21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mambo yanapowekwa wazi mbele ya watu na watakapoletwa kwa kuchagua kati ya amri <strong>za</strong><br />

Mungu na amri <strong>za</strong> watu, ndipo wale wanaoendelea katika kuvunja amri watapokea “chapa<br />

ya mnyama.”<br />

Onyo la Malaika wa Tatu<br />

Hofu ya kutisha <strong>za</strong>idi iliyoambiwa daima kwa wanadamu inakuwa katika ujumbe wa<br />

malaika wa tatu. Watu hawapaswi kuachwa gi<strong>za</strong>ni juu ya jambo hili la maana; onyo<br />

linapaswa kutolewa kwa ulimwengu kabla ya kuzuriwa kwa hukumu ya Mungu, ili wote<br />

waweze kuwa na bahati ya kuziepuka. Malaika wa kwan<strong>za</strong> anafanya tangazo lake kwa “kila<br />

taifa, na kabila, na lugha, na jamaa.” Onyo la malaika wa tatu ni la kuenea sana,<br />

linatangazwa kwa sauti kubwa na litaagi<strong>za</strong> uangalifu wa ulimwengu.<br />

Wote watajitenga kwa makundi makubwa mawili--wale wanaoshika amri <strong>za</strong> Mungu na<br />

imani ya Yesu, na wale wanaomwabudu mnyama na sanamu yake na wanapokea chapa<br />

yake. Kanisa na Serkali itaungana kushurutisha “wote” kwa kupokea “chapa cha mnyama,”<br />

kwani watu wa Mungu hawataipokea. Nabii anata<strong>za</strong>ma “wale walioshinda yule nyama na<br />

sanamu yake, na hesabu ya jina lake, wamesimama kando ya bahari ya kioo, wenye vinubi<br />

vya Mungu.” Ufunuo 15:2.<br />

189

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!