21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

yao ikaamshwa na ujumbe. Lakini imani yao ilijengwa juu ya imani ya ndugu <strong>za</strong>o,<br />

walitoshelewa na nuru yenye kuwayawaya ya maono, bila ufahamu kamili wa kweli wala<br />

kazi halisi ya neema ndani ya moyo. Hawa wakaendelea “kukutana” na Bwana katika<br />

mata<strong>za</strong>mio ya <strong>za</strong>wadi ya mara moja lakini hawakutayarishwa kwa kukawia na uchungu.<br />

Imani yao ikaanguka.<br />

“Wakati bwana arusi alipokawia, wao wote wakasinzia na kulala usingizi.” Kwa<br />

kukawia kwa bwana arusi ni mfano wa kupitisha wakati, kukata tamaa, ni kukawia kwenye<br />

kuonekana kwa inje. Wale ambao imani yao iliimarishwa juu ya ujuzi wa kipekee wa Biblia<br />

walikuwa na mwamba chini ya miguu yao ambayo mawimbi ya uchungu hayakuwe<strong>za</strong><br />

kuharibu. “Wao wote wakasinzia na kulala usingizi,” kundi moja katika kuacha imani yao,<br />

lingine likangoja kwa uvumilivu hata mwanga<strong>za</strong> wazi <strong>za</strong>idi ulipaswa kutolewa. Wale wa<br />

kijuujuu hawakuwe<strong>za</strong> tena kuegemea kwa imani ya ndugu <strong>za</strong>o. Kila mmoja anapaswa<br />

kusimama ao kuanguka yeye mwenyewe.<br />

Ukaidi wa Dini Unaonekana<br />

Tangu wakati huu, ushupavu wa dini ukaan<strong>za</strong> kuonekana. Wengine wakaonyesha juhudi<br />

<strong>za</strong> ukaidi. Mawazo yao ya ukaidi yakakutana na kutokuwa na huruma kwa jamii kubwa ya<br />

Waadventiste, ndipo wakaleta laumu juu ya kazi ya ukweli.<br />

Shetani alikuwa akipote<strong>za</strong> watu wake, na kwa kuleta laumu kwa kazi ya Mungu,<br />

akatafuta kudanganya wengine waliokubali imani na kuwaendesha kwa nguvu kwa kupita<br />

kipimo. Ndipo wajumbe wake wakawa tayari wakivisia kupata kosa lo lote, kila kitu<br />

kisichokuwa kitendo cha kukubaliwa, na kulishikilia katika hali ya kupita kipimo ili kufanya<br />

Waadventiste wachukiwe. Kama angewe<strong>za</strong> kuleta watu wengi wa kutanga<strong>za</strong> imani ya kuja<br />

kwa mara ya pili, wakati uwezo wake ungeendelea kutawala mioyo yao, angepata faida<br />

Kubwa.<br />

Shetani ni “mushitaki wa ndugu zetu.” Ufunuo 12:10. Roho yake inaongo<strong>za</strong> watu<br />

kuta<strong>za</strong>ma makosa ya watu wa Bwana na kuwashikilia akiwatanga<strong>za</strong>, lakini matendo yao<br />

mema yanapita bila kutajwa. Katika historia yote ya kanisa hakuna matengenezo<br />

yaliyofanywa bila kukutana na vizuizi vikubwa. Po pote ambapo Paulo alisimamisha kanisa<br />

wengine waliojidai kupokeo imani wakaingi<strong>za</strong> ujushi. Luther pia alivumilia kwa watu<br />

washupavu waliojidai kwamba Mungu alinena kwa njia yao, walioweka mawazo yao<br />

wenyewe juu ya Maandiko. Wengi walidanganywa kwa njia ya waalimu wapya na<br />

wakaungana na Shetani kwa kuondoa kwa nguvu mambo ambayo Mungu aliongo<strong>za</strong> Luther<br />

kujenga. Wesleys alikutana na werevu wa Shetani katika kusukuma katika ushupavu watu<br />

wasiyokuwa imara na wasiotakaswa.<br />

William Miller hakuwa na huruma kwa ushupavu. “Ibilisi,” akasema Miller, “anakuwa<br />

na nguvu nyingi kwa mioyo ya wengine kwa siku ya leo.” “Mara nyingi, uso wa kungaa na<br />

164

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!