21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sabato ni muhuri wa Mungu mwenye uhai. Ni kuchelewa sana wanaona msingi wa<br />

mchanga ambapo juu yake walijenga. Wamekuwa wakipigana kumpinga Mungu. Waalimu<br />

wa dini wameongo<strong>za</strong> roho kwa jehanum (kupotea milele) walipokuwa wakidai kuwaongo<strong>za</strong><br />

kwa Paradiso. Ni madaraka makubwa ya namna gani ya watu katika kazi takatifu, matokeo<br />

ya kutisha namna gani kwa kutokuamini kwao!<br />

Mfalme wa Wafalme Anatokea<br />

Sauti ya Mungu imesikilika kutanga<strong>za</strong> siku na saa ya kuja kwa Yesu. Israeli wa Mungu<br />

anasimama kwa kusikili<strong>za</strong>, nyuso <strong>za</strong>o zikaangaziwa na utukufu wake. Karibu pale<br />

kukatokea kwa upande wa mashariki wingu nyeusi dogo. Ni wingu linalomzunguka<br />

Mwokozi. Kwa utulivu wa heshima watu wa Mungu wakalita<strong>za</strong>ma kwa namna lilikuwa<br />

likikaribia, hata linapokuwa wingu jeupe kubwa, upande wa chini wake ni utukufu kama<br />

moto unaotekete<strong>za</strong>, na upande wa juu wake upindi wa mvua wa agano. Sasa si “Mtu wa<br />

huzuni”, Yesu anapanda (farasi) kama mshindi mkubwa. Malaika watakatifu, makutano<br />

makubwa yasiyohesabika, wanamtumikia, “elfu elfu, na elfu kumi mara elfu kumi”. Kila<br />

jicho linamwona Mfalme wa uzima. Taji la utukufu linakuwa katika kipaji cha uso wake.<br />

Uso wake unashinda (muanga<strong>za</strong>) wa jua la saa sita. “Naye ana jina llienya kuaandikwa<br />

katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA<br />

MABWANA”. Ufunuo 19:16.<br />

Mufalme wa wafalme anashuka juu ya wingu, amefunikwa katika moto unaowaka.<br />

Dunia inatetemeka mbele yake: “Mungu wetu atakuja, wala hatanyama<strong>za</strong>; Moto utakuia<br />

mbele yake, Na tufani inayovuma sana itamuzunguka. Ataita mbingu zilizo juu na inchi, ili<br />

apate kuhukumu watu wake”. Zaburi 50:3,4.<br />

“Na wafalme wa dunia, na watu mashuhuri, na matajiri, na kila mtumwa, na kila mtu<br />

mwenye uhuru wakajificha katika pango na chini ya miamba: Mutuangukie, mutufiche<br />

mbele ya uso wake yeye anayeketi juu ya kiti cha ufalme, na ga<strong>za</strong>bu ya Mwana-Kondoo.<br />

Kwa maana siku kubwa ya ga<strong>za</strong>bu yake imekuja na nani anayewe<strong>za</strong> kusimama”? Ufunuo<br />

6:15-17.<br />

Mabishano ya mi<strong>za</strong>ha yamekoma, midomo ya uwongo imenyamazishwa. Hakuna kitu<br />

kinachosikiwa lakini sauti ya maombi na sauti ya kilio. Waovu wanaomba kuzikwa chini ya<br />

miamba kuliko kukutana na uso wake yeye waliye<strong>za</strong>rau. Sauti ile iliyoingia kwa sikio la<br />

maiti, wanajua. Mara ngapi inakuwa sauti zile <strong>za</strong> upole ziliwaita kwa toba. Mara ngapi<br />

ilikuwa ikisikiwa katika maombi ya rafiki, ya ndugu, ya Mkombozi. Sauti ile inayoamsha<br />

ukumbusho wa maonyo yaliyo<strong>za</strong>rauliwa na miito iliyokataliwa.<br />

Kunakuwa wale waliochekelea Kristo katika unyenyekevu wake. Alitanga<strong>za</strong>: “Tangu<br />

sasa mutaona Mwana wa watu akiketi kwa mkono wa kuume wa uwezo, na akija katikati ya<br />

mawingu ya mbingu”. Matayo 26:64. Sasa wanamuta<strong>za</strong>ma katika utukufu wake;<br />

wanapashwa sasa kumwona yeye kukaa kwa mkono wa kuume wa uwezo. Pale kunakuwa<br />

267

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!