21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mungu. Historia ya tendo hili la kuogopesha la uasi lilipashwa kuwa ulinzi wa milele kwa<br />

akili takatifu zote kuwaokoa kwa <strong>za</strong>mbi na kwa a<strong>za</strong>bu yake.<br />

Wakati ilipotangazwa kwamba pamoja na washiriki wake wote mnyanganyi mkubwa wa<br />

ufalme anapashwa kufukuzwa kutoka kwa makao ya cheo cha furaha, mwongozi muasi<br />

(mhuni) akatanga<strong>za</strong> wazi bila woga <strong>za</strong>rau kwa ajili ya sheria ya Muumba. Akalaumu sheria<br />

<strong>za</strong> Mungu kama kizuio cha uhuru na akatanga<strong>za</strong> kusudi lake la kupata kuondoshwa kwa<br />

sheria. Kwa kuwekwa huru kwa amri hii, majeshi ya mbinguni wangewe<strong>za</strong> kuingia juu ya<br />

hali ya kujipandisha <strong>za</strong>idi katika maisha.<br />

Kufukuziwa Mbali Kutoka Mbinguni<br />

Shetani na jeshi lake wakatupa laumu la uasi wao juu ya Kristo; kama hawakulaumiwa,<br />

kama hawangeasi kamwe. Wagumu na wakiburi, huku wakajitanga<strong>za</strong> kwa matukano kuwa<br />

watu wasiokuwa na kosa na kwamba waliteswa na mamlaka makali. Muasi mkubwa wa<br />

waliomfuata wakafukuzwa kutoka mbinguni. Ta<strong>za</strong>ma Ufunuo 12:7-9.<br />

Roho ya Shetani ingali inaendesha uasi duniani katika wana wa uasi. Kama yeye<br />

wakaahidia watu uhuru kwa kuvunja sheria ya Mungu. Hakikisho la <strong>za</strong>mbi likaendelea<br />

kuamsha uchuki. Shetani anaongo<strong>za</strong> watu kujihakikisha wao wenyewe na kutafuta huruma<br />

ya wengine katika <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o. Badala ya kusahihisha makosa yao, wanaamsha hasira juu ya<br />

mwenye kukaripia, kama kwamba wanakuwa chanzo cha shida. Kwa kusingizia kwa namna<br />

ileile ya tabia ya Mungu kama alivyoyatumia mbinguni, kumfanya kuwa kama mwenye<br />

ku<strong>za</strong>niwa kama mkali na wa kushurutisha, Shetani akashawishi mtu kwa <strong>za</strong>mbi. Akatanga<strong>za</strong><br />

kwamba vizuizi visivyo na haki vya Mungu viliongo<strong>za</strong> kuanguka kwa mtu, kama<br />

vilivyoongo<strong>za</strong> kwa uasi wake mwenyewe.<br />

Katika kufukuziwa kwa Shetani kutoka mbinguni, Mungu alitanga<strong>za</strong> haki yake na<br />

heshima. Lakini wakati mtu alipotenda <strong>za</strong>mbi, Mungu alitoa ushuhuda wa upendo wake kwa<br />

kutoa Mwana wake kufa kwa ajili ya taifa lililoanguka. Katika upatanisho tabia ya Mungu<br />

imefunuliwa. Mabishanomakubwa ya msalaba yanaonyesha kwamba <strong>za</strong>mbi haikuwa na<br />

hekima yo yote kulipizwa juu ya utawala wa Mungu. Wakati wa huduma ya kidunia ya<br />

Mwokozi, mdanganyi mkubwa akafunuliwa. Matukano ya wazi ya kutaka kwamba Kristo<br />

amupe heshima kuu, uovu usiolala uliomuwinda pahali po pote, kuongo<strong>za</strong> mioyo ya<br />

makuhani na watu kukataa upendo wake na kulalamika kwa sauti, “Asulibiwe! asulibiwe!” -<br />

-yote haya yaliamsha mshangao na hasira ya ulimwengu. Mfalme wa <strong>za</strong>mbi akatumia<br />

uwezo wake wote na werevu kuharibu Yesu. Shetani akatumia watu kama wajumbe wake<br />

kuja<strong>za</strong> maisha ya Mwokozi kwa mateso na huzuni. Chuki na wivu na uovu, machukio na<br />

kisasi, vikaanguka kutoka Kalvari juu ya Mwana wa Mungu.<br />

Sasa kosa la Shetani likaonekana wazi. Alifunua tabia yake ya kweli. Mashitaki ya<br />

uwongo ya Shetani juu ya tabia ya Mungu yakaonekana katika nuru yao ya kweli.<br />

Alimshitaki Mungu juu ya kutafuta kujiinua mwenyewe katika kuomba utii kwa viumbe<br />

210

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!