21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wakati wa Taabu ya Yakobo<br />

Kwa namna Sabato inavyokuwa jambo la upekee la ushindani po pote katika jamii ya<br />

Wakristo wote, italazimishwa ya kwamba wachache wanaosimama katika upin<strong>za</strong>ni kwa<br />

kanisa na serekali hawapashwi kuvumiliwa, ya kwamba ni bora kwao kuteswa kuliko<br />

mataifa yote kutupwa katika fujo. “Inafaa kwetu kayafa akasema mtu mmoja afe kwa ajili<br />

ya watu, na kwa hiyo taifa lote lisiangamie”, Yoane 11:50. Neno hili litaonekana la<br />

kutibitisha; amri mwishoni itatolewa juu ya wale wanaotuku<strong>za</strong> Sabato ya amri ya ine,<br />

kuwashitaki na kutoa uhuru kwa watu baada ya wakati fulani kuwaua. Kanisa la Roma kwa<br />

wakati wa ulimwengu wa mkufuru wa Kiprotestanti katika ulimwengu wa sasa atafuata njia<br />

ileilne. Watu wa <strong>za</strong>mani na Mungu watatumbukuzwa katika musukosuko hiyo ya taabu<br />

inaonyesha kama wakati wa taabu yake yakobo. Yeremia 30:5-7.<br />

Usiku wa Yakobo wa uchungu, wakati alipo shindana katika maombi kwa kuokolewa<br />

kutoka kwa Esau (Mwanzo 32:24-31) inaonyesha tendo la watu wa Munguwakati wa taabu.<br />

Sababu ya udanganyifu uliotumiwa kwa kupatabaraka kutoka kwa baba yakeambayo<br />

ilikuwaya Esau, Yakobo alikimbia, alipojulishwajuu ya vitisho vya kifo vilivyofanywa na<br />

ndugu yake. Baada ya kukaa miaka nyingi mbali na kwao, akachagua kurudi inchini yake ya<br />

asili. Alipofikamipakani akajazwa na hofu kwa habari ya kumkaribia Esau, akahakikisha<br />

kuwa nduguye atalipisha kisasi. Tumaini pekee la Yakobo lilikuwa ni rehema <strong>za</strong> Mungu;<br />

ulinzi wake wa kipekee ulipashwa kuwa ni maombi.<br />

Peke yake pamoja na Mungu, akaungama <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke kwa unyenyekevu sana. Taabu<br />

katika maisha yake ilifika. Katika gi<strong>za</strong> akaendelea kuomba. Gafula mkono ukawekwa juu ya<br />

bega lake. Akafikiri kwamba adui ndiye alikuwa akitafuta maisha yake. Kwa nguvu zote <strong>za</strong><br />

kukata tamaa akapigana kwa nguvu na adui wake. Wakati siku ilipoan<strong>za</strong> kucha, mgeni<br />

akatumia nguvu zisizokuwa <strong>za</strong> kibinadamu. Yakobo akaonekana kukauka na akaanguka,<br />

muombaji <strong>za</strong>ifu, mwenye kulia kwa shingo la mshindani wake wa siri. Akajua nyuma ya<br />

kwamba alikuwa malaika wa agano aliyekuwa akigombana naye. Alidumu katika majuto<br />

wakati mrefu kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi yake; sasa anapashwa kuwa na matumaini ya kwamba<br />

alisamehewa. Malaika akasihi sana, “Uniache niende, ni mapambazuko”, lakini mzee mkuu<br />

akapandisha sauti, “Sitakuacha kwenda mpaka utakaponibariki”. Yakobo akaungama u<strong>za</strong>ifu<br />

wake na kutostahili kwake, huku akatumainia rehema <strong>za</strong> Mungu mwenye kulinda maagano.<br />

Kwa njia ya toba na kujitoa, kiumbe hiki cha mauti na mwenye <strong>za</strong>mbi akashindana na<br />

Mtukufu wa mbinguni.<br />

Shetani akamshitaki Yakobo mbele ya Mungu kwa sababu ya <strong>za</strong>mbi yake; akashawishi<br />

Esau kusafiri na kinyume chake. Wakati wa usiku wa mzee mkuu wa kushindana, Shetani<br />

akajaribu kumkatisha tamaa na kuvunja tumaini lake kwa Mungu. Alivutwa karibu kukata<br />

tamaa; lakini akatubu kwa kweli juu ya <strong>za</strong>mbi yake na kushikilia Malaika imara<br />

nakaendelea na maoni yake pamoja na vilio vya juhudi hata akashinda.<br />

258

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!