21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Watu wakajikusanya kwa hesabu kubwa kwa kusikia mahubiri yake. Akaan<strong>za</strong> kazi yake<br />

kwa kufungua Injili na kuele<strong>za</strong> maisha, mafundisho, na mauti ya Kristo. “Ni kwa Kristo,”<br />

akasema, “ambapo natamani kuwaongo<strong>za</strong> ninyi--kwa Kristo, chemchemi ya kweli ya<br />

wokovu.” Wenye maarifa ya utawala, wanafunzi, wafundi, na wakulima wakasikili<strong>za</strong><br />

maneno yake. Akakemea makosa bila hofu na maovu ya nyakati. Wengi wakarudi kutoka<br />

kwa kanisa kuu wakimusifu Mungu. “Mtu huyu,” wakasema, “ni mhubiri wa ukweli.<br />

Atakuwa Musa wetu, kutuongo<strong>za</strong> kutoka katika gi<strong>za</strong> hii ya Misri.” Baada ya wakati<br />

upin<strong>za</strong>ni ukaan<strong>za</strong>. Watawa wakamushambulia kwa <strong>za</strong>rau na matusi; wengine wakatumia<br />

ukali na matisho. Lakini Zwingli akachukua yote kwa uvumilivu.<br />

Wakati Mungu anapojitayarisha kuvunja viungo vya pingu vya ujinga na ibada ya<br />

sanamu Shetani anatumika na uwezo mkubwa sana kwa kufunika watu katika gi<strong>za</strong> na<br />

kufunga minyororo yao kwa nguvu <strong>za</strong>idi. Roma ikaendelea kutia nguvu mpya kwa<br />

kufungua soko yake katika mahali pote pa Ukristo, ukitoa msamaha kwa mali. Kila <strong>za</strong>mbi<br />

ilikuwa na bei yake, na watu walipewa chetibila malipo kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi kama hazina ya<br />

kanisa ililindwa yenyekujaa vizuri. ... Hivi mashauri mawili haya yakaendelea--Roma<br />

kuruhusu <strong>za</strong>mbi na kuifanya kuwa chemchemi ya mapato yake, Watengene<strong>za</strong>ji kulaumu<br />

<strong>za</strong>mbi na kuonyesha Kristo kama kipatanisho na mkombozi.<br />

Uchuuzi wa cheti cha Kuachiwa Zambi katika Usuisi<br />

Katika Ujermani biashara ya kuachiwa (<strong>za</strong>mbi) iliongozwa na mwovu sana Tetzel.<br />

Katika Usuisi biashara hii ilikuwa chini ya uongozi wa Samson, mtawa wa Italia. Samson<br />

alikuwa amekwisha kujipatia pesa nyingi kutoka Ujeremani na Usuisi kwa kuja<strong>za</strong> hazina ya<br />

Papa. Sasa akapitia Usuisi, kunyanganya wakulima masikini mapato yao machache na<br />

kulipisha <strong>za</strong>wadi nyingi kutoka kwa watajiri. Mtengene<strong>za</strong>ji kwa upesi akaan<strong>za</strong> kumpinga.<br />

Kufanikiwa kwa Zwingli kulikuwa namna hiyo kufunua kujidai kwa mtawa huyu hata<br />

akashurutisha kutoka kwenda sehemu zingine. Huko Zurich, Zwingli akahubiri kwa bidii<br />

juu ya wafanya biashara ya msamaha. Wakati Samson alipokaribia mahali pale akakutana<br />

na mjumbe aliyemtetea neno kutoka kwa bara<strong>za</strong> kwa kumwaambia aanze kazi, akatumia<br />

mwingilio wa hila, lakini, akarudishwa bila kuuzisha hata barua moja ya msamaha, kwa<br />

upesi akatoka Usuisi.<br />

Tauni, au Kifo Kikubwa, kikapitia kwa Usuisi kwa nguvu sana katika mwaka 1519.<br />

Wengi wakaongozwa kuona namna ilikuwa bure na bila damani masamaha yaliokuwa<br />

wakinunua; wakatamani sana msingi wa kweli wa imani yao. Huko Zurich, Zwingli<br />

akagonjwa sana, na habari ikatangazwa sana kwamba alikufa. Kwa saa ile ya kujaribiwa<br />

akata<strong>za</strong>ma kwa imani msalaba wa Kalvari, akatumaini kwamba kafara ya Kristo ilikuwa ya<br />

kutosha kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi. Aliporudi kutoka kwa milango ya mauti, ilikuwa kwa ajili ya<br />

kuhubiri injili kwa bidii kubwa sana kuliko mbele. Watu wao wenyewe walitoka kuangalia<br />

mgonjwa karibu ya kifo, wakafahamu vizuri kuliko mbele, damani ya injili.<br />

71

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!