21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ya Papa, wakati aliposimama imara kama mwamba kupinga ushupavu uliojaribu kujiunga<br />

na Matengenezo.<br />

Pande zote <strong>za</strong> upin<strong>za</strong>nihuweka pembeni Maandiko matakatifu, kwa faida ya hekima ya<br />

kibinadamu kutukuzwa kawa chemchemi ama asili ya ukweli. Kufuata akili <strong>za</strong> kibinadamu<br />

kwa kusudi lakuabudu kama Mungu na kufanya hii kanuni kwa ajili ya dini. Kiroma kinadai<br />

kuwa na uongozi wa Mungu ulioshuka kwa mustari usiovunjika toka kwa mitume na kutoa<br />

nafasi kwa ujinga na uchafu vifichwe chini ya agizo la “mitume”. Maongozi yaliyodaiwa na<br />

Munzer yalitoka kwa mapinduzi ya mawazo. Ukristo wa kweli hukubali Neno la Mungu<br />

kama jaribio la maongozi yote.<br />

Kwa kurudi kwake Wartburg, Luther akatimi<strong>za</strong> kutafsiri Agano Jipya, na injili ikatolewa<br />

upesi kwa watu wa Ujeremani katika lugha yao wenyewe. Ufasiri huu ukapokewa kwa<br />

furaha kubwa kwa wote waliopenda ukweli.<br />

Wapadri wakashtushwa kwa kufikiri kwamba watu wote wangewe<strong>za</strong> sasa kuzungum<strong>za</strong><br />

pamoja nao Neno la Mungu na kwamba ujinga wao wenyewe ungehatarishwa. Roma<br />

ikaalika mamlaka yake yote kuzuia mwenezo wa Maandiko. Lakini kwa namna ilivyozidi<br />

kukata<strong>za</strong> Biblia, ndivyo hamu ya watu ikazidi kujua ni nini iliyofundishwa kwa kweli. Wote<br />

waliowe<strong>za</strong> kusoma wakaichukua kwao na hawakuwe<strong>za</strong> kutoshelewa hata walipokwisha<br />

kujifun<strong>za</strong> sehemu kubwa kwa moyo. Mara moja Luther akaan<strong>za</strong> utafsiri wa Agano la Kale.<br />

Maandiko ya Luther yakapokewa kwa furaha sawasawa katika miji na katika vijiji.<br />

“Yale Luther na rafiki <strong>za</strong>ke waliyoandika, wengine wakayatawanya. Watawa,<br />

waliposadikishwa juu ya uharamu wa kanuni <strong>za</strong> utawa, lakini wajinga sana kwa kutanga<strong>za</strong><br />

neno la Mungu ... wakauzisha vitabu vya Luther na rafiki <strong>za</strong>ke. Ujeremani kwa upesi ukajaa<br />

na wauzishaji wa vitabu wajasiri.”<br />

Kujifun<strong>za</strong> Biblia Mahali Pote<br />

Usiku waalimu wa vyuo vya vijiji wakasoma kwa sauti kubwa kwa makundi madogo<br />

yaliyokusanyika kando ya moto. Kwa juhudi yote roho zingine zikahakikishwa kwa ukweli.<br />

“Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru; kunamupa mujinga ufahamu.” Zaburi 119:130.<br />

Wakatoliki walioachia mapadri na watawa kujifun<strong>za</strong> Maandiko sasa wakawaalika kwa<br />

kuonyesha uwongo wa mafundisho mapya. Lakini, wajinga kwa Maandiko, mapadri na<br />

watawa wakashindwa kabisa. “Kwa huzuni,” akasema mwandishi mmoja mkatoliki, “Luther<br />

alishawishi wafuasi wake kwamba haikufaa kuamini maneno mengine isipokuwa Maandiko<br />

matakatifu.” Makundi yakakusanyika kusikia mambo ya kweli yaliyotetewa na watu wa<br />

elimu ndogo. Ujinga wa hawa watu wakuu ukafunuliwa kwa kuonyesha uongo wa<br />

mabishano yao kwa msaada wa mafundisho rahisi ya Neno la Mungu. Watumikaji,<br />

waaskari, wanawake, na hata watoto, wakajua Biblia kuliko mapadri na waalimu wenye<br />

elimu.<br />

77

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!