21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Historia ya Israeli wa <strong>za</strong>mani ni onyesho la kushanga<strong>za</strong> ya mambo ya maisha ya wakati<br />

uliopita ya jamii ya Waadventisti. Mungu aliongo<strong>za</strong> watu wake katika mwendo wakurudi<br />

kwa Yesu,ijapo kama vile alivyoongo<strong>za</strong> wana wa Israeli kutoka Misri. Kama wote<br />

waliotumika kwa umoja katika kazi munamo mwaka 1844 wangepokea ujumbe wa malaika<br />

wa tatu na kuutanga<strong>za</strong> katika uwezo wa Roho Mtakatifu, miaka iliyopita ulimwengu<br />

ungekuwa umekwisha kuonywa na Kristo angekuwa amekwisha kuja kwa ajili ya ukombozi<br />

wa watu wake.<br />

Si Mapenzi ya Mungu<br />

Haikuwa mapenzi ya Mungu kwamba Israeli azunguke zunguke miaka makumi ine<br />

jangwani; alitamani kuwaongo<strong>za</strong> mara moja kwa Kanana na kuwaimarisha kule, watu<br />

watakatifu na wafuraha. Lakini “hawakuwe<strong>za</strong> kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.”<br />

Waebrania 3:19. Ni namna ileile, haikuwa mapenzi ya Mungu kwamba kuja kwa Kristo<br />

kupate kuchelewa wakati mrefu na watu wake wadumu miaka mingi sana duniani hii ya<br />

<strong>za</strong>mbi na huzuni. Kutoamini kukawatenga kwa Mungu. Katika rehema kwa ulimwengu,<br />

Yesu akakawisha kuja kwake, ili wenye <strong>za</strong>mbi wasikie onyo na kupata kimbilio kabla ya<br />

hasira ya Mungu kumiminika.<br />

Sasa kama katika vi<strong>za</strong>zi vya kwan<strong>za</strong>, kutangazwa kwa ukweli kutaamsha upin<strong>za</strong>ni.<br />

Wengi kwa kijicho wanashambulia tabia na makusudi ya wale wanaosimama katika kutetea<br />

ukweli usiopendwa na wengi. Elia alitangazwa kuwa mwenye kuleta taabu katika Israeli.<br />

Yeremia msaliti, Paulo mwenye kuchafua hekalu. Tangu siku ile hata leo, wale ambao<br />

wangekuwa waaminifu kwa kweli wameshitakiwa kuwa kama wafitini, wajushi, ao wenye<br />

kutengana.<br />

Kukiri kwa imani kulikofanywa na watakatifu na wafia dini, mifano hiyo ya utakatifu<br />

ukamilifu imara, kunatia moyo ndani ya wale wanaoitwa sasa kusimama kama washahidi<br />

kwa ajili ya Mungu. Kwa mtumishi wa Mungu kwa wakati huu kunaagizo linalosema:<br />

“Pa<strong>za</strong> sauti yako kama baragumu, uhubiri watu wangu kosa lao, na nyumba ya Yakobo<br />

<strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o.” “Nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli; kwa hivi sikia neno kwa<br />

kinywa changu, na uwape maonyo toka kwangu.” Isaya 58:1; Ezekieli 33:7.<br />

Kizuizi kikubwa kwa kukubali kweli ni kwamba inahusika na taabu na laumu. Hii ni<br />

mabishano tu kinyume cha ukweli ambayo wateteaji wake hawakuwe<strong>za</strong> kamwe kupinga.<br />

Lakini wafuasi wa kweli wa Kristo hawangojei ukweli kukubaliwa na watu wengi.<br />

Wanakubali msalaba, pamoja na Paulo kuhesabu kwamba “Mateso yetu mepesi yaliyo kwa<br />

dakika tu, yanatufanyia utukufu wa milele unaouzito mwingi”; pamoja na mmoja wa<br />

<strong>za</strong>mani, “akihesabu ya kuwa kulaumiwa kwa Kristo ni utajiri mwingi kuliko hazina <strong>za</strong><br />

Misri.” 2 Wakorinto 4:17; Waebrania 11:26.<br />

Inatupasa kuchagua haki kwa sababu inakuwa haki, na kuacha matokeo kwa Mungu.<br />

Kwa watu wa kanuni, imani na uhodari, dunia inakuwa na deni kwa ajili ya matengenezo<br />

192

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!