21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Katika vitu vya mvuto wa Einseideln ni sanamu ya Bikira, walisema kwamba ilikuwa na<br />

uwezo wakufanya. Juu ya mlango wa nyumba ya watawa kulikuwa na maandiko, “Ni hapa<br />

kunapatikana msamaha wa <strong>za</strong>mbi zote.” Makundi mengi wakaja kwa ma<strong>za</strong>bahu ya Bikira<br />

kutoka pande zote <strong>za</strong> Usuisi, na hata kutoka Ufaransa na Ujeremani. Zwingli akapata nafasi<br />

ya kutanga<strong>za</strong> uhuru kwa njia ya injili kwa watumwa hawa wa mambo ya ibada ya sanamu.<br />

“Musi<strong>za</strong>ni,” akasema, “kwamba Mungu yuko katika hekalu hii <strong>za</strong>idi kuliko kwa upande<br />

mwingine wauumbaji. ... Je, kazi zisizofaa, safari <strong>za</strong> taabu, sadaka, masanamu, sala <strong>za</strong><br />

Bikira ao <strong>za</strong> watakatifu zingewe<strong>za</strong> kuwapatia neema ya Mungu? ... Ni manufaa gani ya<br />

kofia ya kungaa, kichwa kilichonolewa vizuri, kanzu ndefu na yenye kuvutwa, ao viato<br />

vyenye mapambo ya <strong>za</strong>habu?” “Kristo,” akasema, “aliyetolewa mara moja juu ya msalaba,<br />

ni toko na kafara, alifanya kipatanisho kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> waaminifu hata milele.”<br />

Kwa wengi lilikuwa uchungu wa kukatisha tamaa kuambiwa kwamba safari yao ya<br />

kuchokesha ilikuwa ya bure. Hawakuwe<strong>za</strong> kufahamu rehema waliyotolewa bure katika<br />

Yesu Kristo. Njia ya mbinguni iliyowekwa na Roma iliwatoshelea. Ilikuwa ni rahisi sana<br />

kutumaini wokovu wao kwa wapadri na Papa kuliko kutafuta usafi wa moyo.<br />

Lakini kundi lingine wakapokea kwa furaha habari <strong>za</strong> ukombozi kwa njia ya Kristo, na<br />

katika imani wakakubali damu ya Muokozi kuwa kipatanisho chao. Hawa wakarudi kwao<br />

kuonyesha wengine nuru ya damani waliyoipokea. Kwa hivi ukweli ukapelekwa mji kwa<br />

mji, na hesabu ya wasafiri kwa mahali patakatifu pa Bikira ikapunguka sana. Sadaka sasa<br />

zikapunguka, na kwa sababu hiyo mshahara wa Zwingli uliyokuwa ukitoka humo. Lakini<br />

jambo hilo lilimletea tu furaha namna alivyoona kwamba uwezo wa ibada ya sanamu<br />

ulikuwa ukivunjwa. <strong>Ukweli</strong> ukapata uwezo kwa mioyo ya watu.<br />

Zwingli Akaitwa Zurich<br />

Baada ya miaka mitatu Zwingli akaitwa kuhubiri katika kanisa kubwa la Zurich, mji<br />

mkubwa sana wa ushirika wa Suisi. Mvuto uliotumiwa hapa ulisikuwa mahali pengi.<br />

Wapadri waliomwita kwa kazi hiyo wakawa na uangalifu wa kumfahamisha hawakutaka<br />

mageuzi:<br />

“Utaweka juhudi yote kukusanya mapato kwa mfululizo bila kusahau kitu cho chote. ...<br />

Utakuwa na juhudi ya kuonge<strong>za</strong> mapato kutoka kwa wagonjwa, kwa misa, na kwa kawaida<br />

kutoka kwa kila agizo la dini.” “Juu ya uongozi wa sakramenti, mahubiri, na ulinzi wa<br />

kundi, ... unawe<strong>za</strong> kutumia mtu mwingine, na <strong>za</strong>idi sana katika mahubiri.”<br />

Zwingli akasikili<strong>za</strong> kwa ukimya kwa agizo hili, na akasema kwa kujibu, “Maisha ya<br />

Kristo yamefichwa mda mrefu kwa watu. Nitahubiri juu habari yote ya Injili ya Mtakatifu<br />

Matayo. ... Ni kwa utukufu wa Mungu, kwa sifa ya mwana wake, kwa wokovu wa kweli wa<br />

roho, na kwa kujijenga katika imani ya kweli, ambapo nitajitoa wakfu kwa kazi yangu.”<br />

70

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!