21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mwishowe akaona kwa mbali mji wa vilima saba. Akaanguka mwenyewe chini<br />

udongoni, kupaa<strong>za</strong> sauti: “Roma mtakatifu, nakusalimu!” Akazuru makanisa akasikili<strong>za</strong><br />

hadizi <strong>za</strong> ajabu zilizokaririwa na mapadri na watawa, na kufanya ibada zote zilizohitajiwa.<br />

Po pote, mambo yakamushanga<strong>za</strong> --uovu miongoni mwa waongozi, ubishi usiofaa kwa<br />

maaskofu. Akachukizwa na (unajisi) wao hata wakati wa misa. Akakutana upotevu,<br />

usharati. “Hakuna mtu anawe<strong>za</strong> kuwazia,” akaandika, “<strong>za</strong>mbi gani na matendo maovu sana<br />

yako yakitendeka katika Roma. ... Watu huzoea kusema, ` Kama kunakuwa na jehanumu,<br />

Roma inajengwa juu yake.’”<br />

<strong>Ukweli</strong> juu ya ngazi ya Pilato<br />

Kuachiwa kuliahidiwa na Papa kwa wote watakaopanda juu ya magoti yao “Ngazi ya<br />

Pilato,” walio<strong>za</strong>nia kuwa ilichukuliwa kwa mwuji<strong>za</strong> toka Yerusalema hata Roma. Luther<br />

siku moja alikuwa akipanda ngazi hizi wakati sauti kama radi ilionekana kusema, “Mwenye<br />

haki ataishi kwa imani.” Waroma 1:17. Akaruka kwa upesi kwa magoti yake kwa haya na<br />

hofu kuu. Tangu wakati ule akaona kwa wazi kuliko mbele neno la uongo la kutumaini kazi<br />

<strong>za</strong> binadamu kwa ajili ya wokovu. Akageu<strong>za</strong> uso wake kwa Roma. Tangu wakati ule<br />

mutengano ukakomaa kuwa hata akakata uhusiano wote na kanisa la Roma.<br />

Baada ya kurudi kwake kutoka Roma, Luther akapokea cheo cha mwalimu (docteur) wa<br />

mambo ya Mungu. Sasa alikuwa na uhuru wa kujitoa wakfu mwenyewe kwa Maandiko<br />

ambayo aliyapenda. Akaweka naziri (ya ibada ya Mungu) kuhubiri kwa uaminifu Neno la<br />

Mungu, si mafundisho ya waPapa. Hakuwa tena mtawa tu, bali mjumbe aliyeruhusiwa wa<br />

Biblia, aliyeitwa kama mchungaji (pasteur) kwa kulisha kundi la Mungu lillokuwa na njaa<br />

na kiu ya ukweli. Akatanga<strong>za</strong> kwa bidii kwamba Wakristo hawapaswe kupokea mafundisho<br />

mengine isipokuwa yale ambayo yanayojengwa juu ya mamlaka ya Maandiko matakatifu.<br />

Makundi yenye bidii yakapenda sana maneno yake. Habari ya furaha ya upendo wa<br />

Mwokozi, hakikisho la msamaha na amani katika damu ya kafara yake ikafurahisha mioyo<br />

yao. Huko Wittenberg nuru iliwashwa, ambayo nyali yake iongezeke kungaa <strong>za</strong>idi kwa<br />

mwisho wa wakati.<br />

Lakini kati ya ukweli na uongo kunakuwa vita. Mwokozi wetu Mwenyewe alitanga<strong>za</strong>:<br />

“Musifikiri ya kama nimekuja kuleta salama duniani, sikuja kuleta salama lakini upanga.”<br />

Matayo 10:34. Akasema Luther, miaka michache baada ya kufunguliwa kwa Matengenezo:<br />

“Mungu ... ananisukuma mbele ... nataka kuishi katika utulivu; lakini nimetupwa katikati ya<br />

makelele na mapinduzi makuu.”<br />

Huruma <strong>za</strong> kuuzisha<br />

Kanisa la Roma lilifanya Biashara ya Neema ya Mungu. Chini ya maombi ya kuonge<strong>za</strong><br />

mali kwa ajili ya kujenga jengo la Petro mtakatifu kule Roma, huruma kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi<br />

zilizotolewa kwa kuuzishwa kwa ruhusa ya Papa. Kwa bei ya uovu hekalu lilipaswa<br />

kujengwa kwa ajili ya ibada ya Mungu. Ilikuwa ni jambo hili ambalo liliamusha adui<br />

49

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!