21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mlima. Maficho yake yalifanywa na fumbo ambalo hata Frederic mwenyewe hakujua<br />

mahalialipopelekwa. Ujinga huu ulikuwa na kusudi; hivi mchaguzi hakujua kitu, hangewe<strong>za</strong><br />

kufunua kitu. Akatoshelewa kwamba Mtengene<strong>za</strong>ji alikuwa salama, akatulia.<br />

Mvua wa nyuma, wakati wajua kali, na wakati wa masika ukapita, na wakati wa baridi<br />

ukafika, na Luther aliendelea kuwa mfungwa. Aleander na wafuasi wake wakafurahi. Nuru<br />

ya injili ikaonekana karibu kukomeshwa. Lakini nuru ya Mtengene<strong>za</strong>ji ilipaswa kuendelea<br />

kuanga<strong>za</strong> kwa nguvu <strong>za</strong>idi.<br />

Usalama huko Wartburg<br />

Katika salama ya urafiki wa Wartburg, Luther akafurahi kuwa inje ya fujo ya vita.<br />

Lakini kwa sababu ni mtu aliyezoea maisha ya kazi na magumu makali, hangevumilia kukaa<br />

bila kufanya lolote. Wakati wa siku <strong>za</strong> upekee, hali ya kanisa ikafika kwa mawazo yake.<br />

Akaogopa ku<strong>za</strong>niwa kuwa mwoga kwa kujitosha kwa mabishano. Ndipo akajilaumu<br />

mwenyewe kwa uvivu wake na kujihurumia mwenyewe.<br />

Lakini, kila siku alifanya kazi ya ajabu kuliko ingeonekana mtu mmoja kuwe<strong>za</strong> kufanya.<br />

Kalamu yake haikukaa bure. Adui <strong>za</strong>ke walishangaa na kufa<strong>za</strong>ika kwa ushuhuda wazi<br />

kwamba alikuwa angali akitumika. Kwa wingi wa vitabu vidogo vya kalamu yake vikaenea<br />

katika Ujeremani pote. Akatafsiri pia Agano Jipya kwa lugha ya Ujeremani. Kutoka kwa<br />

mwamba wake wa Patemo, akaendelea kwa mda karibu mwaka mzima kutanga<strong>za</strong> injili na<br />

kukemea makosa ya nyakati. Mungu akavuta mtumishi wake kutoka kwa jukwaa ya maisha<br />

ya watu. Katika upekee na gi<strong>za</strong> ya kimbilio lake mlimani, Luther akatengwa kwa misaada<br />

ya kidunia na kukosa sifa ya kibinadamu. Aliokolewa basi kwa kiburi na kujitumainia<br />

vinavyoletwa mara nyingi na ushindi.<br />

Namna watu wanavyofurahia kwa uhuru ambao kweli inawaletea, Shetani anatafuta<br />

upotosha mawazo yao na upendo kutoka kwa Mungu na kuwaimarisha kwa wajumbe wa<br />

kibinadamu, kuheshimu chombo na kutojali Mkono ambao unaoongo<strong>za</strong> mambo ya Mungu.<br />

Mara nyingi waongozi wa dini wanaposifiwa huongozwa kujitumainia wenyewe. Watu<br />

wanakuwa tayarikuwaangalia juu ya uongozi badala ya Neno la Mungu. Kutoka katika<br />

hatari hii Mungu alitaka kulinda Matengenezo. Macho ya watu yalimugeukia Luther kama<br />

mfasi wa ukweli; aliondolewa ili macho yale yote yapate kuongozwa kwa Mwenyezi wa<br />

milele wa ukweli.<br />

68

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!