21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 12. Mapambazuko Katika Ufransa<br />

Ushuhuda wa Spires na Ungamo la Augsburg yalifuatwa na miaka ya vita na gi<strong>za</strong>.<br />

Yakazoofishwa na migawanyiko, Kiprotestanti kikaonekana katika hali ya kuangamizwa.<br />

Lakini wakati wa ushindi huu wa wazi mfalme akapigana sana na kushindwa. Mwishowe<br />

akalazimishwa kukubali kuachia uhuru mafundisho ambayo ilikuwa tamaa ya nguvu katika<br />

maisha yake ya kuyaharibu.<br />

Aliona majeshi yake kuangamizwa na vita, hazina <strong>za</strong>ke kutiririka, watu wengi wa ufalme<br />

wake kutiishwa na uasi, na po pote ambapo imani aliyojitahidi kukomesha ikaenea. Charles<br />

V alikuwa akigombe<strong>za</strong> uwezo wa Mwenye mamlaka yote. Mungu alisema, “Nuru iwe,”<br />

lakini mfalme akataka kudumisha gi<strong>za</strong>. Aliposhindwa kutimi<strong>za</strong> makusudi yake, akazeeka<br />

upesi, akajitosha kitini cha ufalme na akaenda kujizika mwenyewe katika nyumba ya<br />

watawa.<br />

Katika Uswisi, hivi makambi mengi yalikubali imani ya Matengenezo, wengine<br />

wakajifungia kwa imani ya Roma. Mateso juu ya wafuasi ikaamka kuwa vita vya wenyewe<br />

kwa wenyewe. Zwingli na wengi waliojiunga katika Matengenezo wakaanguka kwa shamba<br />

la damu la Cappel. Roma ikawa na ushindi na katika mahali pengi ikaonekana kupata yote<br />

aliyopote<strong>za</strong>. Lakini Mungu hakusahau kazi yake wala watu wake. Kwa upande mwengine<br />

akainua watumishi kuendesha kazi ya Matengenezo.<br />

Katika Ufransa mmojawapo wa kwan<strong>za</strong> kupata nuru alikuwa ndiye Lefévre; mwalimu<br />

katika chuo kikuu cha Paris. Katika uchunguzi wake wa vitabu vya maandiko ya <strong>za</strong>mani,<br />

uangalifu wake ukaongozwa kwa Biblia, na akaingi<strong>za</strong> mafundisho yake miongoni mwa<br />

wanafunzi wake. Akaan<strong>za</strong> kutayarisha historia ya watakatifu wa wafia dini kama<br />

ilivyotolewa katika mapokeo ya kanisa, na alikuwa amekwisha kufanya maendeleo ya<br />

namna sana kwa hayo, alipofikiri kwamba angewe<strong>za</strong> kupata usaada kutoka kwa Biblia,<br />

akaan<strong>za</strong> mafundisho yake. Na hapa kweli akapata watakatifu, lakini si kama vile ilionekana<br />

katika kalenda ya Roma (Kanisa la Katoliki). Katika machukio akaenda <strong>za</strong>ke kwa kazi<br />

aliyojiagizia mwenyewe na akajitoa wakfu kwa Neno la Mungu.<br />

Katika mwaka 1512 kabla ya Luther ao Zwingli walikuwa hawajaan<strong>za</strong> kazi ya<br />

Matengenezo, Lefévre akaandika, “Ni Mungu anayetupatia, kwa imani, haki ile ambayo<br />

kwa neema pekee hutuhesabia haki kwa uzima wa milele.” Na wakati alipofundisha<br />

kwamba utukufu wa wokovu ni wa Mungu tu, na akatanga<strong>za</strong> pia kwamba kazi ya kutii ni ya<br />

binadamu.<br />

Wengine miongoni mwa wanafunzi wa Lefévre wakasikili<strong>za</strong> kwa bidii maneno yake na<br />

wakati mrefu baada ya sauti ya mwalimu kunyama<strong>za</strong>, wakaendelea kutanga<strong>za</strong> ukweli.<br />

Mmoja wao alikuwa William Farel. Alikelewa kwa wa<strong>za</strong>zi watawa na mkatoliki mwenye<br />

juhudi, alitamani sana kuharibu kila kitu kilichojaribu pinga kanisa. “Ningesaga meno<br />

yangu kama mbwa mwitu mkali,” akasema baadaye. “Ninaposikia mtu ye yote kusema<br />

84

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!