21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kwa mshangao mjumbe wa mbinguni alikuwa karibu kurudi mbinguni pamoja na habari<br />

ya aibu sana, wakati alipovumbua kundi la wachungaji wakilinda makundi yao.<br />

Wakatamani sana kuja kwa Mkombozi wa ulimwengu. Hapa palikuwa na kundi la watu<br />

waliojitayarisha kumpokea mjumbe wa mbinguni. Kwa gafula utukufu wa mbinguni ukajaa<br />

pote katika uwanda, kundi lisilohesabika la wamalaika likafunuliwa; na kana kwamba<br />

furaha ilikuwa kubwa kwa ajili ya mjumbe kutoka mbinguni, wingi wa masauti kuimba<br />

wimbo wa furaha ambao mataifa yote ya waliookolewa wataimba siku moja: “Utukufu kwa<br />

Mungu aliye juu, na salama duniani, katika watu wanaomupende<strong>za</strong>.” Luka 2:14.<br />

Fundisho la namna gani linakuwa kwa historia ya ajabu hii ya Betelehemu! Namna gani<br />

inakemea kutokuamini kwetu, kiburi chetu na hali ya kuwa<strong>za</strong> tunatosheka nafsini. Namna<br />

gani inatuonya kwa kujiha<strong>za</strong>ri, ili sisi vile vile tusishindwe kutambua ishara <strong>za</strong> nyakati na<br />

kwa hiyo hatutajua siku ya kuzuriwa kwetu.<br />

Si miongoni mwa wachungaji tu ambamo malaika walipata walinzi kwa ajili ya kuja<br />

kwa Masiya. Katika inchi ya wapagani vile vile kulikuwa wale waliomta<strong>za</strong>mia--watajiri,<br />

watu bora wenye akili— wenye elimu zote wa Mashariki. Kutoka kwa Maandiko ya<br />

Kiebrania walikuwa wakijifun<strong>za</strong> habari ya nyota kutokea kwa Yakobo. Kwa mapenzi ya<br />

bidii walingojea kuja kwake yeye aliyepashwa kuwa si “Faraja la Israeli” tu, bali “Nuru ya<br />

kuangazia Mataifa,” na “kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.” Luka 2:25, 32; Matendo<br />

13:47. Mbingu--ikatuma nyota ikaongo<strong>za</strong> wageni wa mataifa kwa mahali pa ku<strong>za</strong>liwa kwa<br />

Mfalme mpya aliye<strong>za</strong>liwa.<br />

Ni kwa “wale wanaomungojea” Kwamba Kristo “ataonekana mara ya pili, si tena kwa<br />

<strong>za</strong>mbi, lakini kuokoa wale wanaomungojea kwa wokovu.” Waebrania 9:28. Kama habari ya<br />

ku<strong>za</strong>liwa kwa Mwokozi, ujumbe wa kuja kwa mara ya pili haukutolewa kwa waongozi wa<br />

dini ya watu. Walikataa nuru kutoka mbinguni; kwa hiyo hawakuwa katika hesabu ya wale<br />

waliotajwa na mtume Paulo: “Lakini ninyi ndugu, si katika gi<strong>za</strong>, hata siku ile iwapate ninyi<br />

kama mwizi: sababu ninyi wote ni wana wa nuru, na wana wa mchana: sisi hatuko wana wa<br />

usiku wala wa gi<strong>za</strong>.” 1 Watesalonika 5:4, 5.<br />

Walinzi juu ya kuta <strong>za</strong> Sayuni walipashwa kuwa wa kwan<strong>za</strong> kupata habari ya kuja kwa<br />

Mwokozi, wa kwan<strong>za</strong> kutanga<strong>za</strong> ukaribu wa kuja kwake. Lakini walikuwa kwa raha, wakati<br />

watu walikuwa katika usingizi wa <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o. Yesu aliona kanisa lake, kama mti wa mtini<br />

usio<strong>za</strong>a, umefunikwa na majani ya fahari, lakini pasipo kuwa na matunda ya damani. Roho<br />

ya unyenyekevu wa kweli, uvumilivu, na imani ilikosekana. Hapo kulikuwa kiburi, unafiki,<br />

uchoyo, ugandamizi. Kanisa laukufuru lilifunga macho yao kwa alama <strong>za</strong> nyakati.<br />

Wakatoka kwa Mungu na wakajitenga wao wenyewe kwa upendo wake. Namna<br />

walivyokataa na mapashwa yaliyowekwa, ahadi <strong>za</strong>ke hazikutimizwa kwao.<br />

Wengi waliojidai kuwa wafuasi wa Kristo wakakataa kupokea nuru kutoka mbinguni.<br />

Kama Wayahudi wa <strong>za</strong>mani, hawakujua wakati wa kuzuriwa kwao. Bwana akapita pembeni<br />

127

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!