21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

yatimie.” Juu yake mwenyewe akasema: “Ninafurahi kufanya mapenzi yako, Ee Mungu<br />

wangu; Ndiyo, sheria yako ni moyoni mwangu.” Matayo 5:17,18; Zaburi 40:8.<br />

Sheria ya Mungu haibadilike, ufunuo wa tabia ya Muumba wake. Mungu ni mapendo, na<br />

sheria yake ni mapendo. “Mapendo ni utimilifu wa sheria.” Asema mwandishi wa Zaburi:<br />

“Na sheria yako ni kweli”; “maana maagizo yako yote ni haki.” Paulo anasema: “Basi torati<br />

ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki na njema.” Waroma 13:10; Zaburi<br />

119:142,172; Waroma 7:12. Sheria kama hiyo inapaswa kuwa ya kuendelea kama Muumba<br />

wake.<br />

Ni kazi ya toba na utakaso kwa kupatanisha watu kwa Mungu kwa njia ya<br />

kuwapatanisha katika umoja pamoja na kanuni <strong>za</strong> sheria. Katika mwanzo, mutu alikuwa<br />

katika umoja kamili pamoja na sheria ya Mungu. Lakini <strong>za</strong>mbi ikamtenga kwa Muumba<br />

wake. Moyo wake ulikuwa kwa vita juu ya sheria ya Mungu. “Kwa sababu nia ya mwili ni<br />

uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi.” Waroma 8:7.<br />

Lakini “Kwa maana Mungu alivyopenda ulimwengu, hata kutoa Mwana wake wa pekee,” ili<br />

mutu aweze kupatanishwa kwa Mungu, kurudishwa kwa umoja pamoja na Muumba wake.<br />

Badiliko hili ni ku<strong>za</strong>liwa kupya, isipokuwa hivyo “hawezi kuona ufalme wa Mungu.” Yoane<br />

3:16,3.<br />

Kukubali Zambi<br />

Hatua ya kwan<strong>za</strong> kwa upatanisho na Mungu ni kukubali <strong>za</strong>mbi. “Zambi ni uasi (wa<br />

sheria).” “Kwa njia ya sheria <strong>za</strong>mbi inajulikana.” 1 Yoane 3:4; Waroma 3:20. Ili kuwe<strong>za</strong><br />

kuona kosa lake, mwenye <strong>za</strong>mbi anapaswa kupima tabia yake kwa kioo cha Mungu<br />

kinachoonyesha ukamilifu wa tabia ya haki na kumwezesha kutambua pungufu ndani yake<br />

mwenyewe.<br />

Sheria inafunulia mtu <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke, lakini haitoi dawa. Inatanga<strong>za</strong> kwamba kifo ni<br />

sehemu ya mkosaji. Injili ya kristo peke yake inawe<strong>za</strong> kumweka huru kwa hukumu ao<br />

uchafu wa <strong>za</strong>mbi. Anapashwa kuzoea kutubu mbele ya Mungu, kwa sheria yake<br />

iliyovunjwa, na imani katika Kristo, kafara ya upatanisho wake. Kwa hivyo anapata<br />

“ondoleo la <strong>za</strong>mbi zile zilizopita” (Waroma 3:25) na anakuwa mwana wa Mungu.<br />

Je, sasa anakuwa huru kuvunja sheria ya Mungu? Asema Paulo: “Basi, tunafanyi<strong>za</strong><br />

sheria kuwa bule kwa njia ya imani? Hapana, hata kidogo; lakini tunasimamisha sheria.”<br />

“Sisi tuliokufia <strong>za</strong>mbi, namna gani tutakaa ndani yake tena?” Yoane anasema: “Kwa maana<br />

kupenda Mungu ni kushika amri <strong>za</strong>ke; na amri <strong>za</strong>ke si nzito.” Katika ku<strong>za</strong>liwa kupya moyo<br />

unaletwa katika umoja pamoja na Mungu, katika upatano pamoja na sheria yake. Wakati<br />

badiliko hili linafanyika ndani ya mwenye <strong>za</strong>mbi amepita toka mauti hata katika uzima,<br />

kutoka kwa kosa na uasi hata kwa utii na uaminifu. Maisha ya <strong>za</strong>mani yameisha; maisha<br />

mapya ya upatanisho, imani, na mapendo yamean<strong>za</strong>. Basi “haki ya sheria” “vita itimizwa<br />

ndani yetu, tusiotembea kufuata maneno ya mwili, lakini kufuata maneno ya Roho.” Lugha<br />

196

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!