21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mungu.” Waroma 12:1. Kila desturi yo yote inayozoofisha nguvu <strong>za</strong> mwili ao akili<br />

inaondolea mtu uwezo kwa kazi ya Muumba. Wale wanaompenda Mungu kwa moyo wao<br />

wote watatafuta daima kuleta nguvu zote <strong>za</strong> maisha yao kwa umoja pamoja na sheria<br />

zinazoendele<strong>za</strong> nguvu <strong>za</strong>o kwa kufanya mapenzi yake. Hawatalege<strong>za</strong> wala kuchafua sadaka<br />

wanayotoa kwa Baba wao wa mbinguni kwa anasa ya tamaa wala ulafi.<br />

Furaha yote ya <strong>za</strong>mbi inaelekea kuzoofisha na kuua fahamu <strong>za</strong> akili na <strong>za</strong> kiroho; Neno<br />

wala Roho ya Mungu inawe<strong>za</strong> kufanya mguso mdogo kwa moyo. “Tujisafishe wenyewe<br />

kwa uchafu wote wa mwili na wa roho, tukitimi<strong>za</strong> utakatifu katika woga wa Mungu.” 2<br />

Wakorinto 7:1.<br />

Ni wangapi wanaojitanga<strong>za</strong> kuwa Wakristo wanaoharibu sura yao ya kimungu kwa ulafi,<br />

kwa kunywa mvinyo, kwa anasa zilizokatazwa. Na kanisa vivyo hivyo hushawishi uovu,<br />

kwa kuja<strong>za</strong> tena mali yake ambayo mapendo kwa Kristo ni <strong>za</strong>ifu sana kutoa. Kama Kristo<br />

angeingia kwa makanisa ya leo na kuta<strong>za</strong>ma karamu iliyofanywa pale kwa jina la dini, je,<br />

hangalifuku<strong>za</strong> wale wakufuru, kama alivyofukuzia mbali wabadili fe<strong>za</strong> kwa hekalu?<br />

“Hamujui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu,<br />

muliyepewa na Mungu? Na ninyi si mali yenu wenyewe; kwa sababu mulinunuliwa kwa<br />

bei; basi tukuzeni Mungu katika mwili wenu na katika roho yenu, maana ni ya Mungu.” 1<br />

Wakorinto 6:19,20. Yeye ambaye mwili wake ni hekalu la Roho Mtakatifu hatafanywa<br />

mtumwa wa desturi mbaya. Nguvu <strong>za</strong>ke ni <strong>za</strong> Kristo. Mali yake ni ya Bwana. Namna gani<br />

angetapanya hazina uliyo gabiziwa?<br />

Wanaojitanga<strong>za</strong> kuwa Wakristo kila mwaka wanatumia fe<strong>za</strong> nyingi kwa anasa mbaya.<br />

Mungu wanamuiba kwa <strong>za</strong>ka na sadaka, wanapotekete<strong>za</strong> kwa ma<strong>za</strong>bahu ya tamaa mbaya ya<br />

kuharibu <strong>za</strong>idi kuliko wanavyotoa kwa kusaidia maskini ao kusaidia maendeleo ya habari<br />

njema. Kama wote wanaoshuhudia Kristo wangetakaswa kwa kweli, mali yao, badala ya<br />

kuitumia kwa anasa <strong>za</strong> bure na zenye hasara, yangerudishwa katika hazina ya Bwana.<br />

Wakristo wangetoa mufano wa kiasi na kujitoa kafara. Ndipo wangekuwa nuru ya<br />

ulimwengu.<br />

“Tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha maisha” (1 Yoane 2:16) zinatawala<br />

wingi wa watu. Lakini wafuasi wa Kristo wanakuwa na mwito takatifu. “Tokeni katikati<br />

yao, mukatengwa nao, Bwana anasema, wala musiguse kitu kisicho safi.” Kwa wale<br />

wanaokubali pamoja na mapatano, ahadi <strong>za</strong> Mungu ni “Nitakuwa baba kwenu, nanyi<br />

mutakuwa kwangu wana na binti, Bwana Mwenyezi anasema.” 2 Wakorinto 6:17,18.<br />

Kila hatua ya imani na utii inaleta nafsi kwa uhusiano wa karibu sana na Nuru ya<br />

Ulimwengu. Mwanga<strong>za</strong> safi wa Jua la Haki unaangazia juu ya watumishi wa Mungu, na<br />

wanapaswa kurudisha mishale ya nuru yake. Nyota zinatwambia kwamba hapo kuna nuru<br />

katika mbingu na kwa utukufu wake zinangaa; kwa hivi Wakristo wanaonyesha kwamba<br />

199

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!