21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kama amri hii ingekazwa “Matengenezo hayangewe<strong>za</strong> kuenezwa ... ao kuanzishwa kwa<br />

misingi ya nguvu ... mahali ambapo ilikwisha kuwako.” Uhuru ungalikatazwa.<br />

Mazungumzo hayangaliruhusiwa. Matumaini ya ulimwengu yangeonekana kukomeshwa.<br />

Washiriki wa kundi la injili wakaangaliana kwa hofu: “Kitu gani kinachofaa kufanywa?”<br />

“Je, wakuu wa Matengenezo wanapaswa kutii, na kukubali amri hiyo? ... Waongozi wa<br />

Luther wakapewa uhuru wa ibada ya dini yao. Fazili ya namna moja ikatolewa kwa wale<br />

wote waliokubali Matengenezo kabla ya kuwekwa kwa amri walikuwa wamekwisha<br />

kukubali maoni ya matengenezo. Je, jambo hilo halinge wapende<strong>za</strong>? ...<br />

“Kwa furaha wakaangalia kanuniambapo matengenezo yaliwekwa kwa msingi<br />

ulioazimiwa, na wakatenda kwa imani. Kanuni ile ilikuwa nini? Ilikuwa haki ya Warumi<br />

kushurutisha <strong>za</strong>miri na kukata<strong>za</strong> uhuru wa kuuli<strong>za</strong> swali. Lakini, hawakuwa wao wenyewe<br />

na watu wao Waprotestanti kuwa na furaha ya uhuru wa dini? Ndiyo, kama fazili ya upekee<br />

iliyofanywa katika mapatano, lakini si kama haki. ... Ukubali wa matengenezo yaliyotakiwa<br />

kwamba ruhusa ya kuingia uhuru ya dini ilipashwa kuwa tu kwa mategenezo ya Saxony na<br />

kwa pande zingine zote <strong>za</strong> misiki ya kikristo uhuru wa kuuli<strong>za</strong> swalina ushuhuda wa imani<br />

ya matengenezo vilikua kuasi na vilipashwa kuuzuriwa kifungoni na kifo cha kuchomwa<br />

kwa mti. Je, waliwe<strong>za</strong> kuruhusu kutumia mahali maalum kwa uhuru wa dini? . . . Je,<br />

Watengene<strong>za</strong>ji wangewe<strong>za</strong> kujitetea kwamba walikuwa bila kosa kwa damu ya wale mamia<br />

na maelfu ambao katika kufuata kwa mapatano haya, wangetoa maisha yao katika inchi zote<br />

<strong>za</strong> kanisa la Roma?”<br />

“Hebu tukatae amri hii,” wakasema watawala. “Katika mambo ya <strong>za</strong>miri uwingi wa<br />

watu hawana uwezo.” Kulinda uhuru wa <strong>za</strong>miri ni kazi ya taifa, na huu ndiyo mpaka wa<br />

mamlaka yake katika mambo ya dini.<br />

Wakatoliki wakakusudia kuvunja kile walichoita “ushupavu hodari (uhodari usio wa<br />

kuachia mtu nafasi yoyote).” Wajumbe wa miji iliyokuwa na uhuru waliombwa kutanga<strong>za</strong><br />

kwamba wangekubali maneno ya mashauri yaliyo kusudiwa. Waliomba muda, lakini kwao<br />

hawakukubaliwa. Karibu nusu ya watu walikuwa kwa upande wa Watengene<strong>za</strong>ji, wakijua<br />

kwamba musimamo wao utawapeleka kwa hukumu ijayo na mateso. Mmoja akasema,<br />

“Tunapashwa kukana neno la Mungu, ao kuchomwa.”<br />

Ushindani Bora wa Waana wa Wafalme<br />

Mfalme Ferdinand, mjumbe wa mfalme, akajaribu ufundi wa mvuto. “Akaomba waana<br />

wa wafalme kukubali amri, kuwahakikishia kwamba mfalme angependezwa sana nao.”<br />

Lakini watu hawa waaminifu wakajibu kwa upole: “Tutamtii mfalme kwa kila kitu<br />

kitakacholeta amani na heshima ya Mungu.”<br />

Mwishowe mfalme akatanga<strong>za</strong> kwamba “njia yao moja tu inayobaki ilikuwa ni kujiweka<br />

nchini ya walio wengi.” Alipokwisha kusema basi, akaenda <strong>za</strong>ke, bila kuwapa<br />

80

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!