21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Ujumbe Uliotolewa na Watu Wanyenyekevu<br />

Kama wanafunzi wa elimu ya tabia na sifa <strong>za</strong> Mungu na dini walikuwa walinzi<br />

waaminifu, wenye bidii na wenye kuomba kuchungu<strong>za</strong> Maandiko, wangaliwe<strong>za</strong> kujua<br />

wakati. Mambo ya unabii yangewe<strong>za</strong> kuwafungulia matokeo yaliyopashwa kuwa. Lakini<br />

ujumbe ulitolewa na watu wanyenyekevu. Wale walio<strong>za</strong>rau kutafuta nuru wakati inapokuwa<br />

karibu nao waliachwa gi<strong>za</strong>ni. Lakini Mwokozi anatanga<strong>za</strong>, “Yeye anayenifuata hatatembea<br />

katika gi<strong>za</strong>, lakini atakuwa na nuru ya uzima.” Yoane 8:12. Kwa roho ile nyota fulani ya<br />

mwanga<strong>za</strong> wa mbinguni itatumwa kwake kwa kumwongo<strong>za</strong> katika ukweli wote.<br />

Kwa wakati wa kuja kwa mara ya kwan<strong>za</strong> kwa Kristo wakuhani na waandishi wa mji<br />

Mtakatifu wangaliwe<strong>za</strong> kutambua “ishara <strong>za</strong> wakati” na kutanga<strong>za</strong> kuja kwa yule<br />

Aliyeahidiwa. Mika aliandika mahali pale pa ku<strong>za</strong>liwa, Danieli, wakati wa kuja kwake.<br />

Mika 5:2; Danieli 9:25. Waongozi wa Wayahudi walikuwa bila sababu kama hawakujua.<br />

Ujinga wao ulikuwa matokeo ya <strong>za</strong>rau lenye <strong>za</strong>mbi.<br />

Kwa faida kubwa sana waongozi wa Israeli wangalipashwa kujifun<strong>za</strong> pahali, wakati, hali<br />

ya mambo, ya tukio kubwa sana katika historia ya dunia--kuja kwa Mwana wa Mungu.<br />

Watu walipashwa kukesha ili wapate kumkaribisha Mkombozi wa ulimwengu. Lakini kule<br />

Betelehemu wasafiri wawili waliochoka kutoka Na<strong>za</strong>reti wakapitia njia nyembamba kwa<br />

mwisho wa upande wa mashariki ya mji, kutafuta kimbilio sababu ulikuwa usiku bila kuona<br />

mahali pa kupangia. Hakuna milango iliyofunguliwa kwa kuwapokea. Katika kibanda<br />

kibovu kilichotayarishwa kwa ajili ya mifugo, mwishowe wakapata kimbilio, na hapo<br />

Mwokozi wa ulimwengu aka<strong>za</strong>liwa.<br />

Malaika wakaagizwa kuchukua habari ya furaha kwa wale waliojitayarisha kuipokea na<br />

waliowe<strong>za</strong> kwa furaha kuijulisha. Kristo alijishusha hata akajivika hali ya binadamu,<br />

kuchukua taabu isiyo na mwisho namna alipashwa kutoa roho yake sadaka kwa ajili ya<br />

<strong>za</strong>mbi. Lakini malaika walitamani kwamba hata katika kujishusha kwake Mwana wa<br />

Aliyejuu angewe<strong>za</strong> kuonekana mbele ya watu na heshima na utukufu unaofaa tabia yake. Je,<br />

wakuu wa inchi hawangekusanyika kwa mji mkuu wa Israeli kusalimia kuja kwake? Je,<br />

malaika hawangemwonyesha kwa makutano yaliyomungojea?<br />

Malaika mmoja alizuru ulimwengu kuona wanani waliojitayarisha kumkaribisha Yesu.<br />

Lakini hakusikia sauti ya sifa kwamba mda wa kuja kwa Masiya umefika. Akakawia juu ya<br />

mji uliochaguliwa na hekalu ikasimama kwa mda mahali kuwako kwa Mungu kulionekana<br />

kwa miaka nyingi, lakini hata pale palikuwa na kutojali kwa namna moja. Wakuhani katika<br />

sherehe na kiburi walikuwa wakitoa kafara <strong>za</strong> unajisi. Mafarisayo kwa sauti kuu<br />

wakawaambia watu ao wakafanya maombi ya kujisifu kwa pembe <strong>za</strong> njia. Wafalme, watu<br />

wa elimu zote (philosophes), waalimu, wote walikuwa wasiokumbuka jambo la ajabu<br />

kwamba Mkombozi wa watu alikuwa karibu kuonekana.<br />

126

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!