21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Watawala, watu wa siasa, wanacheria, waganga, wachuuzi, wanajiunga kanisani kwa<br />

kusudi la kwendesha faida <strong>za</strong>o <strong>za</strong> kidunia. Makundi mbalimbali ya dini, yakaja kusaidiwa<br />

na utajiri wa hawa wakidunia waliobatizwa, kuwa njia nzuri sana ya kuvuta watu wengi.<br />

Makanisa mazuri sana, na garama nyingi yakajengwa. Mshahara wa juu sana ulilipwa kwa<br />

mchungaji mwenye kipawa cha kukaribisha watu. Mahubiri yake yalipaswa kuwa rahisi na<br />

kupende<strong>za</strong> kwa masikio ya siku hizi. Kwa hiyo <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> siku hizi zinafichwa chini ya hila<br />

<strong>za</strong> wema, mfano wakuogopa Mungu.<br />

Mwandishi mmoja katika New York Independent akasema hivi juu ya dini ya<br />

Methodiste kama inavyokuwa: “Msitari wa mtengano kati ya wanaomwogopa Mungu na<br />

waovu unapotea katika namna ya kivuli, na watu wa bidii kwa pande zote mbili hujitahidi<br />

kutupia mbali tofauti yote kati ya desturi <strong>za</strong>o <strong>za</strong> kutenda na furaha.”<br />

Katika mwendo huu wa kutafuta anasa, kujinyima kwa ajili ya Kristo karibu kulipotea<br />

kabisa. “Kama fe<strong>za</strong> zinahitajiwa sasa, ... hakuna mtu anayepashwa kuitwa kwa kutoa. Aa<br />

hapana! kutayarisha maonyesho ya biashara, michezo ya kuingi<strong>za</strong> picha, michezo ya bahati<br />

(loterie), chakula cha jioni (banquet), wala kitu cha kula--kila kitu cho chote kwa kupende<strong>za</strong><br />

watu.”<br />

Robert Atkins anaonyesha picha ya upungufu wa kiroho katika Uingere<strong>za</strong>: ‘’ Uasi, uasi,<br />

uasi, ta<strong>za</strong>ma neno lililochorwa mbele ya makanisa yote; na wangejua, na waliiisikia na<br />

kungekuwa na tumaini; lakini, ole! Wakalalamika: “Sisi ni tajiri, tumepata vitu vingi; wala<br />

hatuhitaji kitu chochote.”‘ Zambi kubwa iliyoshitakiwa Babeli ni kwamba “amefanya<br />

mataifa yote kunywa mvinyo ya ga<strong>za</strong>bu ya uasherati wake. “Kikombe hiki ni mfano wa<br />

mafundisho ya uongo yale aliyokubali kama matokeo ya urafiki pamoja na dunia. Kwa<br />

nafasi yake hutumia mvuto wa uovu juu ya dunia kwa kufundisha mafundisho yaliyopinga<br />

maneno wazi ya Biblia.<br />

Kama haingekuwa kwamba dunia inaleweshwa na mvinyo wa Babeli, wengi<br />

wangalisadikishwa na kungeuzwa kweli kamili <strong>za</strong> Neno la Mungu. Lakini imani ya dini<br />

inaonekana kuwa na machafuko sana na kutopatana hata watu hawaujui kitu gani cha<br />

kuamini. Zambi ya dunia isiyotubiwa inalala mlangoni mwa kanisa.<br />

Ujumbe wa malaika wa pili haukutmilika katika mwaka 1844. Makanisa basi yalianguka<br />

kiroho kwa kukataa nuru ya ujumbe wa kurudi kwa Yesu, lakini hayakuanguka kabisa.<br />

Namna walikuwa wakiendelea kukataa mambo ya ukweli wa pekee kwa ajili ya wakati huu<br />

waliendelea kuanguka chini na kuendelea chini. Bado, lakini, itawezekana kusemwa<br />

kwamba “Babeli imeanguka, ... kwa sababu amefanya mataifa yote kunywa mvinyo wa<br />

hasira ya uasherati wake.” Makanisa ya Kiprotestanti yanakuwa ndani ya masitaka ya<br />

malaika wa pili. Lakini kazi ya uasi haijafikia hatua yake ya mwisho.<br />

Mbele ya kuja kwa Bwana, Shetani atatumika “na uwezo wote, na ishara na maajabu ya<br />

uwongo, na udanganyifu wote wa u<strong>za</strong>limu”; na wale ambao “hawakupokea mapendo kwa<br />

161

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!