21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

amelazimishwa katika sheria <strong>za</strong>ke mwenyewe--kana kwamba sheria <strong>za</strong> Mungu zingekata<strong>za</strong><br />

uhuru wa Mungu. Fundisho la namna hii linapinga ushuhuda wa maandiko.<br />

Je, miuji<strong>za</strong> haikufanywa na Kristo na mitume wake? Mwokozi yule yule anapendezwa<br />

basi kusikili<strong>za</strong> maombi ya imani kama vile alivyotembea kwa wazi miongoni mwa watu.<br />

Hali ya viumbe vinashirikiana na hali ya Mungu. Ni sehemu ya mpango wa Mungu<br />

kutusaidia, katika jibu kwa ombi la imani, lile ambalo hangalitoa tusilouli<strong>za</strong>.<br />

Mipaka ya Neno<br />

Mafundisho ya uwongo miongoni mwa makanisa yanaondoa mipaka iliyowekwa na<br />

Neno la Mungu. Wachache wanasimamia kwa kukataa kweli moja tu. Wengi wanaweka<br />

kando mojawapo kwa ingine ya kanuni <strong>za</strong> kweli, hata wanapokuwa wasioamini.<br />

Makosa ya elimu ya tabia na sifa <strong>za</strong> Mungu na dini ya kupendezwa na watu wengi<br />

yaliendesha roho nyingi kwa moyo wa mashaka (sceptisim). Haiwezekani kwao kukubali<br />

mafundisho ambayo yanayopinga maelezo ya watu juu ya haki, rehema na wema. Kwa hivi<br />

mambo haya yanaonyeshwa kama mafundisho ya Biblia, anakataa kuyakubali kama Neno la<br />

Mungu.<br />

Neno la Mungu linaangaliwa bila tumaini kwa sababu linakemea na kuhukumu <strong>za</strong>mbi.<br />

Wale wasiotaka kutii wanafanya nguvu kupindua mamlaka yake. Wengi wanakufuru ili<br />

kutetea u<strong>za</strong>rau wa kazi yao. Wengine pia, ni wapenda raha kwa kutimi<strong>za</strong> kitu cho chote<br />

ambacho kinaomba kujikana mwenyewe, wanatun<strong>za</strong> sifa kwa ajili ya hekima kubwa kwa<br />

kuteta Biblia.<br />

Wengi wanaona kama sifa kusimama upande wa kutoamini, mashaka, na kukufuru.<br />

Lakini chini ya mfano mwema kutapatikana kujitumaini mwenyewe na kiburi. Wengi<br />

wanapendezwa katika kupata kujua kitu fulani katika Maandiko kutati<strong>za</strong> roho <strong>za</strong> wengine.<br />

Wengine kwa sababu ya kwan<strong>za</strong> kwa upande usiofaa kwa upendo tu wa mabishano. Lakini<br />

wakisha kuonyesha wazi kutoamini, wanajiunga pamoja na wasiomwongopa Mungu.<br />

Ushuhuda wa Kufaa<br />

Mungu ametoa katika Neno lake ushuhuda wa kutosha wa kuonyesha tabia yake. Lakini<br />

akili zenye mpaka zinakuwa si <strong>za</strong>kutosha kabisa kufahamu makusudi ya Mungu. “Hukumu<br />

<strong>za</strong>ke hazivumbulikani, na njia <strong>za</strong>ke hazifutikani!” Waroma 11:33. Tunawe<strong>za</strong> kutambua<br />

upendo usio na mpaka na rehema iliyoungana na uwezo usio na mwisho. Baba yetu aliye<br />

mbinguni atafunua kwetu kwa namna inavyotosha kwa ajili ya uzuri wetu kujua; <strong>za</strong>idi ya<br />

pale tunapashwa kutumainia Mkono ule unaokuwa ni Mwenye mamlaka yote, Moyo<br />

unaojaa upendo.<br />

Mungu hataondoa kamwe sababu zote <strong>za</strong> kutoamini. Wote wanaotafuta sababu <strong>za</strong><br />

kuwekea mashaka yao watazipata. Na wale wanaokataa kutii hata kila kizuizi kinapokwisha<br />

kuondolewa hawatakuja kwa nuru kamwe. Moyo usiofanywa upya unakuwa katika uadui na<br />

220

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!