21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mapigano yake ya mwisho juu ya serkali ya mbinguni. Watu watatokea kudai kuwa Kristo<br />

Mwenyewe. Watafanya maajabu ya kuponya na kujifanya kuwa na mambo ya ufunuo<br />

kutoka mbinguni kupinga Maandiko.<br />

Kama tendo la kutukuzwa katika ukubwa hadithi iliotungwamakusudi ya kuingizwa<br />

kama mchezo mbele ya watu wa madanganyo, Shetani mwenyewe atajifanya kuwa Kristo.<br />

Kanisa lilita<strong>za</strong>mia wakati mrefu kuja kwa Mwokozi kama utimilizo wa matumaini yake.<br />

Sasa mshawishi mkubwa atafanya kuonekana kwake ya kwamba Kristo amekuja. Shetani<br />

atajionyesha mwenyewe kama kiumbe chenye utukufu cha wangavu wa kushanga<strong>za</strong>,<br />

kufanana na sifa ya Mwana wa Mungu katika Ufunuo. Ufunuo 1:13-15.<br />

Utukufu unaomzunguka unapita kila kitu ambacho macho ya kibinadamu (wanaokufa)<br />

hayajaona kamwe. Shangwe ya ushindi italia, “Kristo amekuja!” Watu watamsujudia .<br />

Atanyosha mikono yake juu na kuwabariki. Sauti yake itakuwa ya kupende<strong>za</strong>, lakini<br />

inapojaa na sauti tamu zinazofuatana. Kwa sauti ya huruma ataonyesha mambo mengine ya<br />

kweli ya ‘’mbinguni yaliotamkwa na Mwokozi. Ataponyesha magonjwa, na baadaye, katika<br />

tabia yake ya kujitia kwa mamlaka ya Kristo, anajidai kuwe<strong>za</strong> kubadili Sabato na kuiweka<br />

kwa siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche). Anatanga<strong>za</strong> ya kwamba wale wanaoshika siku ya saba<br />

kuwa takatifu wanatukana jina lake. Hii ni madanganyo ya nguvu isiyowe<strong>za</strong> kuzuiwa na<br />

mtu. Watu wengi wanatoa usikizi kwa mambo haya ya uchawi, wakisema, Huu ni “uwezo<br />

mkubwa wa Mungu”, Matendo 8:10.<br />

Watu wa Mungu Hawataongozwa Vibaya<br />

Lakini watu wa Mungu hawataongozwa vibaya. Mafundisho ya kristo huyu wa uwongo<br />

hayaako kwa mapatano na Maandiko. Baraka yake itatamkwa juu ya waabuduo wa mnyama<br />

na sanamu yake, ni kundi kabisa ambalo Biblia inatanga<strong>za</strong> ya Kwamba ga<strong>za</strong>bu ya Mungu<br />

pasipo kuchanganywa itamiminwa.<br />

Tena <strong>za</strong>idi, Shetani hakuruhusiwa kuiga namna ya majilio ya Kristo. Mwokozi ameonya<br />

watu wake juu ya madanganyo kwa jambo hili. “Kwa sababu Wakristo wa uwongo<br />

watasimama, na manabii <strong>za</strong> uwongo, nao wataonyesha alama kubwa na maajabu wapate<br />

kudanganya kama ikiwezekana, hata wachaguliwa... Basi kama wakiwaambia ninyi:<br />

Ta<strong>za</strong>ma yeye ni jangwani; musitoke; Ta<strong>za</strong>ma, yeye ni katika vyumba vya ndani nyumbani,<br />

musisadiki. Kwa maana kama umeme unavyokuja toka mashariki na unaanga<strong>za</strong> hata<br />

mangaribi; hivi kuja kwa Mwana wa watu kutakavyokuwa vile”. Matayo 24:24-27.<br />

Uta<strong>za</strong>me vilevile Matayo 25:31; Ufunuo 1:7; 1 Watesalonika 4:16,17. Kuja huku, hapo<br />

hakuna namna ya kuiga. Itashuhudiwa kwa ulimwengu wote mzima.<br />

Ila wanafunzi wa juhudi tu wa Maandiko waliokubali upendo wa kweli watakaolindwa<br />

kwa madanganyo ya nguvu yanayofanya dunia kuwa mateka. Kwa ushuhuda wa Biblia<br />

hawa watavumbua mdanganyi huyu kwa umbo la uwongo wake. Je, watu wa Mungu sasa<br />

261

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!