21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

maneno haya yote yatakayokuwa, na kusimama mbele ya Mwana wa watu.” Luka 21:34,<br />

36.<br />

Ilikuwa jambo la maana sana kwamba watu waamshwe kwa kujitayarisha kwa ajili ya<br />

mambo makubwa yanayo husiana na kufungwa kwa rehema. ‘’Siku ya Bwana ni kubwa na<br />

ya kuogopesha, nani anayewe<strong>za</strong> kuivumilia?” Nani atakayesimama wakati atakapoonekana<br />

yeye anayekuwa na “macho safi <strong>za</strong>idi hata asiweze kuta<strong>za</strong>ma mabaya,” na hawezi<br />

“kuta<strong>za</strong>ma ukaidi”? “Nami nitaazibu ulimwengu kwa sababu ya ubaya wake, na wenye<br />

<strong>za</strong>mbi kwa sababu ya uovu wao, nami nitakomesha kiburi cha wenye majivuno; nami<br />

nitaangusha chini majivuno ya wenye ukali.” “Wala fe<strong>za</strong> <strong>za</strong>o wala <strong>za</strong>habu <strong>za</strong>o hazitawe<strong>za</strong><br />

kuwaponyesha;” “Na utajiri wao utakuwa mateka, na nyumba <strong>za</strong>o ukiwa.” Yoeli 2:11;<br />

Habakuki 1:13; Isaya 13:11; Zefania 1:18, 13.<br />

Mwito kwa Kuamka<br />

Kwa maoni ya siku ile kubwa Neno la Mungu linaita watu wake kutafuta uso wake<br />

katika toba: “Siku ya Bwana inakuja, kwani imekaribia.” “Takaseni kufunga chakula, iteni<br />

kusanyiko la dini; kusanyeni watu, takaseni makutano, kusanyeni wazee, kusanyeni watoto:<br />

... Makuhani, watumishi wa Bwana, lia katikati ya bara<strong>za</strong> na ma<strong>za</strong>bahu.” “Geukeni kwangu<br />

na moyo wenu wote, na pamoja na kufunga chakula, na kutoa machozi na kuombole<strong>za</strong>; na<br />

pasueni moyo wenu, wala si mavazi yenu, geukeni kwa Bwana, Mungu wenu; kwa kuwa ni<br />

mwenye neema na, anayejaa huruma, si mwepesi kwa kukasirika, na mwenye rehema<br />

nyingi.” Yoeli 2:1, 15-17, 12,13.<br />

Kwa kutayarisha watu kusimama kwa siku ya Mungu, kazi kubwa ya matengenezo<br />

ilipashwa kutimilika. Katika huruma <strong>za</strong>ke alikuwa karibu kutuma mjumbe kwa kuamsha<br />

waliojidai kuwa watu wake na kuwaongo<strong>za</strong> kujitayarisha kwa kuja kwa Bwana.<br />

Onyo hili linaonyeshwa katika Ufunuo 14. Hapa kunakuwa na namna tatu ya ujumbe<br />

unaoonyeshwa kama unatangazwa na viumbe vya mbinguni na mara moja ukafuatwa na<br />

kuja kwa Mwana wa mtu kwa kuvuna “mavuno ya dunia.” Nabii aliona malaika akiruka<br />

“katikati ya mbingu, mwenye Habari Njema ya milele, awahubiri wale wanaokaa juu ya<br />

dunia, na kila taifa na kabila na lugha na jamaa, akasema kwa sauti kubwa: Ogopeni Mungu,<br />

na kumutuku<strong>za</strong> kwa maana saa ya hukumu yake imekuja. Mukamwabudu yeye aliyezifanya<br />

mbingu na dunia na bahari na chemchemi <strong>za</strong> maji.” Ufunuo 14:6. 7.<br />

Ujumbe huu ni sehemu ya “Habari Njema ya milele.” Kazi ya kuhubiri ilipewa wala<br />

kuaminishwa kwa watu. Malaika watakatifu huongo<strong>za</strong>, lakini tangazo la sasa la habari<br />

njema linafanywa na watumishi wa Kristo duniani. Watu waaminifu, watiifu kwa maongozi<br />

ya Roho wa Mungu na mafundisho ya Neno lake, walipashwa kutanga<strong>za</strong> onyo hili.<br />

Walikuwa wakitafuta maarifa ya Mungu, kuihesabu “vema kuliko biashara ya fe<strong>za</strong>, na faida<br />

yake ni nyororo kuliko <strong>za</strong>habu safi.” “Siri ya Bwana ni pamoja nao wanaomwogopa; Naye<br />

atawaonyesha agano lake.” Me<strong>za</strong>li 3:14; Zaburi 25:14.<br />

125

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!