21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kwamba Luther alikuwa salama, ijapo alikuwa mfungwa, jambo hili likatuli<strong>za</strong> watu, huku<br />

wakisoma maandiko yake kwa bidii sana kuliko mbele. Hesabu ya wale walioongezeka<br />

wakajiunga kwa kisa cha mshujaa aliyetetea Neno la Mungu.<br />

Mbegu ambayo Luther alipanda ikatoa matunda mahali pote. kutokuwapo kwake<br />

kukafanya kazi ambayo kuwako kwake hakungewe<strong>za</strong> kufanya. Na sasa mwongozi wao<br />

mkuu ameondolewa, watumikaji wengine wakafanya bidii ili kazi ya maana sana<br />

iliyoanzishwa isipingwe. Sasa Shetani akajaribu kudanganya na kuangami<strong>za</strong> watu kwa<br />

kuwapoke<strong>za</strong> kazi iliyogeuzwa kwa hila pahali pa kazi ya kweli. Kwa namna kulikuwa<br />

Wakristo wa uongo kwa karne la kwan<strong>za</strong>, ndipo kukatokea manabii wa uongo kwa karne ya<br />

kumi na sita.<br />

Watu wachache wakaji<strong>za</strong>nia wenyewe kupokea mafumbulio ya kipekee kutoka<br />

Mbinguni na kuchaguliwa na Mungu kwa kutimi<strong>za</strong> kazi ya Matengenezo ambayo<br />

ilianzishwa kwa u<strong>za</strong>ifu na Luther. Kwa kweli, walibomoa kile Mtengene<strong>za</strong>ji alichofanya.<br />

Walikataa kanuni ya Matengenezo kwamba Neno la Mungu ni amri moja tu, ya kutosha ya<br />

imani na maisha. Kwa kiongozi kile kisichokosa wakaweka maagizo yao yasiyokuwa ya<br />

hakika, ya mawazo yao wenyewe na maono.<br />

Wengine kwa urahisi wakaelekea kwa ushupavu na kujiunga pamoja nao. Mambo ya<br />

wenye bidii hawa yakaleta mwamsho mkubwa. Luther alikuwa ameamsha watu kuona haja<br />

ya Matengenezo, na sasa watu wengine waaminifu wa kweli wakaongozwa vibaya na madai<br />

ya “manabii” wapya. Waongozi wa kazi wakaendelea pale Wittenberg na wakalazimisha<br />

madai yao juu ya Melanchton: “Tumetumwa na Mungu kwa kufundisha watu. Tulikuwa na<br />

mazungumzo ya kawaida pamoja na Mungu; tunajua jambo litakalotokea; kwa neno moja,<br />

tunakuwa mitume na manabii, na tunatoa mwito kwa Mwalimu Luther.”<br />

Watengene<strong>za</strong>ji wakafa<strong>za</strong>ika. Akasema Melanchton; hapa panakuwa kweli roho <strong>za</strong> ajabu<br />

katika watu hawa; lakini roho gani? ... Kwa upande mwengine tujiha<strong>za</strong>ri kuzima Roho wa<br />

Mungu, na kwa upande mwengine, kwa kudanganywa na roho ya Shetani.”<br />

Tunda la Mafundisho Mapya Limeonekana (limetambulika)<br />

Watu wakaongozwa ku<strong>za</strong>rau Biblia ao kuikataa yote kabisa. Wanafunzi wakaacha<br />

mafundisho yao na kutoka kwa chuo kikubwa. Watu walioji<strong>za</strong>nia kwamba ni wenye uwezo<br />

kwa kurudisha nafsi na kuongo<strong>za</strong> kazi ya Matengenezo wakafaulu tu kuileta katika<br />

uharibifu. Sasa Wakatoliki wakapata tumaini lao, nakulalamika kwa furaha. “Juhudi ya<br />

mwisho tena, na wote watakuwa wetu.”<br />

Luther huko Wartburg, aliposikia mambo yaliyotendeka, akasema na masikitiko sana:<br />

“Nilifikiri wakati wowote kwamba Shetani angetumia mateso haya.” Akatambua tabia ya<br />

kweli ya wale waliojidai kuwa “manabii.” Upin<strong>za</strong>ni wa Papa na mfalme haukumletea<br />

mashaka makubwa sana na shida kama sasa. Miongoni mwa waliojidai kuwa “rafiki” <strong>za</strong><br />

Matengenezo, kukatokea adui <strong>za</strong>ke wabaya kuliko kwa kuamsha vita na kuleta fujo.<br />

74

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!