21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 4. Wanakinga Imani<br />

Katika mda mrefu wa mamlaka ya Papa, kulikuwa washahidi wa Mungu waliolinda<br />

imani katika Kristo kama mpatanishi wa pekee kati ya Mungu na mtu. Walishika Biblia<br />

kama kiongozi pekee kwa maisha, na kuheshimu Sabato ya kweli. Wakahesabiwa kama<br />

wapinga dini, maandiko yao yakakomeshwa, kuelezwa vibaya, ao kuondolewa. Lakini<br />

wakasimama imara.<br />

Wanakuwa na nafasi ndogo katika maandiko ya wanadamu, ila tu katika mashitaki ya<br />

watesi wao. Kila kitu “cha kupinga dini”, ikiwa ni watu ao maandiko, Roma alitafuta<br />

kuharibu. Roma ilijitahidi vile vile kuharibu kila kumbukumbu la maovu wake mbele ya<br />

wasiokubali mafundisho yake. Kabla ya uvumbuzi wa ufundi wa kupiga chapa, vitabu<br />

vilikuwa vichache kwa hesabu; kwa hiyo juu ya uchache wa vitabu hii haikuzuia Waroma<br />

kutimi<strong>za</strong> kusudi lao. Kanisa la Roma lilipopata uwezo likanyoosha mikono yake kwa<br />

kuangami<strong>za</strong> wote wale waliokataa kukubali utawala wake.<br />

Katika Uingere<strong>za</strong> dini ya Kikristo <strong>za</strong>mani <strong>za</strong> kale ilikuwa imekwisha kupata mizizi,<br />

haikuharibiwa na ukufuru wa Waroma. Mateso ya wafalme wa kipagani yalikuwa tu <strong>za</strong>wadi<br />

ambayo makanisa ya kwan<strong>za</strong> ya Uingere<strong>za</strong> yalipata kwa Roma. Wakristo wengi<br />

waliokimbia mateso katika Uingere<strong>za</strong> wakipata kimbilio katika Scotland. Kwa hiyo ukweli<br />

ukachukuliwa katika nchi ya Irlande, na katika inchi hizi ukweli ulikubaliwa kwa furaha.<br />

Wakati Wasaxons waliposhambulia Uingere<strong>za</strong>, upagani ukapata mamlaka, na Wakristo<br />

walilazimishwa kukimbilia milimani. Katika Scotland, karne moja baadaye, nuru ikaangazia<br />

inchi <strong>za</strong> mbali sana. Kutoka Irlande Columba akakuja na waidizi wake, waliofanya kisiwa<br />

cha pekee cha Iona kuwa makao ya kazi <strong>za</strong>o <strong>za</strong> kuene<strong>za</strong> injili. Miongoni mwa wainjilisti<br />

hawa kulikuwa mchunguzi wa Sabato ya Biblia, na kwa hivyo ukweli huu ukaingizwa<br />

miongoni mwa watu. Masomo yakaanzishwa pale Iona, ambamo wajumbe (missionnaires)<br />

walitoka na kwenda Scotland, Uingere<strong>za</strong>, Ujeremani, Uswisi, na hata Italia.<br />

Roma Inakutana na Dini ya Biblia<br />

Lakini Roma ilikusudia kuweka Uingere<strong>za</strong> chini ya mamlaka yake. Katika karne ya sita<br />

wajumbe (missionnaires) wake wakajaribu kutubisha Wasaxons wapagani. Jinsi kazi<br />

ilivyoendelea, waongozi wa kiPapa wakakutana na Wakristo wa <strong>za</strong>mani <strong>za</strong> kale -wapole,<br />

wanyenyekevu, wenye kupatana na maneno ya Maandiko katika tabia, mafundisho, na wa<br />

mwenendo mwema. Wale wakiroma walionyesha imani ya mambo ya uchawi, ukuu, na<br />

kiburi cha kipapa. Roma alilazimisha kwamba makanisa haya ya Kikristo yapate kukubali<br />

mamlaka ya askofu mkuu. Waingere<strong>za</strong> wakajibu kwamba Papa hakutajwa kuwa mkuu<br />

katika kanisa na wangewe<strong>za</strong> kumtolea tu utii ule unaofaa kwa kila mfuasi wa Kristo.<br />

Hawakujua bwana mwingine isipokuwa Kristo.<br />

23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!