21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wavaudois (Waldenses) waliokana mamlaka ya Roma, wakakataa ibada ya sanamu kama<br />

kuabudu miungu, na wakashika Sabato ya kweli. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo).<br />

Nyuma ya ngome <strong>za</strong> juu sana <strong>za</strong> milima Wavaudois wakapata mahali pa kujificha. Hawa<br />

wakimbizi waaminifu wakaonyesha watoto wao urefu wa munara juu yao katika ukuu na<br />

wakasema juu ya yule ambaye Neno lake linakuwa la kudumu kama milima ya milele.<br />

Mungu aliimarisha milima; si mkono lakini ule unaokuwa na uwezo usio na mwisho<br />

ungaliwe<strong>za</strong> kuihamisha. Kwa namna ile ile akaimarisha sheria yake. Mkono wa mtu<br />

haungewe<strong>za</strong> kuongoa milima na kuitupa kwa nguvu baharini, kama vile hauwezi kubadili<br />

sheria moja ya Mungu. Wasafiri hawa hawakunungunika kwa sababu ya taabu ya mateso<br />

yao; hawakuwa peke yao katika ukiwa wa milima. Walijifurahisha katika uhuru wao kwa<br />

ibada. Kutoka ngome ya juu waliimba sifa <strong>za</strong> Mungu, na majeshi ya Roma hawakuwe<strong>za</strong><br />

kunyamazisha nyimbo <strong>za</strong>o <strong>za</strong> shukrani.<br />

Damani (Bei) ya Mafundisho ya <strong>Ukweli</strong><br />

Mafundisho ya ukweli yalikuwa na bei kuliko nyumba na inchi, rafiki, jamaa, hata<br />

maisha yenyewe. Kutokea mwanzo wa utoto, vijana walifundishwa kuheshimu maagizo<br />

matakatifu ya sheria ya Mungu. Kurasa <strong>za</strong> Biblia zilikuwa chache; kwa hiyo maneno yake<br />

ya damani yaliwekwa kwa uwezo wa kukumbuka. Wengi waliwe<strong>za</strong> kukariri sehemu nyingi<br />

<strong>za</strong> Agano la Kale na Agano Jipya.<br />

Walifundishwa toka utoto kuvumilia ugumu na kufikiri na kutenda kwa ajili ya wao<br />

wenyewe. Walifundishwa kuchukua madaraka, kujilinda kwa usemi, na kufahamu hekima<br />

ya utulivu. Neno moja la ujinga linaposikiwa kwa maadui wao lingewe<strong>za</strong> kuleta hasara ya<br />

maisha ya mamia ya wandugu, kwani kama vile mbwa mwitu katika kuwinda mawindo,<br />

maadui wa kweli wanawinda wale waliosubutu kutanga<strong>za</strong> uhuru wa imani ya dini.<br />

Wavaudois kwa uvumilivu walitaabika kwa ajili ya chakula chao. Kila mahali padogo pa<br />

udongo wa kulimiwa katikati ya milima palitumiwa vizuri. Kiasi katika utumizi wa fe<strong>za</strong> na<br />

kujikana yakafanya sehemu ya elimu yao ambayo watoto walijifun<strong>za</strong>. Kazi ilikuwa ya taabu<br />

lakini yakufaa kwa afya, basi ndicho mtu anachohitaji katika hali yake ya kuanguka. Vijana<br />

walifundishwa kwamba nguvu <strong>za</strong>o zote ni <strong>za</strong> Mungu, zipate kusitawishwa kwa ajili ya kazi<br />

yake.<br />

Makanisa ya Wavaudois yalifanana na kanisa la nyakati <strong>za</strong> mitume. Kukataa mamlaka<br />

ya Papa na askofu, walishika Biblia kuwa na mamlaka yasiyowe<strong>za</strong> kukosa. Wachungaji<br />

wao, hawakufanana na mapadri wa kiburi wa Roma, wakalisha kundi la Mungu,<br />

kuwaongo<strong>za</strong> katika malisho ya majani mabichi na chemchemi ya Neno takatifu lake. Watu<br />

walikusanyika si ndani ya makanisa ya maridadi ao makanisa makuu ya majimbo, bali<br />

katika mabonde ya Milima mirefu, ao, katika wakati wa hatari, ndani ya ngome ya miamba,<br />

kwa kusikili<strong>za</strong> maneno ya ukweli kutoka kwa watumishi wa Kristo. Wachungaji<br />

hawakuhubiri injili tu, walizuru wagonjwa na wakatumika kwa kuamusha umoja na upendo<br />

25

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!