21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wakati vitabu vya ukumbusho vinapofunguliwa katika hukumu, maisha ya wote<br />

walioamini kwa Yesu yanakuja katika ukumbusho mbele ya Mungu. Kuanzia kwa wale<br />

walioishi kwan<strong>za</strong> duniani, Mtetezi wetu anaonyesha kesi <strong>za</strong> kila ki<strong>za</strong>zi kwa kufuatana. Kila<br />

jina linatajwa, kila kesi inachunguzwa. Majina yanakubaliwa, majina yanakataliwa. Wakati<br />

mtu ye yote anakuwa na <strong>za</strong>mbi zinazodumu kwa vitabu vya ukumbusho, zisizoungamwa na<br />

kusamehewa, majina yao yatafutwa katika kitabu cha uzima. Bwana akamwambia Musa:<br />

“Mutu aliyenikosea, ndiye nitakayemwondosha katika kitabu changu.” Kutoka 32:33.<br />

Wote waliotubu kwa kweli na katika imani wakadai damu ya Kristo kama kafara yao ya<br />

upatanishi walipata rehema wakaingia katika vitabu vya mbinguni. Kwa namna<br />

wanafanywa washiriki wa haki wa Kristo na tabia <strong>za</strong>o zinaonekana kuwa katika umoja na<br />

sheria ya Mungu, <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o zitafutwa mbali, na watahesabiwa wenyekustahili uzima wa<br />

milele. Bwana anasema: “Mimi, ndiye anayefuta makosa yako kwa ajili yangu mwenyewe;<br />

nami sitakumbuka <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ko.” “Yeye anayeshinda atavikwa nguo nyeupe, wala<br />

sitaondosha jina lake katika kitabu cha uzima; nami nitakiri jina lake mbele ya Baba yangu,<br />

na mbele ya malaika <strong>za</strong>ke.’‘ “Basi kila mtu anayenikiri mbele ya watu, nitamukiri vilevile<br />

mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.” Isaya 43:25; Ufunuo 3:5; Matayo 10:32,33.<br />

Mtetezi wa kimungu anaonyesha maombi yale yote ya walioshinda kwa njia ya imani<br />

katika damu yake wapate kurudishwa kwa makao yao ya Edeni na kuvikwa taji kama kuwa<br />

wariti pamoja naye mwenyewe kwa “mamlaka ya mwanzo.” Mika 4:8. Sasa Kristo anauli<strong>za</strong><br />

ya kuwa mpago wa kimungu katika kuumbwa kwa mtu upate kutimizwa kama kwamba mtu<br />

hakuanguka kamwe. Anauli<strong>za</strong> kwa ajili ya watu wake si rehema tu na kuhesabiwa haki, bali<br />

sehemu katika utukufu wake na kukaa kwa kiti chake cha enzi.<br />

Wakati Yesu anapoombea watu neema yake, Shetani anawashitaki mbele ya Mungu.<br />

Anaonyesha ukumbusho wa maisha, upungufu wa tabia, kuwa na tofauti kwa Kristo, kwa<br />

<strong>za</strong>mbi zote alizowajaribu nazo kufanya. Kwa sababu ya mambo haya anawadai kuwa watu<br />

wake.<br />

Yesu haruhusu <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o, lakini anaonyesha toba yao na imani. Anapoomba msamaha<br />

kwa ajili yao, anainua mikono yake iliyojeruhiwa mbele ya Baba, kusema: Nimewachora<br />

kwa viganja vya mikono yangu. “Zabihu <strong>za</strong> Mungu ni roho ya kuvunjika, moyo uliovunjika<br />

na toba hutau<strong>za</strong>rau, Ee Mungu.” Zaburi 51:17.<br />

Bwana Anahamakia Shetani<br />

Na kwa mushitaki anasema: “Bwana akuhamakie, Ee Shetani. Ndiyo Bwana aliyechagua<br />

Yerusalema, akuhamakie. Hiki si kinga kilichoondoshwa katika moto?” Zekaria 3:2. Kristo<br />

atavika waaminifu wake kwa haki yake mwenyewe, ili aweze kuwaonyesha kwa Baba yake<br />

“kanisa la utukufu, pasipo alama wala kikunjo wala kitu cho chote kama hivi.” Waefeso<br />

5:27.<br />

203

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!