21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mwisho wa siku 2300 <strong>za</strong> Danieli 8:14, mahali ambamo majuma makumi saba yanakuwa<br />

Sehemu moja. Mahubiri ya kila mojawapo yalisimamia juu ya utimilifu wa sehemu<br />

mbalimbali <strong>za</strong> mda wa unabii ule ule.<br />

Kama wanafunzi wa kwan<strong>za</strong>, William Miller na washiriki wake hawakufahamu kabisa<br />

ujumbe waliuochukua. Makosa yaliyoanzishwa mda mrefu katika kanisa yakazuia maelezo<br />

sahihi ya jambo kubwa katika unabii. Kwa hiyo, ijapo walitanga<strong>za</strong> ujumbe ambao Mungu<br />

aliwatolea, lakini katika kukosa kufahamu maana yake wakateseka kwa kukata tamaa.<br />

Miller akaingi<strong>za</strong> maoni ya kawaida kwamba dunia ni “mahali patakatifu,” na akaamini<br />

kwamba “kutakasika kwa mahali patakatifu” kulionyesha kutakasika kwa dunia na moto<br />

kwa kuja kwa Bwana. Kwa hiyo, mwisho wa siku 2300, aka<strong>za</strong>ni, zilifunua wakati wa kuja<br />

kwa Yesu mara ya pili.<br />

Kutakaswa kwa mahali patakatifu ilikuwa kazi ya mwisho iliyofanywa na kuhani mkuu<br />

katika utaratibu wa huduma wa mwaka. Ilikuwa ni kufunga kazi ya upatanisho--kuondoa ao<br />

kuweka mbali <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> Israeli. Ilionyesha picha la kufunga kazi ya Kuhani Mkuu wetu<br />

mbinguni katika kuondoa ao kufutia mbali <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> watu wake zilizoandikwa katika vitabu<br />

mbinguni. Kazi hii inaleta uchunguzi, kazi ya hukumu, na inatangulia bila kukawia kuja<br />

kwa Kristo katika mawingu ya mbingu, kwani atakapokuja kila jambo litakuwa limekwisha<br />

kukatwa. Asema Yesu: “Na mshahara wangu ni pamoja nami, kulipa kila mtu kama ilivyo<br />

kazi yake.” Ufunuo 22:12. Ni hii kazi ya hukumu inayotangazwa na ujumbe wa malaika wa<br />

kwan<strong>za</strong> wa Ufunuo 14:7. “Ogopeni Mungu, na kumutuku<strong>za</strong> kwa maana saa ya hukumu<br />

yake imekuja.”<br />

Wale waliotanga<strong>za</strong> onyo hili walitoa ujumbe wa haki kwa wakati unaofaa. Namna<br />

wanafunzi walikuwa hawakufahamu juu ya ufalme wa kusimamishwa kwa mwisho wa<br />

“majuma makumi saba,” vivyo hivyo Waadventisti hawakufahamu habari ya jambo<br />

lililopashwa kufanyika kwa mwisho wa “siku 2300.” Katika mambo mawili haya makosa<br />

inayopendwa na watu wengi ikapofusha akili kwa kutojua ukweli. Wote wawili wakatimi<strong>za</strong><br />

mapenzi ya Mungu kwa kutoa ujumbe aliotamani utolewe, na wote wawili katika kukosa<br />

kufahamu maana ya ujumbe wao wakateseka kwa kukata tamaa.<br />

Lakini Mungu alitimi<strong>za</strong> kusudi lake katika kuruhusu onyo la hukumu kutolewa kama<br />

ilivyokuwa. Katika maongozi yake ujumbe ulikuwa kwa ajili ya uchunguzi na utakaso wa<br />

kanisa. Je, upendo wao ulikuwa juu ya dunia ao juu ya Kristo na mbingu? Je walikuwa<br />

tayari kuacha tamaa <strong>za</strong>o mbaya <strong>za</strong> dunia na kukaribisha kuja kwa Bwana wao?<br />

Uchungu vile ungechungu<strong>za</strong> mioyo ya wale waliojidai kupokea onyo. Je, wangetupilia<br />

mbali tumaini lao katika Neno la Mungu walipoitwa kwa kuvumilia makemeo ya dunia na<br />

jaribu la kukawia na kukata tamaa? Kwani hawakufahamu mara moja mambo ya Mungu, je<br />

wangetupa pembeni kweli iliyo kubaliwa na ushuhuda wazi wa Neno lake? Jaribu hili linge<br />

fundisha hatari ya kukubali maelezo ya watu baadala ya kufanya Biblia mtafsiri wake<br />

145

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!