21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kweli ya Bwana Yesu Kristo”. Kwa majivuno ya kutukana Mungu, kwa wazi wakadai<br />

uwezo wa kuumba Mungu, Muumba wa vitu vyote. Wakristo wakalazimishwa maumivu ya<br />

kifo, kuungama imani yao katika uzushi wa machukizo ya kutukana mbingu.<br />

Katika karne ya kumi na tatu kile chombo kikali sana kati ya vyombo vya Papa<br />

kikaanzishwa-Bara<strong>za</strong> kuu la kuhukumia wazushi wa dini (Inquisition). Katika mabara<strong>za</strong> yao<br />

ya siri Shetani na malaika <strong>za</strong>ke walitawala roho <strong>za</strong> watu waovu. Bila kuonekana katikati<br />

Malaika wa Mungu alisimama, alipoandika kwa uaminifu ukumbusho wa maagizo yao<br />

maovu ya kutisha na kuandika historia ya matendo yao mabaya sana kuonekana machoni pa<br />

watu. “Babeli Mkuu” “analewa kwa damu ya watakatifu”. Ta<strong>za</strong>ma Ufunuo 17:5,6. Miili<br />

iliyoteseka ya mamilioni ya wafia dini (martyrs) ikalalamika mbele ya Mungu kwa ajili ya<br />

kisasi juu ya ule uwezo wa mkufuru.<br />

Papa akawa mtawala mkali peke yake wa dunia yote. Wafalme na wafalme wakubwa<br />

(empereurs) walitii maagizo ya askofu wa Roma. Kwa muda wa mamia ya miaka<br />

mafundisho ya Roma yakakubaliwa na wengi. Waongozi wake wakaheshimiwa na<br />

kusaidiwa sana. Kamwe tangu wakati ule, kanisa la Roma lilikuwa halijafikia kadiri ya cheo<br />

kikubwa, cha fahari, ao uwezo wa namna ile. Lakini “azuhuri ya cheo cha Papa ilikuwa<br />

usiku wa manane wa wanadamu”.<br />

Maandiko matakatifu yalikuwa karibu bila kujulikana. Waongozi wa kanisa la Roma<br />

walichukia nuru iliyofunua <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o. Sheria ya Mungu, kipimo cha haki, ilipoondolewa,<br />

wakatumia uwezo bila kizuio. Majumba makubwa ya Papa na maaskofu yalikuwa<br />

monyesho ya upotovu wa machukizo. Maaskofu wengine walikuwa na makosa ya maovu<br />

sana hata wakajaribu kuwaondosha kama wanyama wa kutisha wasiowe<strong>za</strong> kuvumiliwa.<br />

Kwa muda wa karne nyingi Ulaya haikufanya maendeleo kamwe katika maarifa ya kweli,<br />

mambo ya ufundi na maendeleo ya jamii. Ukristo ukapatwa na kupoo<strong>za</strong> kwa tabia na<br />

maarifa... Ndiyo yalikuwa matokeo ya kufuku<strong>za</strong> Neno la Mungu!<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!