21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Adui huyu mwangalifu yuko anajiingi<strong>za</strong> katika kila jamaa, katika kila njia, katika<br />

makanisa, katika ma Bara<strong>za</strong> ya mataifa, katika manyumba ya sheria, katika bara<strong>za</strong> <strong>za</strong><br />

hukumu, Kuleta matatizo, kudanganya, kukosesha, po pote kuharibu nafsi na miili ya<br />

wanaume na wanawake, na watoto. Anaharibu jamaa, kupanda uchuki, vita, fitina, na uuaji<br />

wa mtu kwa kusudi. Na ulimwengu unaonekana ku<strong>za</strong>nia mambo haya kama kwamba ni<br />

Mungu aliyeyaweka na yanapashwa kuwako. Wote wasiokusudia kuwa wafuasi wa Kristo<br />

wanakuwa watumishi wa Shetani. Wakati Wakristo wanapochagua jamii ya wasiomwogopa<br />

Mungu, wanajihatarisha wao wenyewe kwa majaribu. Shetani anajificha mwenyewe kwa<br />

macho na anafunika kifuniko chake cha udanganyi kwa macho yao.<br />

Kufuatana na desturi <strong>za</strong> dunia anageu<strong>za</strong> kanisa kwa dunia, hageuzi kamwe dunia kwa<br />

Kristo. Kujizoe<strong>za</strong> <strong>za</strong>mbi kutaifanya isionekane kuwa mbaya sana. Wakati katika njia ya kazi<br />

tunaletwa katika kujaribiwa, tunawe<strong>za</strong> kuwa na hakika kwamba Mungu atatulinda; lakini<br />

tukijiweka sisi wenyewe chini ya jaribu tutaanguka upesi ao baadaye.<br />

Mjaribu mara kwa mara anatumika kwa mafanikio <strong>za</strong>idi katika wale bila shaka<br />

wasioji<strong>za</strong>nia kuwa chini ya mamlaka yake. Kipawa na elimu ni kimtu ni <strong>za</strong>wadi <strong>za</strong> Mungu;<br />

lakini wakati hizi zinapoongo<strong>za</strong> mbali kutoka kwake, zinakuwa mtego. Mara nyingi mtu<br />

mwenye elimu ya akili na wa tabia ya kupende<strong>za</strong> ni chombo kizuri katika mikono ya<br />

Shetani.<br />

Musisahau kamwe onyo la maongozi ya Mungu la kutanga<strong>za</strong> tangu karne nyingi hata<br />

wakati wetu. “Muwe na kiasi na kuangalia; mpin<strong>za</strong>nii wenu Shetani, kama simba<br />

anayenguruma anayezungukazunguka akitafuta mtu amumeze.” “Vaeni silaha zote <strong>za</strong><br />

Mungu, mupate kuwe<strong>za</strong> kusimama juu ya hila <strong>za</strong> Shetani.” 1 Petro 5:8; Waefeso 6:11. Adui<br />

wetu mkubwa anajitayarisha kwa mashambulio yake ya mwisho. Wote wanaomfuata Yesu<br />

watakuwa katika vita pamoja na adui huyu. Zaidi sana Mkristo anapoiga Mfano wa Mungu,<br />

na <strong>za</strong>idi hakuna shaka atajiweka mwenyewe alama kwa mashambulio ya Shetani.<br />

Shetani alishambulia Kristo kwa majaribu makali na hila; lakini alikomeshwa katika kila<br />

vita. Kushinda kule kote kunatuwezesha sisi kishinda. Kristo atatoa nguvu kwa wale wote<br />

wanaoitafuta. Hakuna mtu asipokubali yeye mwenyewe anawe<strong>za</strong> kushindwa na Shetani.<br />

Mjaribu hana uwezo wa kutawala mapenzi ao kulazimisha mtu kufanya <strong>za</strong>mbi. Anawe<strong>za</strong><br />

kutia ao kuanzisha taabu, lakini hapana uchafu. Jambo la hakika kwamba Kristo alishinda<br />

linapasa kutia moyo wafuasi wake kwa nguvu kupigana vita juu ya <strong>za</strong>mbi na Shetani.<br />

213

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!