21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Calvin akapitia siku moja katika uwanja mkubwa, kwa bahati njema akaona mpinga<br />

ibada ya dini anapokufa kwa moto. Miongoni mwa mateso ya kifo cha kuhofisha na chini ya<br />

kukatiwa hukumu kwa kanisa, mfia dini akaonyesha imani na uhodari ambao mwanafunzi<br />

kijana kwa uchungu aliona ni kinyume kwa ukosefu wa tumaini lake mwenyewe na gi<strong>za</strong>.<br />

Juu ya Biblia, alijua, “wazushi” walidumisha imani yao. Akakusudia kujifun<strong>za</strong> Biblia<br />

yenyewe na kuvumbua siri ya furaha yao.<br />

Ndani ya Biblia akampata Kristo. “Ee Baba,” akalia, “Kafara yake ilituli<strong>za</strong> hasira yako;<br />

Damu yake imesafisha takataka <strong>za</strong>ngu; Msalaba wake ulichukua laana yangu; Mauti yake<br />

ilitoa kafara kwa ajili yangu. ... Umegusa moyo wangu, ili niweze kusimama katika matendo<br />

mema mengine yote kama mahukizo isipokuwa matendo mema ya Yesu.<br />

Sasa akakusudia kutoa maisha yake kwa injili. Lakini kwa tabia alikuwa mwenye woga<br />

na alitamani kujitoa mwenyewe kujifun<strong>za</strong>. Maombi ya bidii ya rafiki <strong>za</strong>ke, lakini,<br />

mwishowe yakashinda ukubali wake kwa kuwa mwalimu wa watu wote. Maneno yake<br />

yalikuwa kama umande unaoanguka kwa kuburudisha udongo. Alikuwa sasa katika mji wa<br />

jimbo chini ya ulinzi wa binti kifalme Margeurite, ambaye, kwa kupenda injili, akaene<strong>za</strong><br />

ulinzi wake kwa wanafunzi wake. Kazi ya Calvin ikaan<strong>za</strong> pamoja na watu nyumbani mwao.<br />

Wale waliosikia ujumbe wakachukua Habari Njema kwa wengine. Akaendelea, kuweka<br />

msingi wa makanisa yaliyopaswa kutoa ushuhuda hodari kwa ajili ya ukweli.<br />

Mji wa Paris ulipashwa kupokea mwaliko mwengine kwa kukubali injili. Mwito wa<br />

Lefévre na Farel ulikataliwa, lakini ujumbe ulipashwa kusikiwa tena kwa vyeo vyote katika<br />

mji mkuu ule. Mfalme alikuwa hajakamata mpango wa kuwa upande wa Roma kupinga<br />

Matengenezo. Margeurite (dada yake) alitamani kwamba imani ya Matengenezo ihubiriwe<br />

katika Paris. Akaagi<strong>za</strong> mhubiri wa Kiprotestanti kuhubiri katika makanisa. Jambo hili<br />

likakatazwa na mapadri wa Papa, binti mfalme akafungua jumba. Ikatangazwa kwamba kila<br />

siku hotuba inapaswa kufanyika, na watu wakaalikwa kuhuzuria. Maelfu wakakusanyika<br />

kila siku.<br />

Mfalme akaagi<strong>za</strong> kwamba makanisa mawili ya Paris yalipaswa kufunguliwa. Kamwe<br />

mji ulikuwa haujavutwa na Neno la Mungu kama wakati ule. Kiasi, usafi, utaratibu, na<br />

utendaji, mambo yale yakachukua pahali pa ulevi, uasherati, shindano, na uvivu. Weakati<br />

walikubali injili, walio wengi wa watu wakaikataa. Wakatoliki wakafaulu kupata tena<br />

uwezo wao. Tena makanisa yakafungwa na mti wa kufungia watu wakuchomwa<br />

ukasimamishwa.<br />

Calvin alikuwa akingali Paris. Mwishowe mamlaka ikakusudia kumleta kwa ndimi <strong>za</strong><br />

moto. Hakuwa na mawazo juu ya hatari wakati rafiki walikuja kwa haraka kwa chumba<br />

chake na habari kwamba wakuu walikuwa njiani mwao kumfunga. Kwa wakati ule sauti ya<br />

bisho likasikiwa kwa mlango wa inje. Hapo hapakuwa na wakati wa kupote<strong>za</strong>. Rafiki<br />

wakakawisha wakuu mlangoni na wengine wakasaidia Mtengene<strong>za</strong>ji kumshusha chini kwa<br />

dirisha, na kwa haraka akaenda kwa nyumba ndogo ya mtu wa kazi aliyekuwa rafiki wa<br />

88

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!