21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kwa kujifun<strong>za</strong> na usemaji unaokolea, Aleander akajitahidi mwenyewe kuangusha Luther<br />

kama adui wa kanisa na serekali. “Haki,, makosa ya Luther yametosha”, akatanga<strong>za</strong> kwa<br />

kushuhudia kuchomwa kwa mamia elfu wapinga imani ya dini.”<br />

“Ni wanani watu hawa wote wa Luther? Kundi la waalimu wenye kiburi, mapadri<br />

waovu, watawa wapotovu, wanasheria wajinga, na wenye cheo walioaibishwa. ...Kundi la<br />

katoloki si linawapita mbali sana kwa wingi, kwa akili na kwa uwezo! Amri ya shauri moja<br />

la kusanyiko hili tukufu litaangazia wanyenyekevu, litaonya wasio na busara, litaamua<br />

wenye mashaka na kuimarisha wa<strong>za</strong>ifu.”<br />

Mabishano ya namna ile ile ingali inatumiwa juu ya wote wanaosubutu kutoa<br />

mafundisho kamili ya Neno la Mungu. “Ni wanani hawa wahubiri wa mafundisho mapya?<br />

Wanakuwa si wenye elimu, wachache kwa hesabu, na wa cheo cha maskini sana. Lakini<br />

wakijidai kuwa na ukweli, na kuwa watu waliochaguliwa na Mungu. Wanakuwa wajinga na<br />

waliodanganyiwa. Namna gani kanisa letu ni kubwa sana kwa hesabu na mvuto!”<br />

Mabishano haya hayako na nguvu <strong>za</strong>idi sasa kuliko siku <strong>za</strong> Mtengene<strong>za</strong>ji.<br />

Luther hakuwa pale, pamoja na maneno ya kweli wazi wazi na ya kusadikisha ya Neno<br />

la Mungu, kwa kushinda shujaa Papa. Watu karibu wote walikuwa tayari, si kwa<br />

kumuhukumu tu, yeye na mafundisho yake, bali, ikiwezekana, kuongoa upin<strong>za</strong>ni wa imani<br />

ya dini. Yote Roma iliwe<strong>za</strong> kusema katika kujitetea mwenyewe imesemwa. Lakini tofauti<br />

kati ya ukweli na uwongo ingeonekana wazi <strong>za</strong>idi namna wangewe<strong>za</strong> kujitoa wazi wazi kwa<br />

vita. Sasa Bwana akagusa moyo wa mshiriki mmoja wa bara<strong>za</strong> atoe maelezo ya matendo ya<br />

jeuri ya Papa. Duc Georges wa Saxe akasimama katika mkutano huu wa kifalme; na<br />

akaonyesha sawasawa kabisa uwongo na machukizo ya kanisa la Roma:<br />

“Kuzulumu ... kunapa<strong>za</strong> sauti juu ya Roma. Haya yote imewekwa kando na shabaha yao<br />

moja tu ni ... pesa, pesa, pesa, ... ili wahubiri wanaopashwa kufundisha ukweli, wasinene<br />

kitu kingine isipokuwa uongo, na si kuwavumilia tu, lakini kuwalipa, kwani namna<br />

wanazidi kusema uongo, ndipo wanazidi kupata faida. Ni kwa kisima hiki kichafu maji haya<br />

machafu hutiririka. Mambo ya washerati na ulevi. Hunyoosha mkono kwa uchoyo ... Ole! ni<br />

aibu iliyoletwa na askofu kinachotupa roho maskini nyingi katika hukumu ya milele.<br />

Matengenezo ya mambo yote inapaswa kufanyika.” Sababu mnenaji alikuwa adui maalumu<br />

wa Mtengene<strong>za</strong>ji alitoa mvuto mkubwa kwa maneno yake.<br />

Malaika wa Mungu wakatoa nyali <strong>za</strong> nuru katika gi<strong>za</strong> ya uovu na ikafungua mioyo kwa<br />

ukweli. Uwezo wa Mungu wa ukweli ukatawala hata maadui wa Matengenezo na<br />

ukatayarisha njia kwa kazi kubwa ambayo ilikaribia kutimizwa. Sauti ya Mmoja mkuu<br />

kuliko Luther ikasikiwa katika mkutano ule.<br />

Bara<strong>za</strong> ikawekwa kwa kutayarisha hesabu ya mambo yote yaliyo kuwa magandamizo<br />

ambayo yalikuwa mazito kwa watu wa Ujeremani. Oro<strong>za</strong> hii ikaonyeshwa kwa mfalme, na<br />

kumuomba achukue hatua kwa kusahihisha mambo mabaya haya. Wakasema waombaji,<br />

59

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!