kutakuwa kwetu<br />

kama hatari kwetu kama ilivyokuwa katika siku <strong>za</strong> Noa bila kujua wakati gani garika<br />

153

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!