21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mungu. Lakini imani inatiwa moyo kwa Roho Mtakatifu na itasitawi kama inavyolindwa.<br />

Hakuna mtu anawe<strong>za</strong> kuwa na nguvu katika imani pasipo nguvu imara. Kama watu<br />

wakijiruhusu wenyewe kubishana, mashaka yatapata msingi <strong>za</strong>idi.<br />

Lakini wale wanaokuwa na mashaka na kutotumaini hakikisho (assurance) la neema<br />

yake wanapatisha haya Kristo. Wanakuwa miti isiyo<strong>za</strong>a inayozuia nuru ya jua kwa mimea<br />

mingine, kuiletea kufifia na kufa chini ya baridi ya kivuli. Kazi ya maisha ya watu hawa<br />

itatokea kama ushuhuda usiokoma juu yao.<br />

Kunakuwa lakini sababu moja tu ya kufuata kwa wale ambao kwa uaminifu wanatamani<br />

kuwa huru kwa kutokuwa na mashaka. Badala ya kuuli<strong>za</strong> yale wasiyofahamu, waachwe<br />

watoe ukubali kwa nuru ambayo imekwisha kuanga<strong>za</strong> juu yao, na watapata nuru kubwa<br />

<strong>za</strong>idi.<br />

Shetani anawe<strong>za</strong> kuonyesha mfano karibu sana kufanana na kweli ule unaodanganya<br />

wale wanaotaka kudanganyiwa, wanaotamani kuepuka kafara iliyohitajiwa katika kweli.<br />

Lakini ni kitu kisichowezekana kwake kushika chini ya uwezo wake nafsi moja inayotaka<br />

kwa uaminifu, kwa bei yo yote, kujua ukweli. Kristo ndiye kweli, “Nuru ya kweli inayotia<br />

nuru kila mtu anayekuja katika ulimwengu.” “Kila mtu akipenda kufanya mapenzi yake,<br />

atajua habari <strong>za</strong> yale mafundisho.” Yoane 1:9; 7:17.<br />

Bwana anaruhusu watu wake kupata kwa majaribu makali ya kutesa, si kwa sababu<br />

anapendezwa wala kufurahishwa katika taabu yao, bali kwa sababu jambo hili ni la lazima<br />

kwa ushindi wao wa mwisho. Hakuwe<strong>za</strong>, kwa uthabiti kwa utukufu wake mwenyewe,<br />

kuwalinda kutoka kwa jaribu, kwa sababu kusudi la jaribu ni kuwatayarisha kupinga mivuto<br />

yote ya uovu. Hata waovu wala mashetani hawawezi kufunga kuwako kwa Mungu kwa<br />

watu wake kama wataungama na kuacha <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o na kudai ahadi <strong>za</strong>ke. Kila jaribu, la wazi<br />

wala la siri, linawe<strong>za</strong> kupingwa kwa kufanikiwa. “Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, lakini<br />

kwa Roho yangu, Bwana wa majeshi anasema.” Zekaria 4:6.<br />

“Naye ni nani atakayewaumi<strong>za</strong> ninyi, kama ninyi mkiwa wenye bidii katika maneno yale<br />

yaliyo mema?” 1 Petro 3:13. Shetani anafahamu vizuri kwamba roho inayokuwa <strong>za</strong>ifu <strong>za</strong>idi<br />

inayokaa ndani ya Kristo inakuwa na nguvu <strong>za</strong>idi kuliko mshindani kwa majeshi ya gi<strong>za</strong>.<br />

Kwa sababu hiyo anatafuta kufukuzia mbali waaskari wa msalaba kutoka kwa boma lao<br />

lenye nguvu, huku anapolala akijificha, tayari kuangami<strong>za</strong> wote wanaosubutu kwa udongo<br />

wake. Ila tu katika kutegemea Mungu na utii kwa amri <strong>za</strong>ke tunawe<strong>za</strong> kulindwa.<br />

Hakuna mtu anayekuwa salama kwa siku moja ao saa moja pasipo kuomba. Omba<br />

Bwana kwa ajili ya hekima kwa kufahamu Neno lake. Shetani ni mbingwa katika kutumia<br />

Maandiko, kuweka mafasirio yake mwenyewe kwa mafungu ambayo anatumaini kutuletea<br />

kikwazo. Inatupasa kujifun<strong>za</strong> kwa unyenyekevu wa moyo. Huku tunapopashwa mara kwa<br />

mara kujilinda juu ya mashauri ya Shetani, inatupasa kuomba kwa imani siku zote; “Na<br />

usitulete katika majaribu.” Matayo 6:13.<br />

221

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!