21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Katika agano jipya <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> mwenye kutubu zinawekwa kwa imani juu ya Kristo na<br />

kuhamishwa kweli kwa Pahali patakatifu pa mbinguni. Na kama kusafishwa kwa mfano<br />

kwa Pahali patakatifu pa kudunia kulifanywa na ondoleo la <strong>za</strong>mbi ambazo zilipachafua,<br />

vivyo hivyo utakaso wa sasa wa mbinguni unatimizwa kwa ondoleo, ao kufutwa, kwa <strong>za</strong>mbi<br />

zilizoandikwa pale. Lakini kabla ya jambo hili kuwe<strong>za</strong> kufanyika uchunguzi unapashwa<br />

kufanyika pale wa vitabu vya ukumbusho kuonyesha ni wanani, kwa njia ya toba na imani<br />

katika Kristo, wanaostahili kupata faida ya upatanisho wake. Basi utakaso wa Pahali<br />

patakatifu kwa hivi unahusika na kazi ya uchunguzi -kazi ya hukumu -ya kutangulia kuja<br />

kwa Kristo, kwa maana wakati atakuja, na mushahara wake ni pamoja naye kulipa kila mutu<br />

kama ilivyo kazi yake. Ufunuo 22:12.<br />

Kwa hivyo wale waliofuata nuru ya neno la unabii waliona kwamba, badala ya kuja<br />

duniani kwa mwisho wa siku 2300 katika mwaka 1844, Kristo aliingia kwa Pahali<br />

patakatifu pa patakatifu mno pa mbinguni kufanya kazi ya mwisho ya upatanisho wa<br />

kutangulia kuja kwake.<br />

Wakati Kristo katika uwezo wa damu yake anapoondoa <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> watu wake kutoka kwa<br />

Pahali patakatifu pa mbinguni kwa mwisho wa huduma yake, ataziweka juu ya Shetani,<br />

anayepashwa kupata a<strong>za</strong>bu ya mwisho. Mbuzi wa A<strong>za</strong>zeli akatumwa mbali katika inchi<br />

isiyokaliwa, hawezi kuja tena katika makutano ya Waisraeli. Ndivyo Shetani<br />

atakavyoangamizwa milele mbele ya Mungu na watu wake, na ataondolewa maisha katika<br />

uharibifu wa mwisho wa <strong>za</strong>mbi na wenye <strong>za</strong>mbi.<br />

177

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!