21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Katika “Kitabu cha ukumbusho” kumeandikwa matendo mema ya “wale wenye kuogopa<br />

Bwana, na kufikiri juu ya jina lake.” Kila jaribu lililostahimiliwa, kila uovu uliozuiwa, kila<br />

neno la huruma lililoonyeshwa, kila tendo la (kafara), kila huzuni iliyovumiliwa kwa ajili ya<br />

Kristo imeandikwa. “Umehesabu kutangatanga kwangu; Utie machozi yangu ndani ya<br />

chupa yako; Haya si katika kitabu chako?” Malaki 3:16; Zaburi 56:8.<br />

Mukusudi ya Siri<br />

Hapo kunakuwa pia ukumbusho wa <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> watu. “Kwa maana Mungu ataleta kila kazi<br />

hukumuni, pamoja na kila neno la siri, kama likiwa jema ao kama likiwa baya.” Kila neno la<br />

bure watu watakalolisema. watatoa hesabu ya neno hili siku ya hukumu.” “Kwa masemo<br />

yako utahesabiwa haki, na kwa masemo yako utahukumiwa.” Makusudi ya siri yanaonekana<br />

katika kitabu, kwa maana Mungu “atatia nuru maneno yaliyofichwa katika gi<strong>za</strong>, na<br />

kuonyesha makusudi ya mioyo.” Muhubiri 12:14; Matayo 12:36,37; 1 Wakorinto 4:5.<br />

Mbele ya kila jina katika vitabu vya mbinguni kunaingia kila neno baya, kila tendo la<br />

choyo, kila mapashwa yasiyotimizwa, na kila <strong>za</strong>mbi ya siri. Maonyo yaliyotumwa na<br />

mbingu ao makaripio yasiyojaliwa, nyakati zilizotumiwa bure, mvuto uliotumiwa kwa<br />

wema ao kwa ubaya pamoja na matokeo ya mwisho wake wa mbali, yanaandikwa yote kwa<br />

taratibu na malaika mwandishi.<br />

Kipimo cha Hukumu<br />

Sheria ya Mungu ni kipimo katika hukumu. “Ogopa Mungu, na shika amri <strong>za</strong>ke; maana<br />

maneno haya ni yote inayofaa mtu kufanya. Kwa maana Mungu ataleta kila kazi<br />

hukumuni.” “Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya uhuru.”<br />

Muhubiri 12:13,14; Yakobo 2:12.<br />

Wale “wanaohesabiwa kuwa wamestahili” watakuwa na sehemu katika ufufuko wa<br />

wenye haki, Yesu akasema: “Lakini wale watakaohesabiwa kuwa wamestahili kupata dunia<br />

ile na kufufuka kutoka wafu,... ni wana wa Mungu, wakiwa wana wa ufufuo.” “Wale<br />

waliofanya mema watafufuka kwa ufufuko wa uzima.” Luka 20:35,36; Yoane 5:29. Wafu<br />

wenye haki hawatafufuliwa hata baada ya hukumu ambayo watakayohesabiwa kuwa<br />

wamestahili kwa “ufufuo wa uzima.” Kwa sababu hiyo hawatakuwako katika nafsi wakati<br />

vilivyoandikwa juu ya vingali na chunguzwa kesi <strong>za</strong>o kukatwa.<br />

Yesu atatokea kama mwombezi wao, kutetea kwa ajili yao mbele ya Mungu. “Na Kama<br />

mtu yeyote akitenda <strong>za</strong>mbi, tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki.”<br />

“Kwa sababu Kristo hakuingia katika Pahali patakatifu palipofanywa kwa mikono, ndio<br />

mfano wa kweli, lakini aliingia mbinguni zenyewe, aonekane sasa mbele ya Mungu kwa<br />

ajili yetu.” “Naye, kwa sababu hii anawe<strong>za</strong> pia kuwaokoa wanaokuja kwake Mungu kwa<br />

njia yake; maana yeye ni hai siku zote apate kuwaombea.” 1 Yoane 2:1; Waebrania 7:25;<br />

9:24.<br />

202

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!