21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Matengenezo. Akajigeu<strong>za</strong> mwenyewe kwa mavazi ya mwenyeji wake na, kuchukua jembe<br />

mabegani, akaan<strong>za</strong> safari yake. Akasafiri upande wa Kusini, akapata tena kimbilio katika<br />

utawala wa Margeurite.<br />

Calvin hakuwe<strong>za</strong> kubakia wakati mrefu bila kazi. Mara msukosuko ulipotulia akaenda<br />

kutafuta shamba mpya ya kazi huko Poities, mahali makusudi mapya yalikuwa ya kufaa<br />

kukubaliwa. Watu wa namna zote walisikili<strong>za</strong> kwa furaha habari njema. Kwa namna hesabu<br />

ya wasikili<strong>za</strong>ji ilivyokuwa ikiongezeka, wakafikiri kwamba ni vyema kukusanyikia inje ya<br />

mji. Kwa pango mahali miti na miamba ya juu ya uficho pakachaguliwa kuwa mahali pa<br />

mkutano. Katika mahali hapa pa uficho Biblia ikasomwa na kufasiriwa. Hapo ibada ya me<strong>za</strong><br />

ya Bwana ikafanyika kwa mara ya kwan<strong>za</strong> kwa Waprotestanti wa Ufransa. Kwa kanisa<br />

ndogo hilo kukatoka wahubiri wengi waaminifu.<br />

Mara ingine tena Calvin akarudi Paris, lakini akakuta karibu kila mlango wa kazi<br />

umefungwa. Yeye mwishowe akakusudia kwenda Ujeremani. Kwa shida aliacha Ufransa<br />

wakati zoruba ilitokea juu ya Waprotestanti. Watengene<strong>za</strong>ji wa Ufransa wakakusudia<br />

kupambana na pigo hodari juu ya mambo ya ibada ya sanamu ya Roma ile iliyopashwa<br />

kuamsha taifa lote. Matangazo kwa kushambulia misa katika usiku moja yakawekwa kwa<br />

Ufransa pote. Mahali pa kuendele<strong>za</strong> kazi ya Matengenezo, tendo hilo la upumbavu likawapa<br />

Warumi sababu ya kudai kuangamizwa kwa “wapinga ibada ya dini” kama wafitini wa<br />

hatari kwa usitawi wa kiti cha mfalme na amani ya taifa.<br />

Mojawapo ya matangazo liliwekwa kwa mlango wa chumba cha pekee cha mfalme.<br />

Uhodari wa upekee wa kujiingi<strong>za</strong> kwa maneno ya kushanga<strong>za</strong> haya mbele ya mfalme na<br />

jambo hilo likaamsha hasira ya mfalme. Gha<strong>za</strong>bu yake ikapata usemi katika maneno makali:<br />

“Wote wakamatiwe bila tofauti wanao<strong>za</strong>niwa kuwa wafuasi wa Luther. Nitawaangami<strong>za</strong><br />

wote.” Mfalme akajiweka kwa upande wa Roma.<br />

Utawala wa Hofu Kuu<br />

Mfuasi maskini wa imani ya matengenezo aliyezoea kuita waaminifu kwa mikutano ya<br />

siri akakamatwa. Kwa kutishwa juu ya kifo cha gafula kwa mti wa kuchomwa, akaamuriwa<br />

kuongo<strong>za</strong> mjumbe wa Papa kwa nyumba ya kila mprotestanti katika mji. Hofu ya ndimi ya<br />

moto ikawa nyingi sana, na akakubali kusaliti ndugu <strong>za</strong>ke. Morin, polisi wa mfalme, pamoja<br />

na msaliti, kwa polepole na ukimya akapita katika njia <strong>za</strong> mji. Walipofika mbele ya nyumba<br />

ya mtu mmoja wa Luther, msaliti akafanya ishara, lakini bila kusema neno. Mwandamano<br />

ukasimama, wakaingia nyumbani, jamaa likakokotwa na kufungwa minyororo, na mfuatano<br />

wa kutisha ukaendelea katika kutafuta watu wengine wapya wa kutesa. “Morin<br />

akatetemesha mji wote. ... Ulikuwa utawala wa hofu kuu.”<br />

Watu walioteswa wakauawa kwa mateso makali, ikaamriwa kwamba moto upunguzwe<br />

ili kuzidisha mateso yao. Lakini walikufa kama washindaji, musimamo wao usiotikisika,<br />

amani yao kamili. Watesi wao wakajiona wenyewe kwamba walishindwa. “Watu wa Paris<br />

89

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!