21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ulitolewa na mahali. Mateso ya desturi yakafanyika juu ya watu ambao kosa moja tu<br />

lilikuwa ni kutafuta kugeu<strong>za</strong> wenye <strong>za</strong>mbi kutoka kwa njia ya uharibifu na kuwaingizisha<br />

kwa njia ya utakatifu!<br />

Uharibifu wa kiroho katika Uingere<strong>za</strong> kabla ya wakati wa Wesley ulikuwa katika hali<br />

kubwa matokeo ya mafundisho kwamba Kristo alifuta kanuni ya mema na mabaya na<br />

kwamba Wakristo hawakuwa na lazima ya kuishika. Wengine wakasema kwamba ilikuwa si<br />

lazima kwa wachungaji kuonya watu kutii amri <strong>za</strong>ke, kwani wale ambao Mungu<br />

aliowachagua kwa wokovu “wataongozwa kufuata utawa na wema” wakati wale<br />

waliohukumiwa laana ya milele “hawakuwa na uwezo kwa kutii sheria ya Mungu.”<br />

Wengine wakishikilia kwamba “wateule hawawezi kukosa neema ya Mungu wala,<br />

kunyanganywa kibali cha Mungu,” walipofikia mwisho kwamba “matendo mabaya<br />

wanayotenda si maovu, ... na kwamba, baadaye, hawana na nafasi wala kuungama <strong>za</strong>mbi<br />

<strong>za</strong>o ao kuyaacha kwa njia ya toba.” Kwa hiyo, wakatanga<strong>za</strong>, hata <strong>za</strong>mbi moja katika <strong>za</strong>mbi<br />

mbaya kuliko” zilizo<strong>za</strong>niwa kwa wote kuwa mvunjo mkubwa <strong>za</strong>idi wa amri <strong>za</strong> Mungu<br />

kama si <strong>za</strong>mbi mbele <strong>za</strong> Mungu “kama ikitendwa na mmojawapo wa wateule.” Hawawezi<br />

kufanya kitu cho chote kisicho mpende<strong>za</strong> Mungu ao kilichokatazwa na sheria.”<br />

Mafundisho haya mabaya yanakuwa sawa sawa na mafundisho ya mwisho kwamba<br />

hakuna sheria ya Mungu inayogeuka kama kipimo cha haki, lakini tabia hiyo ilionyeshwa na<br />

chama chenyewe na mara kwa mara ilipaswa kubadirishwa. Mawazo haya yote yalitoka<br />

kwake ambaye miongoni mwa wakaaji wasio na kosa wa mbinguni alian<strong>za</strong> kazi yake kwa<br />

kuvunja amri <strong>za</strong> haki <strong>za</strong> sheria ya Mungu.<br />

Mafundisho haya mabaya juuya amri <strong>za</strong> Mungu, zisizogeuka kwa kuimarisha tabia ya<br />

watu iliongo<strong>za</strong> wengi kukataa sheria ya Mungu. Wesley kwa uhodari akapinga mafundisho<br />

haya ambayo yaliongo<strong>za</strong> watu kupinga amri ya Mungu, mafundisho juu ya hali ya kila mtu<br />

(Predestination). “Neema ya Mungu inayoleta wokovu imeonekana kwa watu wote.”<br />

“Mungu Mwokozi wetu anayetaka watu wote waokolewa na kupata ujuzi wa kweli. Kwani<br />

kuna Mungu mmoja, na mupatanishi katikati ya Mungu na watu ni mmoja, yule mtu ni<br />

Kristo Yesu, aliyejitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya wote. ” Kristo “Nuru ya<br />

kweli inaangazia nuru kila mtu anayekuja katika ulimwengu.’‘ Tito 2:11; 1 Timoteo 2:3-6;<br />

Yoane 1:9. Watu wanaoshindwa kupata wokovu ni wale wanaokataa kwa mapenzi yao<br />

<strong>za</strong>wadi ya uzima.<br />

Katika Utetezi wa Sheria ya Mungu<br />

Katika kujibu madai kwamba wakati wa kifo cha Kristo, amri kumi ziliondolewa pamoja<br />

na sheria <strong>za</strong> kawaida, Wesley akasema: “Sheria ya tabia, inayokuwa katika Amri Kumi na<br />

ikatiliwa nguvu na manabii, hakuitosha. Hii ni sheria ambayo haiwezi kamwe kuvunjwa,<br />

ambayo `inasimama imara kama shuhuda mwaminifu mbinguni.’”<br />

105

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!