21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

upendo, shavu, lililolowana, maneno ya kukatwa na machozi, vimenipa ushahidi wa utawa<br />

wa moyo kuliko makelele yote katika ukristo.”<br />

Katika matengenezo adui <strong>za</strong>ke wakashitakiwa maovu ya ushupavu juu ya wale<br />

waliokuwa wakiomba sana kukataa ushupavu. Mwendo wa namna ileile ulikuwa ukifuatwa<br />

na wapin<strong>za</strong>ni wa kazi ya kiadventiste. Hawakutoshelewa na kuzidisha makosa ya ushupavu,<br />

wakaene<strong>za</strong> taarifa ambazo hazikuwa hata na uhusiano kidogo wa kweli. Amani yao ilikuwa<br />

ikisumbuliwa na kutangazwa kwa Kristo kuwa mlangoni. Waliogopa ingewe<strong>za</strong> kuwa kweli,<br />

huku wakatumaini kwamba haikuwako. Hii ilikuwa siri ya vita yao kwa kupinga<br />

Waadventiste.<br />

Mahubiri ya ujumbe wa malaika wa kwan<strong>za</strong> yalielekea mara kukomesha ushupavu.<br />

Wale walioshirikiana kwa kazi hizi kubwa walikuwa katika umoja; mioyo yao ilijazwa na<br />

upendo wa mtu kwa mwen<strong>za</strong>ke na kwa ajili ya Yesu, ambaye walimta<strong>za</strong>mia kumwona<br />

upesi. Imani moja, tumaini la baraka moja, wakahakikisha ngabo juu ya mashambulio ya<br />

Shetani.<br />

Kosa Linasahihishwa<br />

“Basi wakati bwana arusi alipokawia, wao wote wakasinzia na kulala usingizi. Lakini<br />

saa sita ya usiku kulikuwa kelele: Ta<strong>za</strong>ma bwana arusi anakuja! tokeni kukutana naye.”<br />

Katika wakati wa jua kali wa mwaka 1844 ujumbe ukatangazwa katika maneno ya<br />

Maandiko kabisa.<br />

Kile kilichoongo<strong>za</strong> kwa maendeleo haya kilikuwa ni uvumbuzi kwamba amri ya<br />

Artasasta kwa ajili ya kurudishwa kwa Yerusalema, ambayo ilisaidia kujua mwanzo wa<br />

hesabu ya siku 2300, ikafanyika katika masika ya mwaka wa 457 B.C., na si kwa mwanzo<br />

wa mwaka, kama ilivyoaminiwa. Hesabu kutoka masika ya mwaka 457, miaka 2300<br />

ikamalizika wakati wa masika ya mwaka 1844. Mifano ya Agano la Kale pia ilieleke<strong>za</strong> kwa<br />

wakati wa masika kama wakati ambao “kutakaswa kwa mahali patakatifu” kulipaswa<br />

kufanyika.<br />

Kuchinjwa kwa Kondoo wa Pasaka kulikuwa ni kivuli cha mauti ya Kristo, mfano<br />

ulitimilika, si kwa tukio tu, bali na kwa wakati. Kwa siku ya kumi na ine ya mwezi wa<br />

kwan<strong>za</strong> wa Wayuda, siku ile kabisa na mwezi ambapo kwa karne nyingi kondoo wa Pasaka<br />

alikuwa akichinjwa, Kristo akaanzisha karamu hiyo ambayo ilikuwa kwa kukumbuka mauti<br />

yake mwenyewe “Mwana-kondoo wa Mungu.” Kwa usiku uleule akakamatwa kwa<br />

kusulibiwa na kuuawa.<br />

165

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!