21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

wanamtumikia kwa kweli, anazuia misiba na anazidisha utulivu wa makutano. Wenye<br />

<strong>za</strong>mbi wanafahamu kidogo sana ya kwamba wandeni kwa maisha yao juu ya waaminifu<br />

wachache ambao wanafurashwa kwa kuwagandami<strong>za</strong>.<br />

Kila mara katika bara<strong>za</strong> <strong>za</strong> ulimwengu huu, malaika wamekuwa wanenaji. Masikio ya<br />

kibinadamu yamesikili<strong>za</strong> kwa miito yao, midomo ya kibinadamu yamezihakia mashauri<br />

yao. Wajumbe hawa wa mbinguni wametibitisha vyema kuliko wao wenyewe kuwe<strong>za</strong><br />

kutetea kisa cha waliozulumiwa kuliko wateteaji wao wenye uwezo wa kusema vema.<br />

Wameshinda na kufunga waovu wale wangeleta mateso kwa watu wa Mungu.<br />

Kwa tamaa ya bidii, watu wa Mungu wanangojea ishara <strong>za</strong> kuja kwa Mfalme wao.<br />

Wakati wale wanaoshindana wanapoendesha maombi yao mbele ya Mungu, mbingu<br />

<strong>za</strong>anga<strong>za</strong> na mapambazuko ya siku ya milele. Kama sauti tamu <strong>za</strong> nyimbo <strong>za</strong> malaika<br />

maneno yanaanguka kwa sikio: “saidia anakuja. ” Sauti ya Kristo inakuja kutoka kwa<br />

milango wazi: “Ta<strong>za</strong>ma, ninakuwa pamoja nanyi. Msiogope. Nimepigana vita kwa ajili<br />

yenu, na katika jina langu munakuwa <strong>za</strong>idi kuliko washindaji.”<br />

Mwokozi mpenzi atatuma msaada wakati tunapouhitaji. Wakati wa taabu ni hatari ya<br />

kutisha kwa watu wa Mungu, lakini kila mwamini wa kweli anawe<strong>za</strong> kuona kwa imani<br />

upindi wa ahadi ukimzunguka. “Hivi watu waliokombolewa na Bwana watarudi, watafika<br />

Sayuni na kuimba; Furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao; watapata shangwe na<br />

furaha; huzuni na kulia kutakimbia”. Isaya 51:11.<br />

Kama damu ya washuhuda wa Kristo ilimwangika kwa wakati huu, uaminifu wao<br />

haungekuwa ushuhuda kusadikisha wengine kwa ajili ya kweli, kwa maana moyo mgumu<br />

umefuku<strong>za</strong> nyuma mawimbi ya rehema hata yasirudi tena. Kama wenye haki wanapashwa<br />

sasa kuanguka kuwa mawindo kwa adui <strong>za</strong>o, ingekuwa ushindi kwa mtawala wa gi<strong>za</strong>.<br />

Kristo amesema: “Muje, watu wangu, mwingie ndani ya vyumba vyenu, na kufunga<br />

milango yenu nyuma yenu; mujifiche kwa dakika kidogo, hata wakati kasirani hii inapopita.<br />

Kwa maana ta<strong>za</strong>ma, Bwana anakuja kutoka pahali pake kuazibu wenye kukaa duniani kwa<br />

ajili ya uovu wao”. Isaya 26:20,21.<br />

Wokovu utakuwa wa utukufu wa wale waliongojea kwa uvumilivu kwa ajili ya kuja<br />

kwake na majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.<br />

264

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!