21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Zwingli alifikia hali ya kuelewa wazi juu ya ukweli na kupata ujuzi ndani yake uwezo<br />

wake unaogeu<strong>za</strong>. “Kristo,” akasema, “... alitupatia ukombozi wa milele ... mateso yake ni ...<br />

kafara ya milele, na huleta kupona kwa milele; huridisha haki ya Mungu kwa milele kwa<br />

ajili ya wale wote wanaotegemea juu ya kafara yake kwa imani ya nguvu na ya imara. ...<br />

Panapokuwa imani katika Mungu, kunakuwa na juhudi inayoendesha na kusukuma watu<br />

kwa kazi njema.”<br />

Hatua kwa hatua Matengenezo yakaendelea katika Zurich. Katika mushtuko adui <strong>za</strong>ke<br />

wakaamka kwa kushindana kwa bidii. Mashambulio mingi yakafanywa juu ya Zwingli.<br />

Mwalimu wa wapinga imani ya dini anapashwa kunyamazishwa. Askofu wa Constance<br />

akatuma wajumbe watatu kwa Bara<strong>za</strong> la Zurich, kumshitaki Zwingli juu ya kuhatarisha<br />

amani na utaratibu wa jamii. Kama mamlaka ya kanisa ikiwekwa pembeni, akasema,<br />

machafuko kote ulimwenguni yatatokea.<br />

Bara<strong>za</strong> likakataa kukamata mpango juu ya Zwingli, na Roma ikajitayarisha kwa<br />

shambulio jipya. Mtengene<strong>za</strong>ji akapali<strong>za</strong> sauti: “Muache waje”; Ninawaogopa kama vile<br />

mangenge yanayo tokajuu yakimbiavyo mavimbi yanayo mgurumo kwa miguu yake.”<br />

Juhudi <strong>za</strong> waongozi wa kanisa ziendelesha kazi waliotamani kuharibu. Kweli ikaendelea<br />

kusambaa. Katika Ujeremani wafuasi wake, walipohuzunishwa kwa kutoweka kwa Luther,<br />

wakatiwa moyo tena walipoona maendeleo ya injili katika Usuisi. Namna Matengenezo<br />

yaliimarishwa katika Zurich, matunda yake yalionekana <strong>za</strong>idi kabisa katika kuvunjwa kwa<br />

uovu na kuendeleshwa utaratibu.<br />

Mabishano (Wafuasi wa kanisa la Roma)<br />

Kwa kuona namna mateso ya kutanga<strong>za</strong> kazi ya Luther katika Ujeremani haikufanya<br />

kitu, Warumi wakakusudiakuwe mabishano na Zwingli. Walikuwa na hakika ya ushindi<br />

kwa kuchagua si makali tu pa vita bali waamuzi waliopashwa kuamua kati ya wabishanaji.<br />

Na kama wangewe<strong>za</strong> kupata Zwingli katika uwezo wao, wangefanya angalisho ili<br />

asikimbie. Shauri hili, basi, likafichwa kwa uangalifu. Mabishano yalipaswa kuwa huko<br />

Bade. Lakini Bara<strong>za</strong> la Zurich, ku<strong>za</strong>nia makusudi ya watu wa Papa na walipoonywa juu ya<br />

vigingi vya moto vilivyowashwa katika makambi ya wakatoliki kwa ajili ya washahidi wa<br />

injili, wakamkata<strong>za</strong> mchungaji wao kujihatarisha maisha yake. Kwa kwenda Bade, mahali<br />

damu ya wafia dini kwa ajili ya ukweli ilikuwa imetiririka, ingeleta kifo kweli.<br />

Oecolampadius na Haller wakachaguliwa kuwa wajumbe wa Watengene<strong>za</strong>ji, wakati Dr. Eck<br />

mwenye sifa, akisaidiwa na jeshi la watu wenye elimu sana na wapadri, alikuwa ndiye<br />

shujaa wa Roma.<br />

Waandishi wakachaguliwa wote kwa wakatoliki, na wengine wakakatazwa kuandika ao<br />

wasipotii wauwawe. Mwanafunzi mmoja, aliyeshiriki katika mabishano akaandika abari kila<br />

jioni juu ya mabishano yaliyofanyika mchana ule. Wanafunzi wawili wengine wakaagizwa<br />

kutoa kila siku barua <strong>za</strong> Oecolampadius, kwa Zwingli huko Zurich. Mtengene<strong>za</strong>ji akajibu,<br />

72

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!