21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Yule aliyeahidi uzima katika uasi alikuwa mdanganyi mkubwa. Na tangazo la nyoka<br />

katika Edeni--“Hakika hamutakufa”--lilikuwa hubiri la kwan<strong>za</strong> lililohubiriwa daima juu ya<br />

kutokufa kwa roho (nafsi). Lakini tangazo hili, la kubaki tu kwa mamlaka ya Shetani,<br />

linakaririwa kwa mimbara na kukubaliwa kwa watu wengi kwa upesi kama mbele kwa<br />

wa<strong>za</strong>zi wetu wa kwan<strong>za</strong>. Hukumu ya Mungu, “Nafsi inayofanya <strong>za</strong>mbi itakufa” (Ezekieli<br />

18:20) inafanywa kwa kutaka kuonyesha, Nafsi inayofanya <strong>za</strong>mbi, haitakufa, lakini itaishi<br />

milele na milele. Kama mtu angalipewa ruhusa ya uhuru ya kukaribia mti wa uzima, baada<br />

ya kuanguka kwake, <strong>za</strong>mbi zingalifanywa kukaa milele. Lakini hakuna hata mtu mmoja wa<br />

jamaa ya Adamu aliyeruhusiwa kuonja (kutwaa) tunda linalotoa uzima. Kwa hiyo hapo<br />

hakuna mwenye <strong>za</strong>mbi wa kuishi milele.<br />

Baada ya Kuanguka, Shetani akaalika malaika <strong>za</strong>ke kufundisha imani katika kutokufa ya<br />

milele kwa asili ya mtu. Akiisha kuingi<strong>za</strong> watu kukubali kosa hili, ilikuwa ni kuwaongo<strong>za</strong><br />

ku<strong>za</strong>nia kama mwenye <strong>za</strong>mbi angeishi katika mateso ya milele. Sasa mfalme wa gi<strong>za</strong><br />

anamuonyesha Mungu kuwa sultani mkali mwenye kutaka kisasi, kutanga<strong>za</strong> ya kama<br />

anatumbuki<strong>za</strong> katika jehanum wote wasiompende<strong>za</strong>, ya kama wakati wanapojinyonga<br />

katika ndimi <strong>za</strong> moto wa milele, Muumba wao anawata<strong>za</strong>ma chini na kurizika. Kwa hivi<br />

ibilisi mukubwa anavika Mtenda mema kwa mwanadamu tabia <strong>za</strong>ke. Ukali ni tabia ya<br />

Shetani. Mungu ni mapendo. Shetani ni adui anayejaribu mtu afanye <strong>za</strong>mbi na baadaye<br />

akamwangami<strong>za</strong> kama awe<strong>za</strong>vyo. Ni mambo ya kuchuki<strong>za</strong> upendo, rehema, na haki,<br />

mafundisho kwamba wafu waovu wanateseka katika jehanum inayowaka ya milele,<br />

kwamba kwa <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> maisha mafupi ya kidunia wanateseka malipizi makali katika maisha<br />

yote ya Mungu!<br />

Ni mahali gani katika Neno la Mungu mafundisho ya namna ile inapatikana? Je, mawazo<br />

ya wema wa watu wote yageuzwe kwa ukali waushenzi? Hapana, yale si mafundisho ya<br />

Kitabu cha Mungu. “Ninavyoishi, Bwana Mungu anasema, sina furaha kwa kufa kwa<br />

mwovu; lakini mwovu aache njia yake apate kuishi; geukeni, geukeni mukaache njia yenu<br />

mbaya; kwani kwa sababu gani munataka kufa?” Ezekieli 33:11.<br />

Je, Mungu anapendezwa katika kushuhudia mateso yasiyomalizika? Je, Yeye<br />

anapendezwa na maumivu wala mazomeo na kilio cha nguvu cha viumbe vinavyoteseka<br />

anavyoshikilia katika ndimi <strong>za</strong> moto? Je, sauti hizi <strong>za</strong> kuchuki<strong>za</strong> ziwe sauti <strong>za</strong> nyimbo<br />

katika sikio la yule ambaye ana Upendo Pasipo Mwisho (Mungu)? Loo, matukano gani ya<br />

kutiisha! Utukufu wa Mungu hauongezwe kwa kudumisha <strong>za</strong>mbi kupitiamilele na milele.<br />

Ujushi wa Maumivu Mabaya ya Milele<br />

Uovu ulifanyika kwa sababu ya ujushi wa maumivu mabaya ya milele. Dini ya Biblia,<br />

inajaa na upendo na wema, inatiwa gi<strong>za</strong> kwa imani ya mambo ya uchawi na inavikwa na<br />

hofu kubwa. Shetani amepakaa rangi tabia ya Mungu kwa rangi <strong>za</strong> uwongo. Muumba wetu<br />

wa rehema anaogopwa, na kuhofiwa, hata kuchukiwa. Maoni ya kutisha ya Mungu ambayo<br />

224

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!