21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kama wangejulisha ujumbe wao wangeuletea kushindwa. Kila mhuburi alikuwa na ujuzi<br />

wa kazi fulani ao ufundi, na wajumbe waliendesha kazi yao chini ya kifuniko cha mwito wa<br />

kazi ya dunia , kwa kawaida kama mfanya biashara ao ya mchuuzi. “Walichukua mavazi ya<br />

hariri, vitu vilivyofanyizwa kwa <strong>za</strong>habu, na vitu vingine, ... na walikaribishwa vizuri kama<br />

wafanya biashara mahali wange<strong>za</strong>rauliwa kama wajumbe (missionnaires)” Walichukua kwa<br />

siri nakala <strong>za</strong> Biblia, nzima ao kipande. Mara kwa mara shauku ya kusoma Neno la Mungu<br />

ilipoamushwa, sehemu fulani <strong>za</strong> Biblia ziliachwa kwa wale waliozihitaji.<br />

Kwa miguu wazi na mavazi machafu na safari ya udongo mzito, wajumbe hawa walipita<br />

katika miji mikubwa na kuingia kwa inchi <strong>za</strong> mbali. Makanisa yakasimamishwa kwa haraka<br />

njiani walimopita, na damu ya wafia dini ikashuhudia ukweli. Kwa uficho na ukimya, Neno<br />

la Mungu likitukana na kupokelewa kwa furaha ndani ya nyumba na mioyoni mwa watu.<br />

Wavaudois waliamini kwamba mwisho wa vitu vyote haukuwa mbali sana. Walipokuwa<br />

wakijifun<strong>za</strong> Biblia walikuwa wanatia moyo kwa kazi yao ya kujulusha wengine juu ya<br />

ukweli Walipata faraja, tumaini, na amani kwa kumwamini Yesu. Namna nuru ilifurahisha<br />

mioyo yao, walitamani sana kutawanya nyali <strong>za</strong>ke kwa wale waliokuwa katika gi<strong>za</strong> la<br />

makosa la kipapa.<br />

Chini ya uongozi wa Papa na mapadri, wengi walifundishwa kutumainia kazi ao<br />

matendo yao mazuri kwa kuokolewa. Walikuwa wakijiangalia wao wenyewe, akili <strong>za</strong>o<br />

zilikuwa zikiishi katika hali yao ya <strong>za</strong>mbi, kutesa moyo na mwili, lakini bila kurijika.<br />

Maelfu walipote<strong>za</strong> maisha yao katika viumba vya watawa (moines). Kwa mafungo ya mara<br />

kwa mara na kutesa mwili, kukesha usiku wa manane, kwa kusujudia mahali pa baridi,<br />

mawe ya maji maji, kwa safari ndefu--<strong>za</strong> kwenda kuzuru Pahali patakatifu--kwa kuogopa ya<br />

hasira ya kisasi cha Mungu--wengi waliendelea kuteseka hata kuchoka kukadumisha. Bila<br />

nyali moja ya tumaini waka<strong>za</strong>ma ndani ya kaburi.<br />

Wenye Zambi Walimushota Kristo<br />

Wavaudois walitamani sana kufungulia mioyo hizi zilizoumia na njaa ya habari <strong>za</strong> amani<br />

katika ahadi <strong>za</strong> Mungu na kuwaonyesha kwa Kristo kama tumaini lao la pekee la wokovu.<br />

Mafundisho kwamba matendo mema yanawe<strong>za</strong> kuwa pahali pa <strong>za</strong>mbi yaliyotambuliwa kwa<br />

kuwa msingi wake niwa uongo. Tabia nzuri <strong>za</strong> Mwokozi aliyesulibiwa na kufufuka<br />

zinakuwa, ndiyo msingi wa imani ya kikristo. Hali ya matumaini ya moyo kwa Kristo<br />

inapaswa kuwa karibu sana kama vile kiungo kwa mwili ao cha tawi kwa m<strong>za</strong>bibu.<br />

Mafundisho ya wapapa na wapadri yaliongo<strong>za</strong> watu kuta<strong>za</strong>ma Mungu na hata Kristo<br />

kama wakali na wa kugombe<strong>za</strong>, kwa hiyo bila huruma kwa mtu kwamba uombezi wa<br />

wapadri na watakatifu ulipaswa kuombwa. Wale ambao akili <strong>za</strong>o zimeangaziwa walitamani<br />

sana kuondoa vizuizi ambavyo Shetani amevija<strong>za</strong>, ili watu waweze kuja mara moja kwa<br />

Mungu, kuungama <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o, na kupokea msamaha na amani.<br />

Kushambulia Ufalme wa Shetani<br />

27

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!