21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

hapo kuna Mungu kwa kiti cha enzi ambaye tabia yake ni bora ya sifa na ya kuiga. Utakatifu<br />

wa tabia yake utaonyeshwa katika ushuhuda wake.<br />

Katika sifa njema <strong>za</strong> Kristo tunakuwa na ruhusa ya kukaribia kwa kiti cha Mwenye<br />

uwezo usio na mwisho (Mungu). “Yeye asiyeachilia Mwana wake, lakini alimutoa kwa ajili<br />

yetu zote, namna gani atakosa kututolea vitu vyote pamoja naye?” Yesu asema: “Kama<br />

ninyi mulio wabaya munajua kuwapa watoto wenu <strong>za</strong>wadi njema, si <strong>za</strong>idi Baba yenu aliye<br />

katika mbingu atawapa wote wanaomwomba Roho Mtakatifu?” “Kama mukiomba neno<br />

gani kwa jina langu, nitalifanya.” “Mwombe, na mutapata, furaha yenu itimizwe.” Waroma<br />

8:32; Luka 11:13; Yoane 14:14; 16:24.<br />

Ni heshima ya kila mumoja kuishi ambako Mungu atakao kubali na kubarikia. Si<br />

mapenzi ya Baba yetu wa mbinguni ya kuwa tupate kuwa chini ya hukumu na gi<strong>za</strong>. Hapo<br />

hakuna ushuhuda wa unyenyekevu wa kweli katika kwenda pamoja na kichwa cha kuinama<br />

chini na moyo unaojaa na mawazo ya uchoyo. Tunawe<strong>za</strong> kwenda kwa Yesu na kutakaswa<br />

na kusimama mbele ya sheria pasipo haya na majuto.<br />

Katika Yesu wana wa Adamu walioanguka wanakuwa “wana wa Mungu.” Kwa sababu<br />

hii haoni haya kuwaita ndugu <strong>za</strong>ke.” Maisha ya mkristo yanapaswa kuwa yale ya imani<br />

moja, ushindi, na furaha katika Mungu. “Maana furaha ya Bwana ni nguvu zenu.” “Furahini<br />

siku zote. Ombeni pasipo kuacha. Katika maneno yote mushukuru; maana maneno haya ni<br />

mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.” Waebrania 2:11; Nehemia 8:10; 1<br />

Watesalonika 5:16-18.<br />

Haya ndiyo yanavyokuwa matunda ya toba ya Biblia na utakaso; na ni kwa sababu ya<br />

kanuni kubwa <strong>za</strong> haki zilizo wekwa katika sheria zinaangaliwa kwa kutojali kwamba<br />

matunda haya yanashuhudiwa kwa shida. Hii ndiyo sababu hapo kunaonyeshwa kidogo sana<br />

kazi nyingi ile, yenye kudumu ya Roho ambayo iliyoonyesha maamsha ya kwan<strong>za</strong>.<br />

Ni kwa kuta<strong>za</strong>ma ile tunakuwa wenye kubadilika. Wakati amri hizo takatifu ambamo<br />

Mungu amefungulia watu ukamilifu na utakatifu wa tabia yake zime<strong>za</strong>rauliwa, na akili <strong>za</strong><br />

watu zimevutwa kwa mafun-disho na maelezo ya watu, hapo kulifuatwa na upungufu wa<br />

utawa katika kanisa. Ni wakati tu sheria ya Mungu imerudishwa kwa hali yake ya haki<br />

ndipo pale panawe<strong>za</strong> kuwa na muamsho wa imani ya <strong>za</strong>mani <strong>za</strong> kwan<strong>za</strong> na utawa miongoni<br />

mwa watu wake wanaojulikana.<br />

200

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!