21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Usikivu na Kutokuamini<br />

Usikivu ukaendelea kuongezeka. Kutoka kwa makumi mawili na mamia, makutano<br />

yakaongezeka kwa maelfu mengi. Lakini baada ya wakati, upin<strong>za</strong>ni ulionekana juu ya hawa<br />

waliogeuka, makanisa yakaan<strong>za</strong> kuchukua hatua <strong>za</strong> kutiisha kwa wale waliokubali maoni ya<br />

Miller. Jambo hili likaita jibu kwa kalamu yake: “Kama tunakuwa wakosefu ninawaomba<br />

mtuonyeshe kwa namna gani kosa letu linakuwa kutoka katika neno la Mungu; tulichekwa<br />

ya kutosha; na ile haiwezi kutusadikisha kwamba tunakuwa katika kosa; Neno la Mungu<br />

pekee linawe<strong>za</strong> kugeu<strong>za</strong> maoni yetu. Hukumu yetu ilifanyika kwa kusudi pamoja na<br />

maombi, kama tulivyoona ushuhuda katika Maandiko.”<br />

Wakati uovu wambele ya garika ulipomsukuma Mungu kuleta garika duniani, kwan<strong>za</strong><br />

akawajulisha kusudi lake. Kwa miaka 120 likasikiwa onyo kwa kutubu. Lakini<br />

hawakuliamini. Waka<strong>za</strong>rau mjumbe wa Mungu. Kama ujumbe wa Noa ulikuwa wa kweli,<br />

sababu gani watu wote wa dunia hawakuuona na kuuamini? Tendo la kudai haki la mtu<br />

mmoja kupinga hekima ya maelfu! Hawakuwe<strong>za</strong> kuamini onyo wala kutafuta kimbilio<br />

ndani ya safina.<br />

Watu wa <strong>za</strong>rau wakaonyesha kwa mwandamano usiobadilika wa majira, mbingu <strong>za</strong><br />

rangi ya samawi zisizonyesha mvua kamwe. Katika <strong>za</strong>rau wakatanga<strong>za</strong> mhubiri wa haki<br />

kama mwenye juhudi ya kishenzi. Wakaenda <strong>za</strong>o, kujika<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi kwa njia <strong>za</strong>o mbovu kuliko<br />

mbele. Lakini kwa wakati uliotajwa Hukumu <strong>za</strong> Mungu zikaanguka juu ya waliokataa<br />

huruma yake.<br />

Wenye Mashaka na Wasioamini<br />

Kristo alisema kwamba kama vile watu wa siku <strong>za</strong> Noa “hawakujua hata garika ilipokuja<br />

na kuwaondosha wote; ndivyo kutakavyokuwa kuja kwa Mwana wa watu.” Matayo 24:39.<br />

Wakati watu wanaojidai kuwa watu wa Mungu wanapojiunga pamoja na dunia, wakati<br />

anasa ya dunia inakuwa anasa ya kanisa, wakati wote wanapota<strong>za</strong>mia miaka nyingi ya<br />

mafanikio ya kidunia--ndipo, kwa gafula kama nuru ya umeme, utakuja mwisho wa<br />

matumaini yao ya uongo. Kama vile Mungu alivyotuma mtumishi wake kwa kuonya dunia<br />

juu ya kuja kwa Garika, ndivyo alivyotuma wajumbe waliochaguliwa kujulisha ukaribu wa<br />

hukumu ya mwisho. Na kama watu wa wakati wa Noa walichekelea kwa ku<strong>za</strong>rau ubashiri<br />

wa muhubiri wa haki, ndivyo hivyo katika siku <strong>za</strong> Miller wengi kati ya wale wanaojidai<br />

kuwa watu wa Mungu wakachekelea maneno ya maonyo.<br />

Hapo hapakuwa tena na ushahidi wa mwisho wakuonyesha kwamba makanisa yalitoka<br />

kwa Mungu kuliko machukio yaliyoamshwa na ujumbe huu uliotumwa na Mungu. Wale<br />

waliokubali mafundisho ya kuja waliona kwamba ilikuwa wakati wa kukamata msimamo.<br />

“Mambo ya umilele yakawa kwao kitu cha kweli. Mbingu ililetwa karibu, na walijiona wao<br />

wenyewe kuwa na kosa mbele <strong>za</strong> Mungu.”<br />

140

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!