21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

alikuwa mufano wa utakaso wa kweli. Badala ya kujitanga<strong>za</strong> kuwa safi na mtakatifu, nabii<br />

huyu wa heshima akajitambulisha mwenyewe pamoja na wenye <strong>za</strong>mbi wa kweli wa Israeli<br />

wakati alipokuwa akimlilia Mungu kwa ajili ya watu wake. Danieli ; 9:15,18,20; 10:8,11.<br />

Hapawezi kuwa kujiinua mwenyewe, hapana madai ya kujisifu kwa uhuru wa <strong>za</strong>mbi<br />

kwa upande wa wale wanaotembea katika kivuli cha msalaba wa Kalvari. Waliona kwamba<br />

ilikuwa ni <strong>za</strong>mbi yao ambayo ilianzisha maumivu makuu yaliyovunja moyo wa Mwana wa<br />

Mungu, na wazo hili litaongo<strong>za</strong> kwa kujinyenyeke<strong>za</strong>. Wale wanaoishi karibu sana na Yesu<br />

wanatambua wazi <strong>za</strong>idi u<strong>za</strong>ifu na hali ya <strong>za</strong>mbi ya wanadamu, na tumaini lao moja tu<br />

linakuwa katika tabia nzuri ya Mwokozi aliyesulibiwa na kufufuka.<br />

Utakaso sasa unaoendelea mbele kwa sifa katika watu wa dini unaene<strong>za</strong> roho ya kujiinua<br />

na kutojali kwa sheria ya Mungu ambayo inauonyesha kama jambo la kigeni kwa Biblia.<br />

Watetezi wake hufundisha kwamba utakaso ni kazi ya dakika moja, ambayo, katika “imani<br />

tu,” wanafikia utakatifu kamili. “Uamini tu,” wanavyosema, “na mibaraka ni yako.” Hapana<br />

juhudi ya <strong>za</strong>idi kwa upande wa mwenye kupokea inayopashwa kufanywa. Kwa wakati ule<br />

ule wakakataa mamlaka ya sheria ya Mungu, kushurutisha kwamba wamewekwa huru kwa<br />

kanuni ya kushika amri. Lakini inawezekana kuwa mutakatifu pasipo kuja katika umoja na<br />

kanuni ambazo zinaonyesha tabia ya Mungu na mapenzi yake?<br />

Ushuhuda wa Neno la Mungu unakuwa kinyume cha mafun-disho haya ya mtego ya<br />

imani pasipo matendo. Si imani inayotafuta kibali cha Mungu bila kushika tabia<br />

inayohitajiwa kwa ajili ya rehema ya kutolewa. Ni kiburi. Ta<strong>za</strong>ma Yakobo 2:14-24.<br />

Hebu watu wasijidanganye wenyewe kwamba wanawe<strong>za</strong> kuwa watakatifu wanapovunja<br />

kwa makusudi mojawapo ya matakwa ya Mungu. Zambi inayojulikana inanyamazisha<br />

ushuhuda wa sauti ya Roho na inatenga nafsi toka kwa Mungu. Ingawa Yoane alidumu<br />

kabisa juu ya mapendo, hakusita kufunua tabia ya kweli ya kundi linalojidai kuwa takatifu<br />

wakati wanapoishi katika kuvunja sheria ya Mungu. “Yeye anayesema; Nimemujua, wala<br />

hashiki amri <strong>za</strong>ke, ni mwongo, wala kweli si ndani yake. Lakini yeye anayeshika neno lake,<br />

katika huyu mapendo ya Mungu yamekamilishwa kweli kweli.” 1 Yoane 2:4,5. Hapa kuna<br />

jaribio ya ushuhuda wa kila mtu. Kama watu wanapungua na ku<strong>za</strong>rau amri <strong>za</strong> Mungu, kama<br />

“wakivunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kufundisha watu hivyo” (Matayo<br />

5:18,19), tunawe<strong>za</strong> kujua kwamba madai yao hayana msingi.<br />

Kusema hana <strong>za</strong>mbi ni ushuhuda kwamba yeye anatanga<strong>za</strong> haya anakuwa mbali kwa<br />

utakatifu. Hana wazo la kweli la usafi usiokuwa na mwisho na utakatifu wa Mungu, na uovu<br />

na ubaya wa <strong>za</strong>mbi. Zaidi anajitenga mbali kwa Kristo,<strong>za</strong>idi anajiona yeye mwenyewe kuwa<br />

mwema.<br />

Utakaso wa Biblia<br />

Utakaso unahusu hali kamili ya mtu--roho, nafsi, na mwili. Ta<strong>za</strong>ma 1 Watesalonika<br />

5:23. Wakristo wanaalikwa kutoa miili yao, “iwe <strong>za</strong>bihu iliyo hai, takatifu, ya kupende<strong>za</strong><br />

198

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!