21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kufunga Kazi ndani ya Pahali patakatifu<br />

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Katika mfano wa Matayo 22 hukumu inafanyika mbele ya arusi. Mbele ya arusi mfalme<br />

anaingia kuona kama wageni wote wamevikwa mavazi ya arusi, vazi safi (lisilokuwa na<br />

mawaa) la tabia iliyosafishwa katika damu ya Mwana-Kondoo. Ufunuo 7:14, Wote ambao<br />

kwa uchunguzi wameonekana kuwa wamevaa vazi la arusi wamekubaliwa na kuhesabiwa<br />

haki ya kupata sehemu katika ufalme wa Mungu na kukaa kwa kiti chake cha enzi. Kazi hii<br />

ya uchunguzi wa tabia ni hukumu ya uchunguzi, kazi ya mwisho ndani ya Pahali patakatifu<br />

kule mbinguni.<br />

Wakati mambo ya wale katika vi<strong>za</strong>zi vyote waliokubali Kristo yanapokwisha<br />

kuchunguzwa na kukatwa, ndipo rehema itafungwa na mlango wa rehema utafungwa. Kwa<br />

hivyo kwa maneno mafupi ya hukumu, “Nao waliokuwa tayari waliingia pamoja naye kwa<br />

arusi: mlango ukafungwa,” tumechukuliwa chini kwa wakati ambao kazi kubwa kwa ajili ya<br />

wokovu wa mwanadamu itakapokamilika.<br />

Katika Pahali patakatifu pa kidunia, wakati kuhani mkubwa kwa Siku ya Upatanisho<br />

alipoingia kwa Pahali patakatifu pa patakatifu, huduma ndani ya chumba cha kwan<strong>za</strong><br />

ulimalizika. Vivyo wakati Kristo alipoingia kwa Pahali patakatifu pa patakatifu kufanya<br />

kazi ya kumali<strong>za</strong> upatanisho, alimali<strong>za</strong> huduma yake katika chumba cha kwan<strong>za</strong>. Ndipo<br />

huduma katika chumba cha pili ikaan<strong>za</strong>. Kristo ametimi<strong>za</strong> tu sehemu moja ya kazi yake<br />

kama mwombezi wetu, ili kuingia kwa sehemu ingine ya kazi. Alikuwa akiendelea kutetea<br />

damu yake mbele ya Baba kwa ajili ya wenye <strong>za</strong>mbi.<br />

Kwa hivi inakuwa kweli kwamba mlango ule wa tumaini na rehema ambazo watu<br />

walikuwa nazo kwa miaka 1800 walipata ruhusa ya kukaribia kwa Mungu ulifungwa,<br />

mlango mwingine ukafunguliwa. Msamaha wa <strong>za</strong>mbi ukatolewa kwa njia ya uombezi wa<br />

Kristo ndani ya Pahali patakatifu pa patakatifu mno,. Hapo kukingali na “mlango wazi” kwa<br />

Pahali patakatifu pa mbinguni, mahali Kristo alikuwa akifanya kazi kwa ajili ya mwenye<br />

<strong>za</strong>mbi.<br />

Sasa ikaonekana matumizi ya yale maneno ya Kristo katika Ufunuo, yanayosemwa<br />

kuelekea wakati huu kabisa: “Maneno haya anasema aliye mtakatifu, aliye wa kweli, aliye<br />

na ufunguo wa Daudi; naye anayefungua wala hapana mtu anayefunga, naye anafunga wala<br />

hapana mtu anayefungua .... Ta<strong>za</strong>ma, nimekupa mlango wazi mbele yako na hakuna mtu<br />

anayewe<strong>za</strong> kuufunga.” Ufunuo 3:7,8.<br />

Wale ambao kwa imani wanamufuata Yesu katika kazi kubwa ya upatanisho wanapokea<br />

faida ya uombezi, huku wale wanaokataa nuru hawatapata faida. Wayuda waliokataa<br />

kuamini Kristo kama Mwokozi hawakuwe<strong>za</strong> kupokea rehema kwake. Wakati Yesu<br />

alipopanda mbinguni aliingia Pahali patakatifu pa mbinguni kutoa mibaraka ya upatanisho<br />

wake juu ya wanafunzi wake, Wayuda waliachwa katika gi<strong>za</strong> kubwa kabisa kwa kuendelea<br />

na kafara <strong>za</strong>o <strong>za</strong>bure na sadaka. Mlango ambao watu walipata mbele kwa kupita na<br />

180

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!